kuna sababu kuu mbili ambazo zinasababisha forest fire,ya kwanza, ni sababu za kibinadamu(human cause)na ya pili ni sababu za asili(natural cause)lakini human cause hazina madhara makubwa kwasababu ni rahisi sana kuzuilika kuliko natural cause ambazo zina madhara makubwa(japo kuwa ni 12% tu ya chazo)..upande wa natural causes,moto unaweza kusababishwa aidha na radi au mlipuko wa volkano(volcanic eruption),kama ulivyoelezwa hapo juu moto unategemea vitu vikuu vitatu oxygen,joto,na fuel(miti),radi hizi zinazosababisha huu moto mara nyingi huwa haziambatani na mvua na hupiga mara 100 kwa kila sekunde..sasa ipo hivi kwenye msitu kuna oxygen(1),pia kuna miti/fuel(2) lakini hakuna joto/heat(3)..kwahiyo volkano itakapo lipuka(erupt) au radi itakapo piga lazima itatengeneza "spark" ambazo ndizo zinazo sababisha joto(3)..hivyo basi vitu vyote ambavyo ni muhimu ili moto uwake yaani oxygen,fuel, pamoja na joto vitakuwepo na mwisho moto utawaka tu!