Ngoja liungue takataka la kuunga mkono ukandamizajiTaarifa za awali zinaeleza kuwa moto unaunguza kiwanda cha magazeti cha kampuni ya Mwananchi huku juhudi za uzimaji ukiendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja liungue takataka la kuunga mkono ukandamizajiTaarifa za awali zinaeleza kuwa moto unaunguza kiwanda cha magazeti cha kampuni ya Mwananchi huku juhudi za uzimaji ukiendelea
Lilichapisha habari za upinzani nadhani......Huu moto umewaka kwenye chumba cha Uchapishaji, kwa jicho la kawaida ni kwamba Wachomaji walilenga kuharibu kitu fulani Je, ni kitu gani? Na Je, hilo gazeti la asubuhi lilikuwa na taarifa gani hadi kufanyiwa hujuma.
Namfahamu Machumu, niliwahi kufanya naye kazi mahali fulani, ni mwema sana kwa wafanyakazi wa Mwananchi lakini ni mpambe wa Watawala.
Itafahamika tuLilichapisha habari za upinzania nadhani......
Hilo linakujaErythrocyte tunaomba Chama kitoe kauli juu ya ufidhuli wa CCM wa elimu ya katiba miaka 3 kuwa ni janja ya nyani ya kutokubali katiba mpya! Upuzi mtupu, delaying tctics kubaki madarakani kwa kuwa katiba hii inawa favour CCM
Unapenda sana KULAANI wengine....usiku huu umetoka KUMLAANI ndugu yetu marehemu O.Mtweve....Una moyo wa kipekee [emoji1787][emoji1787]Ngoja liungue takataka la kuunga mkono ukandamizaji
Angalia MO alivyopatikana , unataka tusubiri kama hivi ?Subirini kwanza muambiwe chanzo cha moto siyo kukurupuka kuwaza ya kwenu mara bima mara habari ilitaka kusemaje.
Sana, maana ni wauaji wa roho na haki za wengine. Yeyote aliyepo CCM ni muuaji. Sawa na apartheid wakati huo, yeyote aliunga mkono apartheid alikuwa MUUAJIUnapenda sana KULAANI wengine....usiku huu umetoka KUMLAANI ndugu yetu O.Mtweve....Una moyo wa kipekee [emoji1787][emoji1787]
Hapo kwenye upambe hukukosea kitu.Huu moto umewaka kwenye chumba cha Uchapishaji, kwa jicho la kawaida ni kwamba Wachomaji walilenga kuharibu kitu fulani Je, ni kitu gani? Na Je, hilo gazeti la asubuhi lilikuwa na taarifa gani hadi kufanyiwa hujuma.
Namfahamu Machumu, niliwahi kufanya naye kazi mahali fulani, ni mwema sana kwa wafanyakazi wa Mwananchi lakini ni mpambe wa Watawala.
Kweli, uhuru wa kujieleza, uhuru wa vyombo vya habari ni jambo la muhimu kwa serikali ya awamu hiiHuu moto umewaka kwenye chumba cha Uchapishaji, kwa jicho la kawaida ni kwamba Wachomaji walilenga kuharibu kitu fulani Je, ni kitu gani? Na Je, hilo gazeti la asubuhi lilikuwa na taarifa gani hadi kufanyiwa hujuma.
Namfahamu Machumu, niliwahi kufanya naye kazi mahali fulani, ni mwema sana kwa wafanyakazi wa Mwananchi lakini ni mpambe wa Watawala.
Kama hukumshaurikuachana na UUAJI wa chama chake, basi leo nyamaza vile vile tumseme kwa Mungu/shetani wake ampokeendugu yetu marehemu O.Mtweve
Idiot is you who is condoning the "massacre" of Tanzanians by CCMYou have gone to far idiotic.....
Ain't you misguided ?!!
You're ....