Most expensive schools in Tanzania

Most expensive schools in Tanzania

nchi za kiafrika tunashida sana yani tunatawaliwa kila eneo,hivi unaanzaje kuruhusu shule ambazo zipo nchini mwako kutumia mitaala ya nchi zingine.
Je unaanzaje kumpeleka mtoto shule wakati formal education imeletwa na watu wa nchi nyingine,ng'ang'ania elimu ya jadi kuliko kuja na kauli za 'sizitaki mbichi hizi'.
 
Hela yote hiyo wanaitoa wap
Washakwambia kina Mo Dewji, tajiri aliyenunua mashamba ya mkonge na hayaendelezi! (Ila twajuwa kayafanyia nini), labda watoto wa lamba lamba (Azam), Labda watoto wa....kifupi matajiri tu, au wale ma CEO walioletwa hapa kufanya kwenye makampuni ya Benki na Makinikia!
Ushajuwa sasa, kifupi, ziko hapa kwa ajili ya elites tu, wenye pesa na wanaojiweza kifedha...
Sasa mwenzangu mie ukijitutumua angalia usije ukaumbuka...Maana hakuna guarantee mtoto akitoka pale utampeleka Harvard au Cambridge University..Na hapo kama kamaliza salama, yaani siyo choko, teja, mimba au boza tu lanalojuwa kuongea king'eng'e huku ukiliambia likawape kuku chakula likakwambia kwani huna mfanyakazi wa ndani?!
Ni shule inayowatayarisha watoto wakaishi na kusoma majuu, siyo ya kikwetu ya kufua na sabuni mbuni, kusonga ugali au kupalilia garden..
Ni shule ya wanaojiweza tu, Overpaid CEO's, expatriates and so called businesspeople in TZ, na sio wewe uliopunguziwa mshahara wako toka 40m/= per month to 15m/=, ridhika na ulicho nacho...
 
Ila hzo shule watoto wake wanaosoma wanakuaga ma genius,..achana na u genius wa kukariri huu wa saint kayumba,..hawa madogo mfano wa hyo IST,..wanakuaga wanajua mambo meng sana,hata umchukue mtoto wa primary ukae uongee nae maswala yenye mantik,atakustaajabisha,so ukute sasa ana akili za kuzaliwa ndo utakubal..
Mbona hawapo kwenye top ten kila mwaka za wanaongoza kitaifa mwaka huu hamna hata mmoja top ten form 4 wal form 6
 
Du IST matawi kitambo,33m? Si mchezo watasoma Watoto wa ma MD,CEO,CFO, UN OFFICIALS, MABALOZI,SUPER MOGUL,WAUZA UNGA etc
 
Daaah ngoja ni hustle namimi mwanang nimpeleke akafute tongotongo japo mhula mmoja halafu anarudi kumalizia mzimuni primary school
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Ila hzo shule watoto wake wanaosoma wanakuaga ma genius,..achana na u genius wa kukariri huu wa saint kayumba,..hawa madogo mfano wa hyo IST,..wanakuaga wanajua mambo meng sana,hata umchukue mtoto wa primary ukae uongee nae maswala yenye mantik,atakustaajabisha,so ukute sasa ana akili za kuzaliwa ndo utakubal..
Akili za kuzaliwa ndiyo zipi mkuu? Kwani kuna za kuridhi? Naomba ufafanuzi please
 
Maana nzima ya elimu ni kumpatia maarifa tarajiwa aliyepitia elimu hiyo........

Yaani kwa lugha nyepesi mwanafunzi aliyepata mafunzo fulani aonekane kwenye uhalisia kuwa kweli kapata mafunzo hayo kwa vitendo na muonekano wa maisha yake.....

Na elimu kwa maana ya ugawaji maarifa unaendana na kulingana na mahitaji ya nyakati husika kwa wahusika mfano huwezi kutumia mfumo wa elimu wa miaka ya 80 kwenye nyakati hizi za biashara na sayansi na teknolojia..........

Mifumo yetu ya elimu tuliyoachiwa na mkoloni ambayo bado tunaitumia mpaka leo dhumuni lake ni kumuandaa msomi wetu kuwa msaidizi wa watalaamu wa kigeni na ndio ilivyo mpaka leo hii......

Ili umpatie mwanafunzi maarifa sahihi yatakayo mwezesha yeye kukabiliana na mazingira yake na kuyamudu maisha yake lazima gharama itumike

Mifumo yetu ya elimu inamuandaa mtoto kufaulu mitihani na kusonga mbele na sio kupata maarifa

Na ndio maana watoto wetu muda mwingi sana wanahangaika na past paper ili kuyawinda na kuyakariri maswali yatakayo jirudia.........lengo ni kufaulu tu mtihani

Hata viongozi wetu wanajisifia kwa hilo kila mwaka na ufaulu ukiongezeka wanatangaza kwa mbwe mbwe

Mzazi anayejua maana ya elimu na mwenye uwezo kifedha hawezi kumpeleka mwanaye kwenye hizo shule za ajabu ajabu.......

Kwa hapa Tanzania VETA pekee ndio wanaotoa elimu stahiki yenye kumpa maarifa mwanafunzi stahiki ingawa watu wanaidharau........lakini mimi ni heri mwanangu asome VETA kuliko kumaliza muda wake huko UDSM.....

Tunaona hata jinsi Wachina wenye kielimu kidogo kalikojaa maarifa wanavyopiga hatua kwa kutumia rasilimali zetu hizi hizi......ambazo sisi hatuzioni......

WE HAVE A LONG WAY TO GO

Watawala ndio wanafurahia hivi kuzidi kuwa na watawala na watawaliwa.......
 
Daaah hii ni kweli coz nilisoma tambaza kwa hiyo nikawa karibu na IST Aiseeeh ikifika Mida ya saa 6 mchana hayo magari yanayokuja kuchukua hao madogo co powah ni mandinga km ya mkuru ila kitoto kinachoendeshwa sasa hata hakajui kufuta kamasi.........wengi wanaosoma pale ni watoto wa mabalozi na watoto wa matajiri waliopitiliza so sishangai kulipa hzo hela
 
nchi za kiafrika tunashida sana yani tunatawaliwa kila eneo,hivi unaanzaje kuruhusu shule ambazo zipo nchini mwako kutumia mitaala ya nchi zingine.
Mkuu unaongelea shule ambazo ni za kimataifa pia ni binafsi, kuna shule ziko upanga ni za serikali pia za msingi lakini wao elimu sio bure mfano Olimpyao
 
Acha kupotosha...
ISAMILO INTERNATIONAL SCHOOL IKO MWANZA NA KUNA MWANAJAMVI MMOJA KASEMA NI YA PILI KWA KUWA EXPENSIVE.....
Screenshot_20180105-070041.png
 
Eti mtaala wetu mgumu huku tunasumbuliwa hata na wakenya, wamalawi, waganda, waghana, wanaijeria na wazambia kwenye general knowledge ktk Zain/airtel challenge?
Ndio tutajifananisha na hao wa IB na Cambridge?
Tatizo ni implementation tu boss wangu..hatujawa serious kivile kwenye elimu mkuu na kuboresha maslah ya walim ndio maana hawafundish kwa moyo mmoja na syllabus haziishii,but kwa nch kama germany walim wanapewa pesa ya kutosh
 
Back
Top Bottom