upupu255
Senior Member
- Sep 4, 2024
- 119
- 144
Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza nyumba ya familia ya Bibi Maria Kaudidi Mkazi wa Kijiji cha Urauri Kata ya Rea Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro nakuicha familia hiyo bila makazi huku Bibi huyo na wajukuu wake wanne wakinusurika.
Tukio hilo limetokea Usiku wakuamkia Jumatatu ya March 3,2025 ambapo uliteketeza Mbuzi 7, Kuku pamoja na Bata Mzinga.
Kufuatia tukio hilo, Mbunge wa Rombo Prof. Adolf Mkenda amekabidhi Msaada wa Vyakula pamoja na Magodoro, Mablanketi, Godoro kwaajili kwa familia hiyo huku akiwaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuisaidia familia hiyo.
Tukio hilo limetokea Usiku wakuamkia Jumatatu ya March 3,2025 ambapo uliteketeza Mbuzi 7, Kuku pamoja na Bata Mzinga.
Kufuatia tukio hilo, Mbunge wa Rombo Prof. Adolf Mkenda amekabidhi Msaada wa Vyakula pamoja na Magodoro, Mablanketi, Godoro kwaajili kwa familia hiyo huku akiwaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuisaidia familia hiyo.