Most Influential Young African

Most Influential Young African

Aisee mkuu nakubali mi miaka kumi ijayo nataka ni struggle niwe kama au zaid yako jarida la forbes linihusu we ni mhenga wangu i mean my role model

usisahau vya kusahau kabla kusahau hAkujakusahau wewe uliye sahau
 
247618a115e2f1569cf8a77c94b9d5bf.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umri wao kama ifuatavyo:-

Ali Kiba (42)
Jokate (36)
Nancy Sumari (39)
Flaviana Matata (34)

Bado ni vijana inategemea unawatazama vipi. Idadi ya watoto 5 kila mmoja na mama yake haimaanishi ni kikongwe.
Haaaaa jokate kumbe Ana 36 duh balaaa, na alikiba kumbe mzeee
 
Kwa mujibu wa mtandao wa Africa Youth Awards, hii ndiyo listi ya vijana wa Kiafrika wenye ushawishi zaidi barani Afrika na duniani: Tanzania inawakilishwa vyema na vijana 7 (sijui kama kuna mwingine sijamuweka kwenye listi hii), kama ifuatavyo; Ali Kiba (6), Diamond Platnumz (28), Diana Elizabeth Michael (Lulu)?? katika namba 29, Flaviana Matata (39), Jokate Mwegelo ((55), Millard Ayo (68) na Nancy Sumari (74).

Hongera wote mliotajwa kwenye orodha hii...

View attachment 578036
Alikiba kaindluence nini?? Hamna hata kijana mmoja aliyemtoa kimuziki akajulikana au hata mtu aliyefanikiwa kiasi fulani akamtaja kiba kama role model, hamna! List hii ya ndondo cup nafikiri.
 
Alikiba kaindluence nini?? Hamna hata kijana mmoja aliyemtoa kimuziki akajulikana au hata mtu aliyefanikiwa kiasi fulani akamtaja kiba kama role model, hamna! List hii ya ndondo cup nafikiri.
Hahahahahahaaaaa! Ni mtazamo wako, hata hivyo nauheshimu...
 
Sijui wanaangalia vigezo gani...
Ila napingana na Lulu kuwepo kama actress sababu hata hizo movie anazofanya sijui ni zipi toka baada ya kupata ile tuzo
Nancy sumari huo ujasiriamali anaofanya usiioonekana ni upi? Angalau mama wa shule direct impact yake inaonekana
Harriet Paul currently anafanya vizuri sana kuliko flaviana matata, kapanda majukwaa ambayo ni dreams kwa models wa western countries achilia mbali Africa.
 
Kwenye hiyo list ni Daimond tu anastahili kuwepo, na wengine wanaostahili hawawekwa wapo huku mtaani wanainfluence kubwa mno kwa vijana wenzao NA jamii kwa ujumla.
Hata wamewaza nini eti Lulu naye yumo...hmm!!!
 
Nahisi Ontario yupo kwenye ligi la juu zaidi, kumchanganya na mamiss ni fedheha, ndio maana mwanzoni mwa mwaka huu Real Leaders magazine walimchagua kwenye jarida lao maalumu la tuzo ya amani ya Nobel category ya 100 global visionary leaders under 30

Hili ni gazeti maarufu marekani ambalo lilianzishwa na mfanyabiashara bilionea Richard Branson ili kuwachallenge global leaders kuwa agents of change duniani. Kila mwaka hua wanatoa list ya watu influential dunia nzima ambao wapo chini ya miaka 30.

Kwa TZ nahisi alikua Ontario pekee (sina uhakika), hapa ni ngumu kuwakuta kina vipusa na wazee wa zilipendwa.

Link! Peace 2017

5eb6eaf0c7049afe1cede958d2960274.jpg
b47c66ff1e0a289807602248e210bb12.jpg

Kwanza Hongera sana Ontario , pia naunga mkono hii list ya huku ya hao kina Lulu siyo size yako kabisa,ingekuwa ni demotion.

Huwenda mwakani wanaweza kumweka hata Hamorapa...
 
Hahaha na amber lulu hujamuona?
Tumpe miaka miwili Gigi, atakuwa 'influensho' kikweli kwelii. Mwendo anaoenda nao si haba, mark me words. Huyo Lulu ni Elizabeth Michael 'Mjelajela', anastahili kuwepo kwenye list kwa maoni yangu.
 
Kuwekwa watu kama Lulu ambao sijui hata mchango wake katika Taifa inadhihirisha kama taifa tuna uhaba wa uhaba wa vijana aina ya ONTARIO na kama wapo basi wapo vijijini huko wanachunga mbuzi.

Taifa huwa linatambulika kwa aina ya watu linalowazalisha hivyo sisi tunazalisha wakina Lulu wengi.

Salute sana mkuu ONTARIO
Ontario kafanyaje?
 
Nahisi Ontario yupo kwenye ligi la juu zaidi, kumchanganya na mamiss ni fedheha, ndio maana mwanzoni mwa mwaka huu Real Leaders magazine walimchagua kwenye jarida lao maalumu la tuzo ya amani ya Nobel category ya 100 global visionary leaders under 30

Hili ni gazeti maarufu marekani ambalo lilianzishwa na mfanyabiashara bilionea Richard Branson ili kuwachallenge global leaders kuwa agents of change duniani. Kila mwaka hua wanatoa list ya watu influential dunia nzima ambao wapo chini ya miaka 30.

Kwa TZ nahisi alikua Ontario pekee (sina uhakika), hapa ni ngumu kuwakuta kina vipusa na wazee wa zilipendwa.

Link! Peace 2017

5eb6eaf0c7049afe1cede958d2960274.jpg
b47c66ff1e0a289807602248e210bb12.jpg
Hongera sana Mkuu hakika unastahili kuwa hapo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom