Moto Mkubwa unawatesa Wamarekani wa Jimbo la California

Nimetafakari sana, Wamarekani wanaojiona wana kila kitu wameshindwa kujiokoa kwenye hili janga… Ndivyo wale watoto wasio na hatia Gaza wanavyoshindwa kujiokoa!
Ebu jaribu kufikiria huo moto ungetokea hapo manzese
 
Tatizo nyinyi amuaminiki mkisema aya majanga ya asili kesho kutwa ikotokea IRAN mtaanza Mossad kazin jehova ananguvu Israel ndio wenye akili zaid mungu wa Israel ni mkuu!! Ukiibariki Israel naww unabarikiwa ukiilaani naww unalaniwa yani mkiumia nyinyi asili iyo akiumia IRAN mungu uyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ebu jaribu kufikiria huo moto ungetokea hapo manzese
Sema ungetoa IRAN je ungesema asili au ungetwambia ukiilani Israel naww unalaniwa!!!! Mngemshilikisha mungu!!! sasasa mnadai sio mungu ni asili Sababu marekani inanyooshwa!@ mbaya zaid watafiti wengi wameprove kuwa huu MOTO aujawai tokea duniani wakufanana kwann tusiamini marekani inaadhibia,,,
 
 
Uyo mzee ni mnyama yumkim majanga yataendelea kwake adi adhalilike tena kwa unyama wake Majeshi gani duniani yanauwa Watoto makusudi zaid ya IDF sasa wewe unashabikia manake vitoto vile vimekukosea nini mi nawaambia ata mazwazwa umu tunao kwenye mitandao hii zambi wameifanya watailipia kila mmoja kwanamna yake na uwezo wake lkn lazima wapate machungu ya machozi ya VITOTO Vichanga vya GAZA awakuwa na hatia yoyote!!!
 
Kwahiyo hao waliounguliwa sio wakristo
 
Hapo bongo ukigusa kibaya kuhusu israeli walokole lazima watokwe na udenda aliyewaloga sijui naye amekufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…