"Moto" ya Nay wa Mitego imezimwa ghafla na "True boya" ya Young killer Msodoki

"Moto" ya Nay wa Mitego imezimwa ghafla na "True boya" ya Young killer Msodoki

Waliokuwepo kipindi jamii forums inaanza wakirudi humu machoz yatawatoka.


Wale bado wapo, kawatafute kule kwenye mijadala ya makanikia. JF sasa imekuwa jamvi kubwa sana watu hatuonani.
 
Waliokuwepo kipindi jamii forums inaanza wakirudi humu machoz yatawatoka.
machozi yakiwatoka watakuwa ni vichaa wa kufungwa kamba na basi nut zao za kichwa zitakuwa zimepotea..
Yani kwa hiyo walitegemea Jf iendelee kubaki vile vile kama zamani?
 
Mziki wa kilimwengu!!!
Wengine eti wametoka kwenye mfungo jana na wengine wanajinasibu kwa kujenga makanisa!

Nafikiri technology imekuwa sana kiasi kwamba, sasa inawezekana kuchanganya Mafuta na Maji!
 
Ukisikiliza ya mitandaoni utajikuta unameza tu kila kitu. Eti kisa mimi sina wa Fire by Diamond au Aje wa Alikiba kwenye device yangu basi nije kuutangazia umma kwamba huo wimbo umepotezwa vibaya. 'Moto' bado naisikia kila kona japokuwa mwenyewe sina huo wimbo
 
Hiphop ni mziki unaosimama kwenye ukweli ney anaimba ukweli na wala sio mipasho tatizo uelewa tu.
 
Killer nae hajielew sasa
Anashindana na tembo


Kunya huyo ameukwaa
Atajuta kumdip ney
Ngoja ampigie
 
Msodoki uwa namuelewa sana huyu dogo.anajua kupanga mistari sio kama dada neyma
 
siegemei pande yoyote hapo.......lkn young killer hapo kati alipotea ziii.....ikabidi aje ngoma ya "sina swaga"......ndani yake kadiss washkaji kibao na kujikweza vya kutosha.......hakuna aliyemkoromea......lkn yeye kaguswa kucha tu bs ndo anaruka kama kakanyaga kaa la moto bhana
 
siegemei pande yoyote hapo.......lkn young killer hapo kati alipotea ziii.....ikabidi aje ngoma ya "sina swaga"......ndani yake kadiss washkaji kibao na kujikweza vya kutosha.......hakuna aliyemkoromea......lkn yeye kaguswa kucha tu bs ndo anaruka kama kakanyaga kaa la moto bhana
Kadisiwa joh ww inakuuma nn
 
Ungekuwa kweli unafatiliaga game la hip hop usingeuliza swali la kijinga namna hiyo mcha__mbuzi
Umekimbilia huku? Unaitwa kule kwenye uzi wa Remy Ma, umalizie kutoa majibu ya maswali uliyoulizwa, eti Remy ma akipata "ufalme wa hiphop" ufalme wake unaitwaje kwa kimombo?

Ungekuwa kweli unafatiliaga game la hip hop usingeuliza swali la kijinga namna hiyo mcha__mbuzi
 
Back
Top Bottom