Moto Kariakoo: Tunaendekeza machinga mentality, tumeanza kuvuna mabua

Moto Kariakoo: Tunaendekeza machinga mentality, tumeanza kuvuna mabua

Nimekwambia haiondoi uzembe ndio maana Ulaya pamoja na kuwa nchi zake zina Katiba nzuri lakini bado kuna mambo ya ovyo ovyo yanafanyika.
Ulivyo punguani ukasoma na kujibu sentensi moja
Matusi ya Nini? Ukitukanwa usikimbilie kuomba ban
 
Kama Kuna watu wa hovyo, Basi huyu anaongoza katika Safi wa executives
Tatizo si ka mtu mmoja.
Ni collective responsibility, wanasiasa kwa ujumla wao wamelilea hili tatizo la machinga mijini.
Msimamo huo unapingana na sheria za Mipango Miji.

Watendaji serikalini ni kama wamepigwa ganzi kulishughulikia.

Kwa msimamo huo mimi binafsi nategemea moto zaidi Jijini.
 
Tatizo si ka mtu mmoja.
Ni collective responsibility, wanasiasa kwa ujumla wao wamelilea hili tatizo la machinga mijini.
Msimamo huo unapingana na sheria za Mipango Miji.

Watendaji serikalini ni kama wamepigwa ganzi kulishughulikia.

Kwa msimamo huo mimi binafsi nategemea moto zaidi Jijini.
Kwani machinga ndio wamechoma soko? Hii chuki binafsi kwa wamachinga inawasaidia nini nyie watu? Maana kuna vita baridi dhidi ya hawa watu 😅 sio kila mtu ana hela ya kununua fremu za mamilion ila wote tunataka tufanye biashara kariakoo jmn sababu watu wapo! Uhakika wa kupata riziki upo eneo lile sasa ubaya ni nini? Au tuje tuwaibie power window za magari yenu mitaani kwenu.
 
Chuki ya wazi kwa machinga kabisa hii.

Kunywa maji kisha ukae sehemu utulie.
 
Waboreshe sekta ya kilimo, viwanda, nk. Hakutakuwa na machinga mjini tena.
Kama serikali kipaumbele ni sanamu, unategemea watakumbuka lini kilimo na viwanda? Walianza na sanamu la Diamond tukadhani wanatania, wakaja sanamu la Samata, sasa wameanza la Bwana yule. Yaani ni mwendo wa sanamu, sanamu, sanamu.
 
utakuwa uonevu kuwafukuza wamachinga mijini na kuwaacha wachina wafanye umachinga, fukuza kwanza wachina na waasia waliozamia nchini halafu shughulikia wamachinga waende invest katika kilimo badala ya kuuza mitaani rejects za mchina.serikali itoe mikopo nafuu ya kilimo na itenge ardhi ya kulima mazao ya kuwapatia soko wamachinga nchini kenya na southern sudan. hakika tutabadili maisha ya vijana.
 
Kwani machinga ndio wamechoma soko? Hii chuki binafsi kwa wamachinga inawasaidia nini nyie watu? Maana kuna vita baridi dhidi ya hawa watu 😅 sio kila mtu ana hela ya kununua fremu za mamilion ila wote tunataka tufanye biashara kariakoo jmn sababu watu wapo! Uhakika wa kupata riziki upo eneo lile sasa ubaya ni nini? Au tuje tuwaibie power window za magari yenu mitaani kwenu.
Mkuu unatetea kitu kinaitwa ANARCHY, au lawlessness.
Lazima Miji iendeshwe kwa mipango inayoeleweka, kama ni riziki inginia na pale getini Ikulu uuze bidhaa zako.
Ni poa tu.
 
Mkuu unatetea kitu kinaitwa ANARCHY, au lawlessness.
Lazima Miji iendeshwe kwa mipango inayoeleweka, kama ni riziki inginia na pale getini Ikulu uuze bidhaa zako.
Ni poa tu.
Hahahahah angekuwepo mzee Magu ningeingia
 
Management ya miji mikubwa kwetu Afrika ni kitu kipya. Wenzetu Ulaya na kwingineko walijifunza the hardway.

Moto wa London, The Great Fire of London mwaka 1666, karibia miaka 500 iliyopita , Uingereza ilijifunza kutokana na moto huo wa siku nne mfululizo.
Chanzo: Machinga type mentality.

Sisi huku Tanzania , wanao manage miji, wanasiasa na hata hao machinga, wametoka vijijini, wengine jana, na wengine si zaidi ya miaka 15 au 20 iliyopita.

Katika historia ya kikoloni sisi tulisoma juu ya The Great Fire of London, sina uhakika na hilo kwa viongozi wengi wa miji wa sasa.

Tumeonya sana juu ya Machinga mijini, lakini kwa vile ni mtaji wa kisiasa, wataendelea kuwepo hadi tukio kama la Kariakoo litokee tena.

Rais na hata Waziri Mkuu wanaunda Tume za chanzo cha moto wakati majibu wanayo. Basically ni whitewash.

Tumechecka na machinga mentality, na sasa tunavuna mabua, literally!
Kuna mambo hujayaweka wazi bado brother weka mambo wazi hiyo Great fire sio kila mtu anajua humu
 
Back
Top Bottom