Kitang'wa1
JF-Expert Member
- Dec 4, 2014
- 460
- 285
Wana Jukwaa salaam. Napenda kujuzwa, ni nini huwa kinasababisha moto kuwaka kwenye ile misitu ya nchi za magharibi (Marekani na Urusi) kwa mfano hasa kipindi cha baridi kali? Nijuavyo mimi dawa ya moto kuzimwa ni maji, sasa ule moto unaozuka na kusababisha hasara kubwa, tena unaunguza hata miti iliyo na ukungu wa barafu, huwa ni moto wa aina gani? Tena huwa nasikia na nilisoma mahala ya kuwa, huwa unazimwa kwa maji maalumu yenye dawa maalumu.
Naomba kuwasilisha.
Ahsante!
Naomba kuwasilisha.
Ahsante!