TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Huyu jamaa ameamua hasa, japo tayari ameingia akiwa na mtaji ila huyu ndiye motivation speaker ambaye anatakiwa kuongea akiwa anamaanisha, siyo yule/wale wa hekari moja unapata 12mil.
Anachifanya huyu kijana Ally aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara huko kwenye mashamba yake ni mfano tosha kwa vijana kama wale ambao mh. Waziri wa kilimo Hussein Bashe anawaunganisha na kuwapa hatishamba kwa kuanza kilimo.
Nimefuatilia kwenye ukurasa wake wa tweeter kuangalia mwitikio wa watu wanao_comment kwenye tweet zake wengi wanamsifu na kuvutiwa na kile anachokifanya, hata wale mahasimu wake hawaonekani ila ukichungulia nyuma unawaona wanapita kimya kimya.
Hadi hapo maswali na majibu yanapatikana labda sababu iwe ni capital a.k.a mlungula wa kuwekeza, maana kufanya anachokifanya huyu motivation speaker Ally Hapi siyo unaamka na mkopo wako ukidhani mwezi ujao unaanza kuvuna.
Ni yataka moyo kweli kweli.
Anachifanya huyu kijana Ally aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara huko kwenye mashamba yake ni mfano tosha kwa vijana kama wale ambao mh. Waziri wa kilimo Hussein Bashe anawaunganisha na kuwapa hatishamba kwa kuanza kilimo.
Nimefuatilia kwenye ukurasa wake wa tweeter kuangalia mwitikio wa watu wanao_comment kwenye tweet zake wengi wanamsifu na kuvutiwa na kile anachokifanya, hata wale mahasimu wake hawaonekani ila ukichungulia nyuma unawaona wanapita kimya kimya.
Hadi hapo maswali na majibu yanapatikana labda sababu iwe ni capital a.k.a mlungula wa kuwekeza, maana kufanya anachokifanya huyu motivation speaker Ally Hapi siyo unaamka na mkopo wako ukidhani mwezi ujao unaanza kuvuna.
Ni yataka moyo kweli kweli.