Binafsi nilijaribu, nikakwama. Nilikuwa na battery ya gari, inverter, dynamo ya Volkswagen (inayotumika badala ya Aultenata); motor. Nilichobain ni kwamba dynamo ili ifue umeme,na inapofua huo umeme inahitaji nguvu sana kuisukuma/kuizungusha. Mottor za kawaida haziwezi kuizungusha hiyo dynamo. Hapo nikakwama.
Umeme ulitoka kwenye battery (12V DC), inverter ikabadili umeme huo kuwa 220V AC. Umeme huo ukaizungusha mottor, mottor iizungushe dynamo. Dynamo itoe umeme kuchaji battery, na battery ipeleke ummeme (12V DC) kwenye inverter.
Mambo yakawa mazito. zoezi likashindwa.
Umeme ulitoka kwenye battery (12V DC), inverter ikabadili umeme huo kuwa 220V AC. Umeme huo ukaizungusha mottor, mottor iizungushe dynamo. Dynamo itoe umeme kuchaji battery, na battery ipeleke ummeme (12V DC) kwenye inverter.
Mambo yakawa mazito. zoezi likashindwa.