Kwahyo unasema waTz hatujui kuutumia mlima?Ni sawa na mfuga broiler town na mfuga ng'ombe kijijini. Una broiler 500 ukiwauza kwa bei ya 7000/piece unapata 3,500,000 na mfuga ng'ombe kijijini mwenye ng'ombe 100 na kati ya hao 20 wanaweza kuingia sokoni kwa bei ya 400,000/piece ni kama 8,000,000 ila hujiulizi kwa nini huyu mfugaji wa broiler mjini unaweza kukuta ana maisha na life style bora kuliko huyu mwenzie wa kijijini. So kipi ni bora kati ya mlima au bandari ni jinsi kila nchi imeona potential za ilichonacho na kuzitumia. Unaweza kuwa na milima mia usifaidike nayo ila pia unaweza kuwa na bandaei mia zisikusaidie.
Sijaona na sijui statistics za mapato ya kila kimoja so kama mkenya anafaidika na bandari kuliko tunavofaidika na mlima then pigia mstari ulichokiuliza ndo jibuKwahyo unasema waTz hatujui kuutumia mlima?
Ila sasa mpaka uje uwe na bandari kama Mombasa kwa hii trend sio leo sio miaka 100 ijayo...imagine saivi ungekuwa na miji miwili mikubwa yani kama dar mbili hivi ungekuwa wapi?Mimi ninaweza kuwa na bandari kama ya mombasa,ila wewe huwezi kuwa na mlima kama mlima Kilimanjaro...
Hiyo ndo kanuni[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
We jamaa imenibidi nicheke tuuBesides, It was a genuine decision choosing mount Kilimanjaro for other reasons including security, Imagine Launching missiles all the way from the top of Mt Kilimanjaro to Nairobi, how easy it is[emoji4]
The story goes kipindi hizi nchi zinapata uhuru, Nyerere na Jomo walikaa wakagawana mipaka, ubishi ulikuwa kwenye Kilimanjaro na bandari ya Mombasa, wakaamua wagawane kimoja kimoja.
Bandari at the time up to date inaingiza pesa nyingi kuliko mlima. So in Nyerere's reasoning "ni bora nichukue mlima bandari nitaijenga kuliko kuchukua bandari halafu mlima siwezi jenga".
Do you think he was right?
Imagine Tanzania tungekuwa na Bandari ya Mombasa + Bandari ya Dar es salaam tungeizidi Kenya maendeleo?
Au Nyerere was right in foreseeing the far far future akijua kabisa kuwa kizazi chake na kijacho hakitaona direct matunda ya uamuzi wake?
Comment ziwe fupi fupi
Mombasa si bandari kubwa kama unavyodhani kiasi ambacho hakuna nchi inayoweza kuwa nayo... ukijaribu kuangalia Tanzania pekee ina bandari zaidi ya nne zinazotumika ipasavyo,tofauti na kenya wanaotegemea bandari moja...halafu mbona ni hesabu za kawaida tu kwa mtu mwenye akili timamu,ebu fikiri una nchi ambayo ina ufukwe mreeefu zaidi afrika,then unapewa uchague kati ya bandari na mlima mlima mrefu zaidi Afrika,huwezi kuchagua bandari...labda uwe chizi!Ila sasa mpaka uje uwe na bandari kama Mombasa kwa hii trend sio leo sio miaka 100 ijayo...imagine saivi ungekuwa na miji miwili mikubwa yani kama dar mbili hivi ungekuwa wapi?
Watalii zaidi ya 2million huwa wanaingia Kenya kila mwaka, hebu tupe idadi ya watalii ambao wanazuru Tz ili tujue kama wewe pia ni robot.Tanzania Tourism revenues are twice as Kenyas, what are you doing with all the resources you have? You have a national park hapo Nairobi west mmefanyia nini?
Before we think of what we don’t have lets at least think of what we have, what have you done with what you have?
wapi fedha za Mt Kenya? idiot!
Kibwengo mkubwa wewe. Si Kila siku huwa mnalialia humu kwamba tunafaidi na Ml. Kilimanjaro? Sasa wewe tueleze mmefaidi kivipi kutoka kwa Mombasa na bandari yake. Kwasababu navojua mimi ni kwamba bandari ya Mombasa ndio inafaidi kutoka kwa biashara ya wenyeji wa kaskazini Tz.wapi fedha za Mt Kenya? idiot!
umesema mngekuwa na Mt Kilimanjaro mna Mt Kenya 5200M vs Mt Kilimanjaro 5895M! At least basi revenue ya Mt Kenya ingalikuwa half of that of Mt Kilimanjaro! Niamini ulichosema!Kibwengo mkubwa wewe. Si Kila siku huwa mnalialia humu kwamba tunafaidi na Ml. Kilimanjaro? Sasa wewe tueleze mmefaidi kivipi kutoka kwa Mombasa na bandari yake. Kwasababu navojua mimi ni kwamba bandari ya Mombasa ndio inafaidi kutoka kwa biashara ya wenyeji wa kaskazini Tz.
Mombasa si bandari kubwa kama unavyodhani kiasi ambacho hakuna nchi inayoweza kuwa nayo... ukijaribu kuangalia Tanzania pekee ina bandari zaidi ya nne zinazotumika ipasavyo,tofauti na kenya wanaotegemea bandari moja...halafu mbona ni hesabu za kawaida tu kwa mtu mwenye akili timamu,ebu fikiri una nchi ambayo ina ufukwe mreeefu zaidi afrika,then unapewa uchague kati ya bandari na mlima mlima mrefu zaidi Afrika,huwezi kuchagua bandari...labda uwe chizi!
True...kwahyo wakenya wametuzidi elimu?Tatizo hapa ni akili tu , hata tungepewa bandari + mlima bado miaka 50 ingekuwa kama hii yaleo. Wamarekani wakipewa tanzania baada ya miaka 50 tanzania inakuwa sawa na marekani, ila sisi tukipewa ile nchi baada ya miaka 50 inarudi kuwa tanzania..
Elimu kwanza alafu tuelimike hapa tayari tumefanikiwa
Bandari ya Kenya ina service nchi nne.. Hiyo ni uhakika wa kodi uliopo. Anasafirisha mafuta take mwenyewe. Kwa Mlima labda aweze kuleta wageni zaidi ya laki 5... Na jua hapo hatakua na jeuri ya Bandari na beach tourism in Mombasa. In turn Tanzania tutabenefit zaidi sababu tungekua na monopoly katika beach tourism katika EAC.Why that is?
Ule mlima ungeachwa uhudumie eneo husika ndio ingekuwa hivyo,na pia siasa nazo zinachangia hali hiyo.ingetakiwa saivi mkoa wa Kilimanjaro ungekuwa jiji kubwa sana
Sasa huwezi kuchagua bandari kwa sababu ni kitu ambacho kinatengenezeka!na wala hatuitaji kujenga bandari,ni maboresho machache tu yanayohitajika kufanywa..au we unaweza kutengeneza mlima mrefu zaidi africa????!?In the long run mlima ni better lakini for short time meanwhile in our lifespan bandari ni bora
Hizi stori inanikumbusha hadithi tulizokuwa tunaambiana darasa la Kwanza kipindi kile shule ya msingi, 'eti tembo akinywa maji alafu bahati mbaya akammeza chura na yule chura akilia tumboni basi atajipiga kwenye miti mpaka afe'
Haina ukweli mkuu. Ramani ilichorwa na Wakoloni hata kabla ya Nyerere na Kenyatta kuzaliwa.