mottor and dynamo kwa umeme wa bure

mottor and dynamo kwa umeme wa bure

Binafsi nilijaribu, nikakwama. Nilikuwa na battery ya gari, inverter, dynamo ya Volkswagen (inayotumika badala ya Aultenata); motor. Nilichobain ni kwamba dynamo ili ifue umeme,na inapofua huo umeme inahitaji nguvu sana kuisukuma/kuizungusha. Mottor za kawaida haziwezi kuizungusha hiyo dynamo. Hapo nikakwama.
Umeme ulitoka kwenye battery (12V DC), inverter ikabadili umeme huo kuwa 220V AC. Umeme huo ukaizungusha mottor, mottor iizungushe dynamo. Dynamo itoe umeme kuchaji battery, na battery ipeleke ummeme (12V DC) kwenye inverter.

Mambo yakawa mazito. zoezi likashindwa.
 
Mada hii imekaa vizuri, kupata umeme wa gharama ndogo hapo tunahitaji support ya serikali, mfano China Solar Valley. Wanatumia Solar, biogas na wind energy tu mji mzima. Lakini project imefadhiliwa na government. Pia vyuo kufundisha solar and other renewable energy source related courses. but kwa hilo wazo hapo juu its impossible
 
hallo people,kwa siku kadhaa sasa nimekua nikiwaza jambo ili niweze kutengeneza umeme bila running costs kubwa,hivi kwa mfano nikawa na motor yangu kubwa inayotumia battery za gari then niiwekee fan-belt,na hiyo fan belt izungushe a bigger dynamo,because ile dynamo itaform umeme,ule umeme wake niugawanye urudi kwenye zile battety za motor ili kuongeza charge,na surplus yake niitumie kwa matumizi yangu binafsi,,,,je hii itafaa kweli?nahitaji maoni yenu kwani ni muhimu sana kwangu,,,,,,ahsanteni

WAZO JiPya: "Inawezekana". Kwa kutumia maji inawezekana, Norway wamejaribu. Inabidi uwe na chanzo cha maji. Mfano, maji yanakuwa kwenye bwawa kwenye mwinuko. Unayatega kwa kutumia simple technology (mfano, jinsi miji ya kale ilivyopata maji kutoka bondeni kwenda kilimani kwenye mji-miaka kadhaa BC). maji hayo yataendesha turbine ambayo itafua umeme. Umeme utatumika nyumbani na kuendesha pampu itayosukuma maji kurudi kileleni. Hapo mzunguko utaendelea. Nota Bene: Utafuga na samaki pia bata kwa kuwa maji unayo.
 
WAZO JiPya: "Inawezekana". Kwa kutumia maji inawezekana, Norway wamejaribu. Inabidi uwe na chanzo cha maji. Mfano, maji yanakuwa uwe na bata kwani maji utakuwa nayo.
mkuu ili maji yaweze kufanya kazi yanahitaji force; na hii force inategemea kina macho yanapotoka;

which brings us to Pressure = Height (kina) x Density (ya hayo maji) x Gravitational Force

Sasa utaona kwamba ili hayo maji yafanye kazi inabidi tuyapandishe juu (height) na kuweza kuyapandisha juu tunahitaji force iwe ni pump au tuyabebe kwa ndoo...

Na utaona kwamba nguvu tutakazozitumia kuyapandisha juu ni kubwa kuliko umeme tutakaopata.. (hivyo ndio maana huwa tunangoja mvua zinyeshe ili zitusaidia kujaza hayo mabwana ambayo kuna kina kirefu
 
WAZO JiPya: "Inawezekana". Kwa kutumia maji inawezekana, Norway wamejaribu. Inabidi uwe na chanzo cha maji. Mfano, maji yanakuwa kwenye bwawa kwenye mwinuko. Unayatega kwa kutumia simple technology (mfano, jinsi miji ya kale ilivyopata maji kutoka bondeni kwenda kilimani kwenye mji-miaka kadhaa BC). maji hayo yataendesha turbine ambayo itafua umeme. Umeme utatumika nyumbani na kuendesha pampu itayosukuma maji kurudi kileleni. Hapo mzunguko utaendelea. Nota Bene: Utafuga na samaki pia bata kwa kuwa maji unayo.
M.L. unachoongelea ni sawa na mabwawa yetu haya kama Hale na Mtera,zote mechanism ziko hivyo,nilikuwa namaanisha kusiwe na kitu kingine hapo katikati,yaani dynamo na motor tu,na hiyo motor itoe umeme from the dynamo....tuendelee kuumiza vichwa
 
Last edited by a moderator:
hallo people,kwa siku kadhaa sasa nimekua nikiwaza jambo ili niweze kutengeneza umeme bila running costs kubwa,hivi kwa mfano nikawa na motor yangu kubwa inayotumia battery za gari then niiwekee fan-belt,na hiyo fan belt izungushe a bigger dynamo,because ile dynamo itaform umeme,ule umeme wake niugawanye urudi kwenye zile battety za motor ili kuongeza charge,na surplus yake niitumie kwa matumizi yangu binafsi,,,,je hii itafaa kweli?nahitaji maoni yenu kwani ni muhimu sana kwangu,,,,,,ahsanteni
Aisee,nimewahi kufikiria hii kitu enzi hizo nikiwa o-level,yaani ilini-irritate sana basi tu nikaamua kuipotezea!
 
M.L. unachoongelea ni sawa na mabwawa yetu haya kama Hale na Mtera,zote mechanism ziko hivyo,nilikuwa namaanisha kusiwe na kitu kingine hapo katikati,yaani dynamo na motor tu,na hiyo motor itoe umeme from the dynamo....tuendelee kuumiza vichwa

Sawa, ila ni jambo gumu. Hakuna umeme chini ya KV13 ambao utaweza kuendesha dynamo ya kufua umeme. Ili dynamo ifue umeme wa 12V DC yenye current kubwa lazima mashine inayoizungusha dynamo hiyo iwe na HousePower kubwa.
Kwa mantiki hiyo, pana ugumu. Vinginevyo umeme huo ungekuwepo.
 
tuliposoma physics kule form 1 walisema
IN A CLOSED SYSTEM, ENERGY CAN NEITHER BE CREATED NOR DESTROYED
hii maana yake ni kuwa huwezi kupata perpetuating machine au machine yenye kujiendesha wenyewe kwa wenyewe huku weye unyonye umeme. lazima upate source ya umeme from outside of your system. hutoweza kupata umeme mkubwa wa kutosha kuicharge battery, utakaotolewa na battery yenyewe. kwa kifupi unaweza kufanya kitu hicho, ila umeme utaoupata hautaweza tena kuicharge battery.
hilo ni jambo rahisi sana kufikirika ila ukija kwenye practice ndio unafeli hapo. wazungu wangelikuwa tayari wameshafanya hayo katika vyanzo vingi.
umeme wao wa upepo wameshindwa kuurecharge kwa kuugawa
solar pannels na systems zake nazo pia wangeli-i-recharge battery kwa power iliyozalishwa.
generators zingepunguza kula mafuta kwa ku create systems ya ku recharge.
ila ndio hivyo. huwezi kukata kipande cha mkate halafu kipande hicho kikawa kikubwa kuliko ule mkate wa asili,
kurecharge maana yake unahitaji power kubwa zaidi kuliko ile source yako.

Excellent explanations....
 
Concept kama hizi zimekuwepo toka enzi na enzi. Google perpetual energy. Utaona cases tofauti tofauti ambazo watu wamejaribu kufanya na ikashindikana.

Hii feedback mechanism unayoiongelea pia ilisha jaribiwa.
 
Guys msiwakatishe tamaa watu. science grow through other men critisism. mimi niko kwenye project yangu ya kutengeneza umeme na nimefanikiwa ninakusanya vifaa ili niweze kutengeneza kitu kikubwa sasa. nimetumia sumaku 4 za hard disk nikazifunga kwenye feni ya cpu inazunguka kwa miezi 4 sasa na haijawahi kupunguza speed na ninafurahia coz kwa sasa nataka kutengeneza feni isiyotummia umeme na baadae nitatengeneza motor kubwa itakayyowasha umeme nyumbasni kwangu
 
hallo people,kwa siku kadhaa sasa nimekua nikiwaza jambo ili niweze kutengeneza umeme bila running costs kubwa,hivi kwa mfano nikawa na motor yangu kubwa inayotumia battery za gari then niiwekee fan-belt,na hiyo fan belt izungushe a bigger dynamo,because ile dynamo itaform umeme,ule umeme wake niugawanye urudi kwenye zile battety za motor ili kuongeza charge,na surplus yake niitumie kwa matumizi yangu binafsi,,,,je hii itafaa kweli?nahitaji maoni yenu kwani ni muhimu sana kwangu,,,,,,ahsanteni
kama umeweza kuwa na dynamo nakushauri ujaribu umeme wa uupepo,siyo ule wa mnara mrefu utakugharimu ku erect mnara,nazungumzia ule wa kutumia pipa lililokatwa kwa urefu nakutegwa kuwa turbine ambayo ikipigwa na upepo inazungusha dynamo ambayo itafua umeme kwa ajili ya kuchaji betri . Ukiwa interested Hebu Google "vertical wind turbine" upate maelezo kwa kuna.
 
Guys msiwakatishe tamaa watu. science grow through other men critisism. mimi niko kwenye project yangu ya kutengeneza umeme na nimefanikiwa ninakusanya vifaa ili niweze kutengeneza kitu kikubwa sasa. nimetumia sumaku 4 za hard disk nikazifunga kwenye feni ya cpu inazunguka kwa miezi 4 sasa na haijawahi kupunguza speed na ninafurahia coz kwa sasa nataka kutengeneza feni isiyotummia umeme na baadae nitatengeneza motor kubwa itakayyowasha umeme nyumbasni kwangu
VP mkuu hii project yako umefanikiwa?
 
Guys msiwakatishe tamaa watu. science grow through other men critisism. mimi niko kwenye project yangu ya kutengeneza umeme na nimefanikiwa ninakusanya vifaa ili niweze kutengeneza kitu kikubwa sasa. nimetumia sumaku 4 za hard disk nikazifunga kwenye feni ya cpu inazunguka kwa miezi 4 sasa na haijawahi kupunguza speed na ninafurahia coz kwa sasa nataka kutengeneza feni isiyotummia umeme na baadae nitatengeneza motor kubwa itakayyowasha umeme nyumbasni kwangu
MKUU NAOMBA HII UIFAFANUE VIZURI ZAIDI
 
Je na hii nayofikia mm inawezekana??? Kwamba kazi ya invetor ni kugeuza umeme wa dc kuwa ac sasa basi kama ntatumia invetor kubwa ili niweze kutumia vitu vingi nahitaji betri kubwa, na betri kubwa zina bei kubwa na hata hivyo inahitaji chaji mara kwa mara. KAMA ntatumia kajenerator kadogo ambako kanatumi a lita moja kwa masaa 5 kupeleka katika invetor kubwa wakati huo nitatoa umeme wa dc ktoka katika generator. Haiwezi kifanikiwa kupata umeme wa kutosha kwa gharama nafuu?????
Inawezekana
 
Back
Top Bottom