Sasa huwezi kuchagua bandari kwa sababu ni kitu ambacho kinatengenezeka!na wala hatuitaji kujenga bandari,ni maboresho machache tu yanayohitajika kufanywa..au we unaweza kutengeneza mlima mrefu zaidi africa????!?
Licha ya hivyo pia hivi vitu bandari na mlima si lazima huvifaidi wewe hata vizazi vijavyo
Kumbuka hata roma haikujengwa kwa siku moja watu waliona mbali kwa mlima Kilimanjaro,ebu fikiri vizuri,ondoa mawazo ya kulalamika
Na hilo ndo tatizo lako ..kuwa na mawazo ya kufanya mambo kwa ajili ya wengine,si lazima matunda wewe uyafaidi,hapo ndipo wenzetu wa ulaya na baadhi ya nchi za Amerika na asia wanapotupiga gapeYOLO....na matunda ya hiyo choice hautakuja kuyaona ..not in this lifetime
Ya Tz Ni $52bn kweli ama uongo?Like $100bn Kenya GDP [emoji2][emoji2][emoji2]
Don’t worry, I’ll make it easier for you,Watalii zaidi ya 2million huwa wanaingia Kenya kila mwaka, hebu tupe idadi ya watalii ambao wanazuru Tz ili tujue kama wewe pia ni robot.
Mlima kwa sasa hatuna haja nao maana tunapiga hela tukiutumia kwa kuutangaza watalii wanakuja pale Amboseli na kuuona, ila bandari ya Mombasa na baba kubwa ukanda wote huu, Dar hata haifikii nusu yake, walijaribu kuibuka na Bagamoyo wakaangukia pua.
Subiri tukamilishe Lamu tufunike kila kitu.
Lamu ni tembo mkubwa mweupe, hasa ukizingatia lile ni eneo masikini sana hakuna hata barabara wala reli, wenyeji wa lamu husafiri kwa punda, ukiongeza na issue ya usalama ukizingatia al shabaab huvinjari pale na kujinafasi watakavyo kwa kutumia mwanya wa uwezo mdogo wa kdf.
Lamu inahitaji great thinker kuelewa sio nyie msioshirikisha akili kwenye kutafakari haya mambo, kuna yule mbunge wenu Zito Kabwe, aliwahi kuitolea maelezo Lamu tena kwa lugha nyepesi, sema kwa mlivyoghubikwa na UCCM mwingi mkaishia kumtukana.
Lamu pale tumefunga bao la kufa mtu, yaani ndio bao lenyewe.
Zitto Kabwe ni akili kubwa sana jamaa, utadhani ni Mkenya, huwa nasoma analysis zake za kiuchumi, huwa nashangaa kwanini mumeshindwa kumtolea nje kwa marisasi kama mlivyomfanya Lissu, au kwa vile katokea Kigoma anajua alivyojilinda.
Soma hii analysis yake nyingine japo mumemtukana hadi basi, tatizo lenu hamjui kubisha kwa hoja, hata wasomi wenu hawakai dakika mbili wabishane kwa hoja bila kutririka matusi
Uchaguzi 2020 - Tanzania election: Life has got worse under Magufuli we need change...
POLITICSTANZANIATOP STORY Tanzania elections: Life has got worse under Magufuli. We need change. BY ZITTO KABWEJANUARY 8, 2020 SHARE: Opposition leader Zitto Kabwe says the past four years of CCM rule have been disastrous and lays out his vision for a thriving and happy Tanzania. Opposition...www.jamiiforums.com
get the real factI reckon it didn't....these are just theories though
Word,thank you for your reply which in of itself still contains a lot of theories and speculations,whats true though is the fatct that the partition took place before independence...I've updated the threadget the real fact
Nyerere na kenyatta unawasingizia issues zilizotokea wao wenyewe wakiwa hata ndala hawajawahi kuvaa
How Kilimanjaro ended up in Tanzania
There is something odd about the map of Kenya. From Lake Victoria to the Coast, the borderline moves in a straight line that is only broken by a small kinkwww.nation.co.ke
Hivi hujui hata kama mlima Kilimanjaro ulikua national symbol ya Tanganyika kipindi cha ukoloni?
Ninyi ndio mnaofanya elimu yetu idharaulike kwa kutokujua mambo madogo kama haya.
Kwani siku hizi Tandale imegeuka kuwa Sweden?[emoji23][emoji23][emoji23]Acheni usenge yaani mt Kilimanjaro mnafananisha na vitu vya kijingajinga...huku sweden wazungu wana-wish kupanda mlima Kilimanjaro kama sie vijana tulivyokuwa tuna-wish kuja ulaya
Mombasa is better than those four mini ports combined.Mombasa si bandari kubwa kama unavyodhani kiasi ambacho hakuna nchi inayoweza kuwa nayo... ukijaribu kuangalia Tanzania pekee ina bandari zaidi ya nne zinazotumika ipasavyo,tofauti na kenya wanaotegemea bandari moja...halafu mbona ni hesabu za kawaida tu kwa mtu mwenye akili timamu,ebu fikiri una nchi ambayo ina ufukwe mreeefu zaidi afrika,then unapewa uchague kati ya bandari na mlima mlima mrefu zaidi Afrika,huwezi kuchagua bandari...labda uwe chizi!
Unajua mi huwa sipendi porojo,ebu nitajie ukubwa wa mombasa port
Hujawahi kuja ulaya ndo maana ukisikia mtu yuko ulaya unaona kama miujiza hiviiii😋😋Kwani siku hizi Tandale imegeuka kuwa Sweden?[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu pesa yote ingeishia kwa cartels siyo?Kama Ml. Kilimanjaro ungekuwa Kenya nakuhakikishia kwamba mlima huo ungekuwa unaingizia Kenya hela nyingi zaidi hata ya bandari na Mombasa kwa ujumla.
Unajua mi huwa sipendi porojo,ebu nitajie ukubwa wa mombasa port
Hujawahi kuja ulaya ndo maana ukisikia mtu yuko ulaya unaona kama miujiza hiviiii[emoji39][emoji39]
Kwenye Anglo-German (Heligoland) treaty (1 July 1890 ) baada ya waingereza kuwa wazungu wa kwanza kupata chanzo cha mto Nile na hivyo kuweza kumiliki mto huo...kwa kufudia, ilibidi wajerumani waongezewe eneo la ziwa Victoria (51%).What happened? You think