Thats Gud, amefanya nice move kuliko yule boss alietumbuliwa akaanza kuuza mayai π€£π€£π€£Ndiyo maana mwanzo wa hii mada nikaandika wengi wanavutiwa na anachokifanya, tatizo linakuja ni kuwa na capital.
Bahati nzuri Hapi muda mwingi yupo site na uzuri wa mashamba siyo kwamba unalima wewe NO, wewe unakuwepo kufuatilia kila hatua zinazotakiwa.
So tujipe nafasi ya kufanikiwa and not failure!.
[emoji28][emoji28]Wale mnaopata airtime kwenye media na kuanza kudanganya wananchi kuwa, ukilima nusu heka unapata milioni 9 au kuku mmoja anataga mayai 24 ukiwa na kuku 3 unapata mayai 72, yakitotolewa unakuwa na vifaranga 72.
Wakikua kila kuku unauza shs 20,000 jumla utakuwa na shs 1,440,000/-, ingia field sasa [emoji3]!.
[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23] dah!Ukishaona biashara ina picha picha sana jua mnaitwa muumie pamoja
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wala usijisumbue, anaeona haiwezekani abaki hivyo hivyo wakati wengine wanasonga mbele.Ndiyo maana mwanzo wa hii mada nikaandika wengi wanavutiwa na anachokifanya, tatizo linakuja ni kuwa na capital.
Bahati nzuri Hapi muda mwingi yupo site na uzuri wa mashamba siyo kwamba unalima wewe NO, wewe unakuwepo kufuatilia kila hatua zinazotakiwa.
So tujipe nafasi ya kufanikiwa and not failure!.
Umenikumbusha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyo ya kuku ndoimeniacha hoi....Wale mnaopata airtime kwenye media na kuanza kudanganya wananchi kuwa, ukilima nusu heka unapata milioni 9 au kuku mmoja anataga mayai 24 ukiwa na kuku 3 unapata mayai 72, yakitotolewa unakuwa na vifaranga 72.
Wakikua kila kuku unauza shs 20,000 jumla utakuwa na shs 1,440,000/-, ingia field sasa [emoji3]!.
Ukishaona kitu kina picha picha nyingi na mhusika yupo, jua hali si haliUmenikumbusha.
Kuna Mzee mmoja aliamua kulima mahindi. Akaandaa shamba vizuri, akapanda, baada ya muda kidogo mahindi yakachipua vizuri sana. Akafurahi mno, aliporudia kwa mkewe akamsimulia jinsi mambo yalivyo mazuri shambani, mkewe naye akatamani sana aende akajionee.
Wiki mbili baadaye, mume akambeba mkewe kwenye gari, safari ya kwenda shamba ikaanza. Alahaulaaah! Mume si akajikuta analipita shamba lake! [emoji23][emoji23]
Kumbe ulipita ukame wa hatari mahindi yote yakakauka.
So comment yako imenikumbusha maswala ya misimu na mabadiliko ya tabia nchi [emoji28][emoji28].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukishaona kitu kina picha picha nyingi na mhusika yupo, jua hali si hali
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wengi wa vijana wa kizazi kipya wanataka kazi za ofisini yaani anatoka home kavaa hiviWala usijisumbue, anaeona haiwezekani abaki hivyo hivyo wakati wengine wanasonga mbele.
Kazi anazozitambua Lema ndio wanavaaga hivi...hata kama zinakipato kidogo kuliko bodabodaWengi wa vijana wa kizazi kipya wanataka kazi za ofisini yaani anatoka home kavaa hivi
View attachment 2555416
Hapo hata kama hama nauli haoni shida atafanya juu chini afike getto but kwa kazi kama za ndg Ally Hapi [emoji3] ndiyo hawa wanaoinga humu.
Jamaa inaonesha kilimo kipo kwenye damu. Halafu ni nadra sana kukuta kiongozi anayejihusisha na kilimo akawa na vitabia vya udokozi wa mali za umma. Mara nyingi huwa na huruma na masikini maana wengi wao anakutana nao shambani wakisaka vibarua. Mimi ni moja ya mtu niyayeamini mafanikio katika kilimo na ninakipenda kwelikweli natamani siku moja nimtembelee huyu muheshimiwa nipate kujifunza zaidi hasa connection za masoko.Huyu jamaa ameamua hasa, japo tayari ameingia akiwa na mtaji ila huyu ndiye motivation speaker ambaye anatakiwa kuongea akiwa anamaanisha, siyo yule/wale wa hekari moja unapata 12mil.
View attachment 2554157
Anachifanya huyu kijana Ally aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara huko kwenye mashamba yake ni mfano tosha kwa vijana kama wale ambao mh. Waziri wa kilimo Hussein Bashe anawaunganisha na kuwapa hatishamba kwa kuanza kilimo.
View attachment 2554161
Nimefuatilia kwenye ukurasa wake wa tweeter kuangalia mwitikio wa watu wanao_comment kwenye tweet zake wengi wanamsifu na kuvutiwa na kile anachokifanya, hata wale mahasimu wake hawaonekani ila ukichungulia nyuma unawaona wanapita kimya kimya.
View attachment 2554166
Hadi hapo maswali na majibu yanapatikana labda sababu iwe ni capital a.k.a mlungula wa kuwekeza, maana kufanya anachokifanya huyu motivation speaker Ally Hapi siyo unaamka na mkopo wako ukidhani mwezi ujao unaanza kuvuna.
Ni yataka moyo kweli kweli.
Ungemalizia hizo trector zinaitwa Massey Ferguson.Ally Hapi alipoingia Iringa alijenga kwanza nyumba ya kuishi, akanunua mashamba makubwa sana , hata alipohamishiwa tabora kisha mara bado wafanyakazi walikuepo shambani na msimu ule wa kwanza akiwa Iringa nyanya ilikubali akakutana na soko akagonga kama milioni 45, ndio toka hapo hakuacha, tunapuuzia kilimo lakini ukiwa na mtaji unatoka, kuna jamaa mmoja wa TRA songea yeye kule peke yake hua anavuna gunia za mahindi hadi 5000 akianza kuuza mnanunua hadi mnakimbia wenyewe ana trekta kama 5 hivi massey ambazo wakati anaanza alichukua zile used za msumbiji, β kama unataka mali utayapata shambani β
Mimi huwa siamini kuwa waliokutangulia wote ni wajinga, kilimo cha tz au africa gharama utakayoweka na mavuno utakayopata ni tofauti kwenye bei sasa wakati wa kuuza utachoka mwenyeweWale mnaopata airtime kwenye media na kuanza kudanganya wananchi kuwa, ukilima nusu heka unapata milioni 9 au kuku mmoja anataga mayai 24 ukiwa na kuku 3 unapata mayai 72, yakitotolewa unakuwa na vifaranga 72.
Wakikua kila kuku unauza shs 20,000 jumla utakuwa na shs 1,440,000/-, ingia field sasa π!.