Moto Mkubwa unawatesa Wamarekani wa Jimbo la California

Moto Mkubwa unawatesa Wamarekani wa Jimbo la California

Nimetafakari sana, Wamarekani wanaojiona wana kila kitu wameshindwa kujiokoa kwenye hili janga… Ndivyo wale watoto wasio na hatia Gaza wanavyoshindwa kujiokoa!
Ebu jaribu kufikiria huo moto ungetokea hapo manzese
 
Haya majanga ya asili si ya kutanguliza ushabiki ama siasa maana leo ni moto huko USA kesho utasikia moto mlima Kilimanjaro au mafuriko Karia koo.

Umetoa sababu kwa Mtu mmoja vipi hao wengine nao wamekosea wapi maana ni maelfu ya nyumba zilizoungua.

Mungu si mwenye visasi tuache kuhukumu na kujustify mambo kwa kuendeshwa na ushabiki.
Tatizo nyinyi amuaminiki mkisema aya majanga ya asili kesho kutwa ikotokea IRAN mtaanza Mossad kazin jehova ananguvu Israel ndio wenye akili zaid mungu wa Israel ni mkuu!! Ukiibariki Israel naww unabarikiwa ukiilaani naww unalaniwa yani mkiumia nyinyi asili iyo akiumia IRAN mungu uyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ebu jaribu kufikiria huo moto ungetokea hapo manzese
Sema ungetoa IRAN je ungesema asili au ungetwambia ukiilani Israel naww unalaniwa!!!! Mngemshilikisha mungu!!! sasasa mnadai sio mungu ni asili Sababu marekani inanyooshwa!@ mbaya zaid watafiti wengi wameprove kuwa huu MOTO aujawai tokea duniani wakufanana kwann tusiamini marekani inaadhibia,,,
 
Mkuu huyo jamaa alishabikia wapi wapalestina waateketezwe? Au kwa kuwa ni Mmarekani automatically anakuwa shabiki? Kuna wamarekani wengi wanaipinga Israel sema wengine wanaogopa kuipinga hadharani kwa sababu ya maslahi yao wanaweza kupotea kwenye industry. Na comments nyingi mtandaoni za WAmarekani wamechoshwa na nchi kujihusisha na mataifa mengine badala ya kupambana na yanayoendelea nchini mwao.
1736772993445.png
 
Uyo mzee ni mnyama yumkim majanga yataendelea kwake adi adhalilike tena kwa unyama wake Majeshi gani duniani yanauwa Watoto makusudi zaid ya IDF sasa wewe unashabikia manake vitoto vile vimekukosea nini mi nawaambia ata mazwazwa umu tunao kwenye mitandao hii zambi wameifanya watailipia kila mmoja kwanamna yake na uwezo wake lkn lazima wapate machungu ya machozi ya VITOTO Vichanga vya GAZA awakuwa na hatia yoyote!!!
 
Hapa ni nyumbani kwa Mkristo huko Los Angeles, California. Wakati nyumba zilizomzunguka ziliharibiwa na moto, nyumba yake ilibaki bila kuguswa. Ahadi ya Mungu katika Zaburi 91:1-6 ilitimizwa. Huwezi kufikiria jinsi alivyolia kwa furaha, akijua analindwa na Mungu. Hakika Mungu ndiye kimbilio lake.View attachment 3200199View attachment 3200200
Kwahiyo hao waliounguliwa sio wakristo
 
Uyo mzee ni mnyama yumkim majanga yataendelea kwake adi adhalilike tena kwa unyama wake Majeshi gani duniani yanauwa Watoto makusudi zaid ya IDF sasa wewe unashabikia manake vitoto vile vimekukosea nini mi nawaambia ata mazwazwa umu tunao kwenye mitandao hii zambi wameifanya watailipia kila mmoja kwanamna yake na uwezo wake lkn lazima wapate machungu ya machozi ya VITOTO Vichanga vya GAZA awakuwa na hatia yoyote!!!
Hapo bongo ukigusa kibaya kuhusu israeli walokole lazima watokwe na udenda aliyewaloga sijui naye amekufa
 
Back
Top Bottom