Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,659
- 2,227
Ficha ujinga wako.Hujuma.Haina kupepesa macho wala kutikisa masikio.Wafuasi wa dini fulani huwa ni miuaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha ujinga wako.Hujuma.Haina kupepesa macho wala kutikisa masikio.Wafuasi wa dini fulani huwa ni miuaji.
Tunaweza sema ni waislamu kumbe Kuna shida nyingine.Sema basi TU,sijui huu utengano wa mkristo na mwislamu sijui unatoka wapi maana ukiangalia tunaempigania na kumwabudu ni Mungu mmoja. Hii Dunia tunakoelekea😭😭😭😭
Hao jamaa hawako kidini na wala hawajui dini kabisa !! Wana maslahi yao binafsi haswa ya kiutawala na pia wapo wanao maliza wenzao hata msikiti hawajui in short bado Kuna political instability nchini mwao except saud arabiaTunaweza sema ni waislamu kumbe Kuna shida nyingine.Sema basi TU,sijui huu utengano wa mkristo na mwislamu sijui unatoka wapi maana ukiangalia tunaempigania na kumwabudu ni Mungu mmoja. Hii Dunia tunakoelekea😭😭😭😭
Donnie Charlie soma hii comment nadhani hapa pengine Utakubali /utaamini..alafu nimekuwekea na chanzo cha uhakika,au wewe Reuters hauwaamini?Bomu la kutupwa kwa mkono (hand grenade) haliwezi leta madhara makubwa hivyo. Linaleta blast sio burning
Ni ujinga unaopitiliza.Unaambiwa mtu akiua hivi kwa ajili ya huyo mungu wao, ndipo anapanda hadhi kule peponi!
Huyu kiumbe hakuridhika na zile damu kagara za ucinjaji wanyama baada ya kirushia mawa kidhaniwacho kuwa ni shetani na sasa anawashinikiza wafuasi wake wampelekee damu za wakristu?Wakristo 35 wamefariki dunia na wengine 45 kujeruhiwa katika mji wa Gazi nchini Misri kwa kile kilichodaiwa kuwa Ni bomu la kurushwa kwa mkono kulipuka kanisani wakati ibada ya jumapili ikiendelea.
View attachment 2323770View attachment 2323771View attachment 2323772
I have never regreted to be born a Muslim.........despite the endless hatred from its enemy.Wakristo 35 wamefariki dunia na wengine 45 kujeruhiwa katika mji wa Gazi nchini Misri kwa kile kilichodaiwa kuwa Ni bomu la kurushwa kwa mkono kulipuka kanisani wakati ibada ya jumapili ikiendelea.
View attachment 2323770View attachment 2323771View attachment 2323772
Usijali, Uislam umekuja juzi TU duniani hapa ..na utapita kama vile kila kitu duniani hapa kinapita TU.Waislamu hata Kama tukafanyi nini still dunia na watu wake watatuona watu wabaya. Kila kitu kibaya kinahusishwa na uislamu, magaidi ni waislamu, wachawi ni waislamu, kuingiliana kinyume na maumbile ni waislamu. Ulimwengu ushaaminishwa kuwa uislamu ni threat kwa dunia na haupaswi kuexist.
Asante kwa ufafanuziChanzo ni hiki[emoji116]..hitirafu ya umeme,rekebisha maelezo yako mkuuView attachment 2323798
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ni ujinga unaopitiliza.
That's why naona madogo asilimia fulani hawapelekwi skuli wanashinda madrassa wakifundwa na elimu ahera huku dunia ikiachwa.
Sasa dogo anakuwa akijua unapoUA binadamu wasio Imani yako unaenda binguni direct unadhani hata umweleze kwa kugha gani hawezi kukuelewa coz toka anakua kishaambiwa tofauti na lako.
Acha wagongwe nchi ya kiislam mnangoja nini?Afu atokee mmoja aseme ile dini nyingine ni ya amani..!!! AMANI MY FOOT
Mufti pole sana naona message delivered!.Punguza chuki na ujinga kipara kama busha tafuta Uzi wako ulete meneno yako kama haya sio kuattack sehemu hazihusiani
Ndio watasoma madrasa kama unataka vita sema ... Unachoambiwa huelewi tangaza vita basi uone .. haya washaua njoo ushambulie uislamu na waislamu kama wazazi wako hawatokuzika kesho
Koma kuhusisha Uislam na laana tena Koma,koma,koma......Nini mrembo
Weye umeuweka wapi?Uliwahi kuuona?Acha kukariri sentensi kama hanithi.Ficha ujinga wako.
Pole ya ujinga si unataka kutuona magaidi sasa tushaua amua cha kufanya!! Kama unataka vita tangaza mtaisha sanaMufti pole sana naona message delivered!.
Huyo Mungu wa mbingun alikuwa kanogewa usingizi baada ya kunywa maji ya uzima wakat huo makondoo yake yanaangamia ndani ya nyumba yake ya ibada.Usikute Waumini badala ya kujiokoa walianza kukemea "toka pepo" [emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app