Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Simu mbumbumbu wakicheza na Mamelodi nitashabikia Mbumbumbu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah kiswahili shida,sio akili ni akiriPATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA
Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.
"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..
#FutbalPlanetUpdates
NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935
Kwahiyo yanga atacheza fainali baada ya motsepe kukiri? Yanga mpo na ujinga mwingi mnoMb kipengele
kwa hiyo utopolo watapeleka timu?
Bado mnaweweseka tu, vipi ile barua mliyoandika majibu yake bado tu hamjarudishiwa ?PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA
Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.
"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..
#FutbalPlanetUpdates
NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935
Akili ❌❌❌PATRICK MOTSEPE: LILE LILIKUWA GOLI HALALI KABISA
Rais wa CAF, Patrice Motsepe alipowasili kwenye uwanja wa ndege visiwani Zanzibar kwa ajili ya fainali ya michuano ya Africa Schools Championship.Motsepe aligusia kidogo lile shuti la Aziz Ki pale Loftus dhidi ya Mamelodi Sundowns.
"Nilipokutana na Rais Wallace (Karia) baada ya ile mechi ya Mamelodi Sundowns dhidi ya Yanga SC nilimwambia 'Nilifikiri ni goli lile', lakini kama Rais wa CAF siruhusiwi kusema chochote"..
#FutbalPlanetUpdates
NB:Kwani Makolo mnasemaje !!!!!View attachment 2997935