Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Mkuu unataka kutuaminisha warundi wanalima kuliko sisi? Nenda kilombero, nenda Mbalali utawaheshimu watanzania.Hakuna maajabu wape moyo watu, kuna wengi wanaonitafuta na hawajui waanzie wapi, Tanzania ina fursa nyingi mno, hamuoni aibu waha na wasukuma kuwauzia mashamba wanyarwanda na warudi mashamba makubwa ya kilimo pale kibondo, kakonko na chunya na wageni kufanya kilimo na kutajirika mbele ya macho yenu ilihali ninyi mnalia lia kama wendawazimu?
Kila mtu angekuwa ma mawazo kama yako sidhani kama leo tungekuwa HAI, watu wangekuwa wanapukutika kwa ukosefu wa chakula ila bado wanawekeza as huyu Motivation Speaker wetu hapa Ally Hapi.Mimi huwa siamini kuwa waliokutangulia wote ni wajinga, kilimo cha tz au africa gharama utakayoweka na mavuno utakayopata ni tofauti kwenye bei sasa wakati wa kuuza utachoka mwenyewe
Amshukuru Rais kumuondoa kwenye siasa, la sivyo haya tusingeyaonaHuyu jamaa ameamua hasa, japo tayari ameingia akiwa na mtaji ila huyu ndiye motivation speaker ambaye anatakiwa kuongea akiwa anamaanisha, siyo yule/wale wa hekari moja unapata 12mil.
View attachment 2554157
Anachifanya huyu kijana Ally aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara huko kwenye mashamba yake ni mfano tosha kwa vijana kama wale ambao mh. Waziri wa kilimo Hussein Bashe anawaunganisha na kuwapa hatishamba kwa kuanza kilimo.
View attachment 2554161
Nimefuatilia kwenye ukurasa wake wa tweeter kuangalia mwitikio wa watu wanao_comment kwenye tweet zake wengi wanamsifu na kuvutiwa na kile anachokifanya, hata wale mahasimu wake hawaonekani ila ukichungulia nyuma unawaona wanapita kimya kimya.
View attachment 2554166
Hadi hapo maswali na majibu yanapatikana labda sababu iwe ni capital a.k.a mlungula wa kuwekeza, maana kufanya anachokifanya huyu motivation speaker Ally Hapi siyo unaamka na mkopo wako ukidhani mwezi ujao unaanza kuvuna.
Ni yataka moyo kweli kweli.
Sawa mkuu, lkn jiulize kwanini huko vijijini ambako ndiko chakula hutokea ni mkulima yupi kamwajiri mfanyakazi na anamlipa mshahara wa house girl plus bima ya afya? Kwa kila wilaya nitajie 5 tu. Zingatia kuwa chakula tunachokula kila siku tunategemea hao wakulima, Ukinijibu kwa ufasaa utanielewa nasema nini.Kila mtu angekuwa ma mawazo kama yako sidhani kama leo tungekuwa HAI, watu wangekuwa wanapukutika kwa ukosefu wa chakula ila bado wanawekeza as huyu Motivation Speaker wetu hapa Ally Hapi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale mnaopata airtime kwenye media na kuanza kudanganya wananchi kuwa, ukilima nusu heka unapata milioni 9 au kuku mmoja anataga mayai 24 ukiwa na kuku 3 unapata mayai 72, yakitotolewa unakuwa na vifaranga 72.
Wakikua kila kuku unauza shs 20,000 jumla utakuwa na shs 1,440,000/-, ingia field sasa [emoji3]!.
🤣🤣🤣🤣Chattle
uyu dogo kiburi na kuabudu john kulimponza. alikuwa anafika mbali zaidi ya hapo na alikuwa kiongozo mzuri tu. shida aliota mapembe.Huyu jamaa ameamua hasa, japo tayari ameingia akiwa na mtaji ila huyu ndiye motivation speaker ambaye anatakiwa kuongea akiwa anamaanisha, siyo yule/wale wa hekari moja unapata 12mil.
View attachment 2554157
Anachifanya huyu kijana Ally aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara huko kwenye mashamba yake ni mfano tosha kwa vijana kama wale ambao mh. Waziri wa kilimo Hussein Bashe anawaunganisha na kuwapa hatishamba kwa kuanza kilimo.
View attachment 2554161
Nimefuatilia kwenye ukurasa wake wa tweeter kuangalia mwitikio wa watu wanao_comment kwenye tweet zake wengi wanamsifu na kuvutiwa na kile anachokifanya, hata wale mahasimu wake hawaonekani ila ukichungulia nyuma unawaona wanapita kimya kimya.
View attachment 2554166
Hadi hapo maswali na majibu yanapatikana labda sababu iwe ni capital a.k.a mlungula wa kuwekeza, maana kufanya anachokifanya huyu motivation speaker Ally Hapi siyo unaamka na mkopo wako ukidhani mwezi ujao unaanza kuvuna.
Ni yataka moyo kweli kweli.
Point of view is not wilaya yenye mtu analipa mfanyakazi wake wa shamba NO!.Sawa mkuu, lkn jiulize kwanini huko vijijini ambako ndiko chakula hutokea ni mkulima yupi kamwajiri mfanyakazi na anamlipa mshahara wa house girl plus bima ya afya? Kwa kila wilaya nitajie 5 tu. Zingatia kuwa chakula tunachokula kila siku tunategemea hao wakulima, Ukinijibu kwa ufasaa utanielewa nasema nini.
Kuna jambo nadhani hatulielewi kwenye masuala ya uongozi.uyu dogo kiburi na kuabudu john kulimponza. alikuwa anafika mbali zaidi ya hapo na alikuwa kiongozo mzuri tu. shida aliota mapembe.
mbona wenzake wengi tu walitumia busara na hawakumuudhi john wala kuwafanyia kiburi na kuwatukana wazee kina jk kinana etcKuna jambo nadhani hatulielewi kwenye masuala ya uongozi.
Mimi nasema hata ukiwa wewe lazima utaenenda sawa sawa na boss wako, nimeandika sana humu ni kuwa huwezi kwenda kinyume na boss wako, ikiwa hivyo unapotea, elewa hiyo dhana.
Mimi simlaumu Ally wala wenzake nalaumu mfumo na katiba tuliyonayo ndiyo inapelekea watu kumsujudi aliyewateua au walio nje ya mfumo wanasujudu ili nao wakumbukwe.
Ufukara ni dhambiHela za wizi tu na Kesho nikumbukizi ya shetani