Moto wazuka kanisani Misri, 41 wafariki

Moto wazuka kanisani Misri, 41 wafariki

Acha wagongwe nchi ya kiislam mnangoja nini?
Nchi, is just kaeneo kadogo kwenye uso wa dunia. Haya maelezo yako ukiyatazama kwa undani, ni kama vile unasema DUNIA YA KIISLAMU MNANGOJA NINI..!! That means mtauwa wote wasio waislamu hapa duniani
 
Waislamu hata Kama tukafanyi nini still dunia na watu wake watatuona watu wabaya. Kila kitu kibaya kinahusishwa na uislamu, magaidi ni waislamu, wachawi ni waislamu, kuingiliana kinyume na maumbile ni waislamu. Ulimwengu ushaaminishwa kuwa uislamu ni threat kwa dunia na haupaswi kuexist.
Watu wanajilipua na kuchinja Binadamu hiyo ni dini sasa?
 
Waislamu hata Kama tukafanyi nini still dunia na watu wake watatuona watu wabaya. Kila kitu kibaya kinahusishwa na uislamu, magaidi ni waislamu, wachawi ni waislamu, kuingiliana kinyume na maumbile ni waislamu. Ulimwengu ushaaminishwa kuwa uislamu ni threat kwa dunia na haupaswi kuexist.
Kabsa kila kitu kibaya dunia ni uislam!! Lakin mungu yupo na sisi na tayari tulishaambiwa kuhusu wao
 
Kwenye huu uzi wangu sijataja dini za watu wengine. Nimetaja Ukristo, kanisa na vifo. Nashangaa mnanishambulia kwa kusema Nina chuki na dini ya Kiislamu!
 
Waislamu hata Kama tukafanyi nini still dunia na watu wake watatuona watu wabaya. Kila kitu kibaya kinahusishwa na uislamu, magaidi ni waislamu, wachawi ni waislamu, kuingiliana kinyume na maumbile ni waislamu. Ulimwengu ushaaminishwa kuwa uislamu ni threat kwa dunia na haupaswi kuexist.
Shida iliyopo ni kuwa hata magaidi nao wanafana na uislam
1. Kimavazi
2. Lugha. Wakati wa mauwaji utawasikia wakitamka TAKBIL neno ambalo wale wanaotazamwa kama ndiyo waislamu kweli nao hulitumia. Kwa neno hili kuwatofautisha ni issue
3. Majina ya makundi hayo yanashabihiana na uislamu mfano ISIS - Islamic State

etc

Binafsi kumtofautisha gaidi na uislamu napata tabu sana..!! Chukulia mfano hapa Tanzania, ulishawahi ona wakristo wakiandamana kwenda kuchoma msikiti? Lakini waislamu walishawahi choma makanisa kadhaa
 
Uislam ni laana kwa dunia, ni wao wanataka kujiona ni dini pekee ya kuabudiwa,,,, Dini gani hii yatumia vitisho na mabavu
Vya China, India, Israel hauvioni? Kwani ukitumia akili ya darasa la pili kuna umuhimu gani wa kulaani Uislamu!!?
 
Kuna mtu hapo juu post #12 ameweka mpaka chanzo kabisa cha hiyo ajali cha ajabu watu wamekomaa na Uislam!!.

Yaani ni kama vile wamepata kisingizio cha kuutukana Uislam.
Tena huku wakitoa majina ya kutweza kama vile 'wazee wa vipedo',"wavaa kubazi"... n.k

Tujifunze kusema kwa haki hata kama kuisema haki kutatuweka matatani.
 
Waislamu hata Kama tukafanyi nini still dunia na watu wake watatuona watu wabaya. Kila kitu kibaya kinahusishwa na uislamu, magaidi ni waislamu, wachawi ni waislamu, kuingiliana kinyume na maumbile ni waislamu. Ulimwengu ushaaminishwa kuwa uislamu ni threat kwa dunia na haupaswi kuexist.
Ndiyo maana Marekani anawamaliza taratibu usipo fuata mashart yake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mtu sijui kaibiwa demu huko mana sio kwa chuki hizi zidi ya dini nyingine, anakurupuka tu ananzisha mada hata uhakika hana, sijui kama hata amekula hahah
 
Pole ya ujinga si unataka kutuona magaidi sasa tushaua amua cha kufanya!! Kama unataka vita tangaza mtaisha sana
Yaani hapo unaandika tu but unavyoonekana unatamani kuchinja mtu, aseee !.
 
Back
Top Bottom