Ingekua ni hivo mlivokaririshwa kuwa korona inaua sana watu,hospitali za dar es salaam zingekua zimezidiwa maana kila siku maelfu wapo uwanja wa mkapa bila barakoa wanaangalia mpira.
Yanayoandikwa mitandaoni ukija mtaani hayapo kabisa
🤣🤣🤣🤣yaani hapo ungekuta upinzani ndio unaongoza nchi ungekuta tupo ndani lockdown toka mwaka Jana korona ilipoanza mpk leo yaani hali ingekua ngumu kupita maelezo.Hawa wapumbuva washaanza kuleta ujinga wao
Hakuna lockdown hapa tz peleken ujinga wenu huko
Kama ni kufa acha tufe
Matapeli wamkubwa nyie waongo wazandiki
Tz hakuna korona kwanza
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Una uthibitisho kua ni korona?au na wewe umesikia taarifa za vijiweni?acha kufuata wajinga wajinga huko TwitterKumbe kina Nkapa, Maalim, Kijazi, jiwe, Dr. Mpango ni wa mitandaoni?
Dah....mkali man [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii tafsiri inakanganya sana. Ulisema article ya kiingereza utacheka namna yalivyotafsiriwa kwa kiswahili hapa.
Una uthibitisho kua ni korona?au na wewe umesikia taarifa za vijiweni?acha kufuata wajinga wajinga huko Twitter
Kwani mkuu ni conditions zipi ambazo zinaweza sababisha strain ya kirusi ika'undergo mutation hasa zinazohusiana na mazingira ya hapa kwetu Tanzania yalivyo?Kuna jamaa mmoja hapa JF nilimwambia Tanzania inaweza kutoa mutation mpya ya kirusi, akawa anabisha saaana kwa ubishi wa kibongo wa ilimradi kubisha tu
Natamani niuone ule uzi nimuoneshe hii habari.
Sio korona ni magonjwa mengine ya kibinadamu tu,hata wewe unaweza ukaumwa kichwa tu ukafa mtaani kwako wakaanza kudai korona imekuuaZa kuambiwa changanya na za kwako:
View attachment 1735257
Hiyo miamba ilikuwa buheri wa afya.
Mmoja wao push-up sana majukwaani achilia mbali nyakua nyakua.
Unaambiwa alikuwa na afya hati hati leo?
Hao mtu wote wenye afya na nafasi zao ni deportivo la coruna peke yake mwenye ujasiri wa kuangusha miamba kama hiyo kwenye span ya mwaka mmoja robot tatu yao ndani ya mwezi mmoja!
Au nasema uongo ndugu zangu?
Haya maisha yalivyo mazuri mr, wewe tangulia kufa usiyeogopa corona.Kenya kila siku mmejifungia ndani, hiyo mutation mbona imeshamiri kwenu huko. Swala la maisha yetu tz watuache kama ni kufa sisi tuko tayr. Hivyo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Na mrundikano ule. Watu watakufa kama bata.
Kweli kabisa hata haiongelewi watu wanaendela na life,watz tumeshindikana .Leo mzee anazikwa nimekuta sehemu watu wanaendelea kugonga vyombo na mbuzi kwa sanaUzuri ni kua, hiki kirusi kikikupata kama upo healthy kinakutingisha kidogo tu kama wiki mbili kisha unakaa sawa,
Kwa Tanzania corona ni old school song.
Kisa ni Uranium na gas na madini pendwa Tanzanite,walikuwa JPM angetoboaMimi ninajua propaganda kuhusu taifa letu zinazidi sana siku hizi.
1.No testing.Kwani mkuu ni conditions zipi ambazo zinaweza sababisha strain ya kirusi ika'undergo mutation hasa zinazohusiana na mazingira ya hapa kwetu Tanzania yalivyo?
Mimi ninajua propaganda kuhusu taifa letu zinazidi sana siku hizi.