Moto moto wamechokoza wenyewe, yani mpaka wajute, Yanga tunakiwasha

Moto moto wamechokoza wenyewe, yani mpaka wajute, Yanga tunakiwasha

Kama mzazi wa kijana kama huyu unajuta bora mbegu zako ungepigia nyeto tu..kuliko kuzaa huu upuuzi.
 
mimi ni Yanga ila huu upumbavu Nishindwe kutumia vitu vya azam eti kisa Fei toto, hawa wanaojiita wazee wa Yanga hicho cheo wamepewa na nani pumbavu zao
Mkuu acha kulamba ukwaju wewe,
 
Kwani hiyo mnaanza lini? maana nipo na jamaa angu hapa Yanga kindaki ndaki ila namuona ananunua energy drink ya azam na ananitambia kesho tutakuwa wote akiwatazama Prisons wakimpigia pira gwaride Simba sc
 
Yani hapa,mpaka life jitu,tupo tayari kwa mapambano,tunavunja mkataba na azam,tunawafuata dstv,hatutumii vitu vya azam,tunatumia vya azania na makapuni mengine,

Yaani tumejianda kwa vita wananchi wote hakuna kununua vitu vya Azam, yaani atakaye pata shida ni azam sio yanga, ebu imagine yanga wapo wangapi tanzania,alafu wasinunue vitu vya azam jiuliza azam,biashara itayumba tu.

Wamechokoza moto uwiiiiii tupo tayari
Mimi ni shabiki wa Yanga! Ila sijawahi kuunga mkono upuuzi kama huu.
 
... imagine yanga wapo wangapi tanzania,alafu wasinunue vitu vya azam jiuliza azam,biashara itayumba tu.
na vijana mnavyopenda energy drinks, kama hapo ulipo hauna Azam Energy, basi una Mo Energy
 
Kwa hyo mkienda kwa muuza chapati mtajuaje kama kapikia unga wa bakhresa...?
 
Yani hapa,mpaka life jitu,tupo tayari kwa mapambano,tunavunja mkataba na azam,tunawafuata dstv,hatutumii vitu vya azam,tunatumia vya azania na makapuni mengine,

Yaani tumejianda kwa vita wananchi wote hakuna kununua vitu vya Azam, yaani atakaye pata shida ni azam sio yanga, ebu imagine yanga wapo wangapi tanzania,alafu wasinunue vitu vya azam jiuliza azam,biashara itayumba tu.

Wamechokoza moto uwiiiiii tupo tayari
Hizo bangi umevuta saa ngapi. Haya ukitoka hapo nenda kanunue andazi za 400 na azam cola 600 ule ukalale.

Viginevyo utakufa njaa mla mihogo wewe
 
Back
Top Bottom