Moto wateketeza ghala lenye mizigo ya magendo na waliokwepa ushuru Tanga

Nimeshtuka na hii habari sana mbona kama inafikirisha
Si vitenge vilitoroshwa mkuu wa mkoa akatoa adhabu sasa hivi vikivyoungua vilikuwepo tena ?
 
Tanga ni kuchafu sana kwa Rushwa! Watumishi wengi Tanga wananuka Rushwa! Serekali Kuu naiomba iitupie jicho la tatu hapo Tanga!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Muda wa kutoa report itakua kimya kimya na hata lisisikike Jambo lolote kwani hiyo ni inside Job! Hujuma au arson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…