Motsepe akili goli la Azizi Ki lilikuwa halali kabisa

Motsepe akili goli la Azizi Ki lilikuwa halali kabisa

PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA

Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.

"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..

#FutbalPlanetUpdates

NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935
Mpumbavu mkubwa, anakuja kutuambia leo ili iweje?
 
Leo ndio final
3rd Senegal vs Benini (boys)
Final Tanzania vs Guinea (boys)

3rd Tanzania vs Uganda (girls)
Final South Africa vs Morroco (girls)
Game ni 40 minutes Yako poa sana
Lots of promising talents hasa kutoka Senegal
Aaah tuanze usajili mapema
 
Lazima aone aibu maana yuko Zanzibar,na maneno mengi yaliyozungumzwa yalionyesha Mamemodi imebebwa kwasababu yake yeye,anajaribu kujisafisha tu hana lolote
 
PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA

Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.

"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..

#FutbalPlanetUpdates

NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935
alifikiri ni goli lile kumbe siyo goli. Elewa kiswahili acha utopwinyo
 
Rais wa shirikisho la soka Afrika (CAF), Patrice Motsepe amekiri kuwa kama angekuwa shabiki angeona goli la Yanga lililokataliwa mwamuzi katika mchezo wa robo fainali dhidi ya Mamelod Sundowns Afrika Kusini kuwa lilikuwa goli halali.

Rais Motsepe ameyasema hayo leo alipowasili visiwani Zanzibar katika fainali za African schools football na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa TFF Wallace Karia.
hqdefault.jpg
 
ile ilikua hujuma ya wazi na niabu kwa uongozi wa CAF na mchezo wa mpira
 
Back
Top Bottom