Sisi ndio tumeiweka hii serikali ya "wanyonge" madarakani, naona mnaleta chokochoko, mnataka kumdanganya mama ashindwe !Hamuwezi kunuka, badala yake mtanukia.
Nchi hii haijawahi kutokea wanyonge wakanuka.
Ninyi wamachinga ndiyo wanyonge wa nchi hii.
Ni kweli. Ila ni kwa sababu hawajui umuhimu wake. Ni kama mtoto mtundu anayependa michezo akimbiwa kipaumbele kiwe shule asivyoelewa.Ukipita Kariakoo Muda huu kwa wafanyabiashara wale ukawaambia sasa Kipaumbele kiwe Katiba Mpya wanaweza kukuua kwa mawe!
Katiba mpya haiondoi uzembe wala haizuii moto kutokeaNi kweli. Ila ni kwa sababu hawajui umuhimu wake. Ni kama mtoto mtundu anayependa michezo akimbiwa kipaumbele kiwe shule asivyoelewa.
Hakuna katiba inayozuia moto kutokea duniani. Angalia utaitwa zuzu kwa kujenga hoja kwenye jambo la namna hii. Katiba ikiwa nzuri inatoa nafasi ya mifumo ya nchi kufanya kazi kwa ufanisi. Na mifumo ikifanya kazi kwa ufanisi maisha ya wananchi yanaimarika na nchi inaendelea.Katiba mpya haiondoi uzembe wala haizuii moto kutokea
Nimekwambia haiondoi uzembe ndio maana Ulaya pamoja na kuwa nchi zake zina Katiba nzuri lakini bado kuna mambo ya ovyo ovyo yanafanyika.Hakuna katiba inayozuia moto kutokea duniani. Angalia utaitwa zuzu kwa kujenga hoja kwenye jambo la namna hii. Katiba ikiwa nzuri inatoa nafasi ya mifumo ya nchi kufanya kazi kwa ufanisi. Na mifumo ikifanya kazi kwa ufanisi maisha ya wananchi yanaimarika na nchi inaendelea.
Uzembe hauwezi kuondoka kwa watu wote wacha kujenga hoja kwa jambo kama hili kwani unaweza kuitwa zuzu. Uzembe unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa lakini hauwezi kuisha kwa kila mtu.Nimekwambia haiondoi uzembe ndio maana Ulaya pamoja na kuwa nchi zake zina Katiba nzuri lakini bado kuna mambo ya ovyo ovyo yanafanyika.
Ulivyo punguani ukasoma na kujibu sentensi moja
Sawa zwazwaUzembe hauwezi kuondoka kwa watu wote wacha kujenga hoja kwa jambo kama hili kwani unaweza kuitwa zuzu. Uzembe unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa lakini hauwezi kuisha kwa kila mtu.
Ana chapa kazi katika kupaka piko kwenye nywele zake tuPM wetu miyeyusho sana
HahahaAna chapa kazi katika kupaka piko kwenye nywele zake tu
Msiaze kusingizia wamachinga. Mnalo hilo mlinywe! Na aliedesig masikini hatunaye tena!Management ya miji mikubwa kwetu Afrika ni kitu kipya. Wenzetu Ulaya na kwingineko walijifunza the hardway.
Moto wa London, The Great Fire of London mwaka 1666, karibia miaka 500 iliyopita , Uingereza ilijifunza kutokana na moto huo wa siku nne mfululizo.
Chanzo: Machinga type mentality.
Sisi huku Tanzania , wanao manage miji, wanasiasa na hata hao machinga, wametoka vijijini, wengine jana, na wengine si zaidi ya miaka 15 au 20 iliyopita.
Katika historia ya kikoloni sisi tulisoma juu ya The Great Fire of London, sina uhakika na hilo kwa viongozi wengi wa miji wa sasa.
Tumeonya sana juu ya Machinga mijini, lakini kwa vile ni mtaji wa kisiasa, wataendelea kuwepo hadi tukio kama la Kariakoo litokee tena.
Rais na hata Waziri Mkuu wanaunda Tume za chanzo cha moto wakati majibu wanayo. Basically ni whitewash.
Tumechecka na machinga mentality, na sasa tunavuna mabua, literally!
Kauli zilizopitwa na wakatiKwani sisi machinga ndio tumeunguza soko la kariakoo ? Mlitulipisha 20,000/= ya kitambulisho cha wajasiriamali wadogo, mtuguse tunuke 🐒🤸🔥
Nyie ndiyo wa kutema mate hewani halafu kufikiria na kuomba hayo mate yasikudondokee kichwani.Msiaze kusingizia wamachinga. Mnalo hilo mlinywe! Na aliedesig masikini hatunaye tena!
But all in all its cannot garantee you food on the table , work hard manHakuna katiba inayozuia moto kutokea duniani. Angalia utaitwa zuzu kwa kujenga hoja kwenye jambo la namna hii. Katiba ikiwa nzuri inatoa nafasi ya mifumo ya nchi kufanya kazi kwa ufanisi. Na mifumo ikifanya kazi kwa ufanisi maisha ya wananchi yanaimarika na nchi inaendelea.
Ama wenye maduka wamechoma ikiwa ni reaction ili wamachinga waondolewe mbele ya maduka yaoKumbe machinga wamechoma soko moto ili wapate mahala pa kuuzia yale matakataka yao ya kutoka jalalani China
Ukitaja maji ndio watakupenda ?, Msiogope njia ya HAKI kisa mmezoea Vitu vya KunyongaUkipita Kariakoo Muda huu kwa wafanyabiashara wale ukawaambia sasa Kipaumbele kiwe Katiba Mpya wanaweza kukuua kwa mawe!
Amani Jidulamabambasi amefufukia JF?Management ya miji mikubwa kwetu Afrika ni kitu kipya. Wenzetu Ulaya na kwingineko walijifunza the hardway.
Moto wa London, The Great Fire of London mwaka 1666, karibia miaka 500 iliyopita , Uingereza ilijifunza kutokana na moto huo wa siku nne mfululizo.
Chanzo: Machinga type mentality.
Sisi huku Tanzania , wanao manage miji, wanasiasa na hata hao machinga, wametoka vijijini, wengine jana, na wengine si zaidi ya miaka 15 au 20 iliyopita.
Katika historia ya kikoloni sisi tulisoma juu ya The Great Fire of London, sina uhakika na hilo kwa viongozi wengi wa miji wa sasa.
Tumeonya sana juu ya Machinga mijini, lakini kwa vile ni mtaji wa kisiasa, wataendelea kuwepo hadi tukio kama la Kariakoo litokee tena.
Rais na hata Waziri Mkuu wanaunda Tume za chanzo cha moto wakati majibu wanayo. Basically ni whitewash.
Tumechecka na machinga mentality, na sasa tunavuna mabua, literally!