Moto Mkubwa unawatesa Wamarekani wa Jimbo la California

Moto Mkubwa unawatesa Wamarekani wa Jimbo la California

Nimetafakari sana, Wamarekani wanaojiona wana kila kitu wameshindwa kujiokoa kwenye hili janga… Ndivyo wale watoto wasio na hatia Gaza wanavyoshindwa kujiokoa!
Wamarekani wangapi wamekufa katika hilo janga?
 
Najiuliza tu wale wenye makampuni ya insurance pande hizo kipindi kama hiki si wanachanganyikiwa kabisa?
Mara ya mwisho moto mkubwa kuwaka Marekani ni 2020, hayo makampuni yamejikusanyia pesa za bima kwa miaka 4 bila moto kuwaka wameshatengeneza faida kubwa sana.
 
Tizama dunia hii. James Woods, muigizaji maarufu wa Hollywood ambaye alishabikia Wapalestina wote wa Ghazza wateketezwe, Mungu kamtahini kwa kuunguliwa na nyumba yake katika moto mkubwa unaoendelea kuiteketeza California, sasa analia kama mtoto mdogo! Ama kweli mzigo wa mwenzio ni kanda la usufi


View attachment 3198940



View attachment 3198962



View attachment 3198970



View attachment 3198977
Mkuu huyo jamaa alishabikia wapi wapalestina waateketezwe? Au kwa kuwa ni Mmarekani automatically anakuwa shabiki? Kuna wamarekani wengi wanaipinga Israel sema wengine wanaogopa kuipinga hadharani kwa sababu ya maslahi yao wanaweza kupotea kwenye industry. Na comments nyingi mtandaoni za WAmarekani wamechoshwa na nchi kujihusisha na mataifa mengine badala ya kupambana na yanayoendelea nchini mwao.
 
Watumie mbinu ya kuchimba kama barabara kati ya eneo lenye moto na lisilo na moto kutenganisha mawasiliano vinginevyo maji wataita mma
Huenda washalifikiria hili unaambiwa kuna upepo balaa moto unaruka kama ninja wa kwenye movie.
 
Hao wanabima watalipwa na wazungu walivyo na akili sana zile document muhimu huwa zipo katika soft copy
 
Daah huu uzi acha tu nipite kimya kimya. Kila nikifikiria tetemeko la ardhi haiti,uturuki kisha bukoba,moto mlima Kilimanjaro napo najiuliza wa gaza nao walikosewa na hawa watu ama bado wale mahujaji kule makka wanaokufa kwa msongamano daah Palestine jitu kubwa sana
 
Haya majanga yapo tu siku zote na yataendelea kuwepo milele na wala hayana mahusiano yoyote na mambo ya Gaza kwani hata huko Gaza Israel hakukurupuka tu na kuanza kuishambulia Gaza.

Ila watu wenye kufagilia tamaduni za wengine wakiona hayo ndio wanapata mtaji wa kueneza propaganda za uongo.

Nakumbuka mwaka 1974 tulipata njaa ya kihistoria hadi Mwalimu Nyerere ilibidi aende kuomba msaada wa chakula nchini Marekani na kupewa tani na tani za mahindi ya njano yaliyobatizwa jina la Yanga pamoja na Bulgar na ndipo watanzania tukapumua, sasa kwa hilo janga sisi tulikuwa tunapewa adhabu ya nini...!!??😲😲😲
Kila janga ni mtihani au adhabu Mungu ndio hukumbusha watu Kwa namna hio, ukiona janga lolote jua Kuna uasi nyuma yake refer Mungu kabla hajamuangamiza Firauni yalipita mangapi nyuma yake.
 
Kigogo kipindi ichi ungejificha kwamuda usije kuwaponza na wengine uko vichocholoni unapoishi kutawaka moto!!!
Kumbuka wapalestina waliua ndugu zetu Watanzania wawili, wale vijana waliuwawa kama vibaka bila hatia yoyote.
 
Kila janga ni mtihani au adhabu Mungu ndio hukumbusha watu Kwa namna hio, ukiona janga lolote jua Kuna uasi nyuma yake refer Mungu kabla hajamuangamiza Firauni yalipita mangapi nyuma yake.
Kwa hiyo ile njaa ya 1974 yenyewe watanzania tulimkosea nini Mungu wakati ni mwaka mmoja tu nyuma Nyerere alikuwa amefunga ubalozi wa Israel ili kuonyesha kuwaunga mkono Palestinians.
 
Kwa hiyo ile njaa ya 1974 yenyewe watanzania tulimkosea nini Mungu wakati ni mwaka mmoja tu nyuma Nyerere alikuwa amefunga ubalozi wa Israel ili kuonyesha kuwaunga mkono Palestinians.
Je unaweza kutofautisha adhabu na mtihani?
 
Haya majanga yapo tu siku zote na yataendelea kuwepo milele na wala hayana mahusiano yoyote na mambo ya Gaza kwani hata huko Gaza Israel hakukurupuka tu na kuanza kuishambulia Gaza.

Ila watu wenye kufagilia tamaduni za wengine wakiona hayo ndio wanapata mtaji wa kueneza propaganda za uongo.

Nakumbuka mwaka 1974 tulipata njaa ya kihistoria hadi Mwalimu Nyerere ilibidi aende kuomba msaada wa chakula nchini Marekani na kupewa tani na tani za mahindi ya njano yaliyobatizwa jina la Yanga pamoja na Bulgar na ndipo watanzania tukapumua, sasa kwa hilo janga sisi tulikuwa tunapewa adhabu ya nini...!!??😲😲😲
Kunywa mqji utulie kwanza afu jibu je ingekuwa IRAN ndio kafikwa na aya ww na wenzio msingesema mungu wa Israel ananguvu au kudai kushindana na Taifa teule ni sawa na kushindana na mungu misifa kwa Jehova lkn Leo amtaki watu wamtaje mungu kisa marekani anapigwa na mungu i vigeu vigeu nyie.
 
Mungu kaaanza kuwachapa kule kule kwenye shida kuuu. Muwe wa pole mnatakiwa sasa ndiio mumjue mungu wa kweli ni yupi!!!
 
Mungu hausiki na haya majangaz pia what if sio karma ni mipango ya watu wachache ili kupush agenda zao kwa serikali?
Watumie mbinu ya kuchimba kama barabara kati ya eneo lenye moto na lisilo na moto kutenganisha mawasiliano vinginevyo maji wataita mma
Barabara zipo, faya ile si ya kuzuiwa kwa njia hiyo, hii ni mungu kushusha mvua ya gharika ndo watapata hambuhambu
 
Hapa ni nyumbani kwa Mkristo huko Los Angeles, California. Wakati nyumba zilizomzunguka ziliharibiwa na moto, nyumba yake ilibaki bila kuguswa. Ahadi ya Mungu katika Zaburi 91:1-6 ilitimizwa. Huwezi kufikiria jinsi alivyolia kwa furaha, akijua analindwa na Mungu. Hakika Mungu ndiye kimbilio lake.
1736726894812.jpg
1736726877320.jpg
 
Hapa ni nyumbani kwa Mkristo huko Los Angeles, California. Wakati nyumba zilizomzunguka ziliharibiwa na moto, nyumba yake ilibaki bila kuguswa. Ahadi ya Mungu katika Zaburi 91:1-6 ilitimizwa. Huwezi kufikiria jinsi alivyolia kwa furaha, akijua analindwa na Mungu. Hakika Mungu ndiye kimbilio lake.View attachment 3200199View attachment 3200200
Atubish wajuzi wachamungu wenyye Iman ulidwa na mungu popote tunaona ata ndege ya inaanguka lkn wenye iman upona duniani tunapita tuwe wakweli tuache kuonea watu sio wamarekan wote wanaunga mkono mauwaji ya wapalestina wapo wanapinga kias cha kuacha kazi serikalini mtu kama uyu vip mungu asimlinde !!!
 
Back
Top Bottom