Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #21
Kikubwa tu....mkubwa wao kakubaliHaipingwi iyo lile lilikua Goli halali kabisa.!!
View attachment 2997945
sasa semeni mnatakaje Utopolopwinyos
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa tu....mkubwa wao kakubaliHaipingwi iyo lile lilikua Goli halali kabisa.!!
View attachment 2997945
sasa semeni mnatakaje Utopolopwinyos
Mpumbavu mkubwa, anakuja kutuambia leo ili iweje?PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA
Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.
"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..
#FutbalPlanetUpdates
NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935
Ameuma kisha amepuliza vyura vinafurahi matopeni.'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..
Leo ndio finalKumbe umeya zoom
Wenye akili waliletewa Manzoki kwenye uchaguziWenye akili ni wawili tu, Jakaya Kikwete na Mzee wangu Sunday Manara - Haji S. Manara
Naunga mkono hoja na wana misimu 3 hawana kombeWenye akili waliletewa Manzoki kwenye uchaguzi
Aaah tuanze usajili mapemaLeo ndio final
3rd Senegal vs Benini (boys)
Final Tanzania vs Guinea (boys)
3rd Tanzania vs Uganda (girls)
Final South Africa vs Morroco (girls)
Game ni 40 minutes Yako poa sana
Lots of promising talents hasa kutoka Senegal
alifikiri ni goli lile kumbe siyo goli. Elewa kiswahili acha utopwinyoPATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA
Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.
"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..
#FutbalPlanetUpdates
NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935
Elimu na Akili ni vitu viwili tofauti.Nna elimu kubwa Mkuu