Moto moto wamechokoza wenyewe, yani mpaka wajute, Yanga tunakiwasha

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Yani hapa,mpaka life jitu,tupo tayari kwa mapambano,tunavunja mkataba na azam,tunawafuata dstv,hatutumii vitu vya azam,tunatumia vya azania na makapuni mengine,

Yaani tumejianda kwa vita wananchi wote hakuna kununua vitu vya Azam, yaani atakaye pata shida ni azam sio yanga, ebu imagine yanga wapo wangapi tanzania,alafu wasinunue vitu vya azam jiuliza azam,biashara itayumba tu.

Wamechokoza moto uwiiiiii tupo tayari
 
Walaumu waliokuleta duniani sio bure [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Acha upumbavu wewe. DSTV ndio aje aingie mkataba na katimu kamoja? Kwanza mkataba wa matangazo ni WA TFF. Halafu kumbuka hizi ni kampuni mbili tofauti ,football club ni ya mtoto
 
Kumbuka wenye akili ni wawili tu na wewe haupo kwenye hao wawili kwa hiyo upo sahihi
 
Huu nao utakuwa upuuzi uliokithiri sasa!!!, Msituhusishe upuuzi huo shenzi kabisa.
 
Yani note ulio comment vilaza,mmekaza shingo kama una dinywa,mimi hapa naenjoy kuandika hii kwangu kama starehe na washangaa nyie uliokaza shingoo,mzee kama una pesa usinunie watu ovyoo
 
Hata kuangalia mechi ya NBC utatumia DSTV?
 
 
Akili zenu zinaishia kwenye connection tu ila huwa mnajikuuta!wakati wenye akili ni wawili tu nao hata humu huwa hawachangii chochote

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
mimi ni Yanga ila huu upumbavu Nishindwe kutumia vitu vya azam eti kisa Fei toto, hawa wanaojiita wazee wa Yanga hicho cheo wamepewa na nani pumbavu zao
Ukishajua wachezaji ni wafanyakazi kama wafanyakazi wengine huwezi kuhangaika na wanaohama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…