Mourinho asema Barcelona na Real Madrid zingekua England maisha yao yangekua magumu

hata huyo mourinho na chelsea yake ingekuwA spain ingwefungwA nA hatA akinA cordoba.deportivo.eibar . elche n.k

Morinho kelele nyingi!
Hata jana Europa imechukuliwa na timu ya Spain...!
 
Mkuu umemsahau Radamel Falcao

usifananishe mchezaji na ukafananisha na timu huwezi ukamtoa ,messi barca na ukampeleka aston vila au new castle na ukafikiria messi atafanya kama vile anavyo kuweko barca ubora wa mchezaji unakuja na timu yenyewe mfano dimaria alipokua madrid alikua moto wa kuotea mbali kaja man u kakuta man u imepoteza dira lakini di maria huyu huyu wacha aende chelsea uone mfano mwengine diego costa kaja epl gem za mwanzo kila gem alikua anascore nafikiri mpaka akaja kua majeruhi ni mtu wa tatu alio na magoli mingi msimu huu ana magoli 20 kati ya 20 penalt ni 1 tu agero 26 kati ya hayo penalt 5 na si kama chelsea walikua hawapti penalt ila mpigaji alikua sio yeee ni hazard nafiki hapa umenifahamu namaanisha usichukue ubora wa mchezaji tuu pia angalia na timu yule mchezaji wapi alikua na wapi kaenda mfano mwengine yaya toure alikua barca mwishoni kiwango kikaanza kupungua kaja man city msimu uliopita tumeona alivyo shine fabregas na alexis sanches tunawaona wanavyo sumbua hapo epl
 

Kwahiyo unachosema man united ni team ndogo !! Si ndio?
 
Kwahiyo unachosema man united ni team ndogo !! Si ndio?

mkuu umesoma uzuri maneno yangu sijasema man u ni team ndogo kwa msimu wa 2014/2015 man u kiwango cha team kilipoteza uwezo wake 1. baada ya wachezaji wake kuondoka kutokana na kua wazee e.g rio fernand, gigs, na wengine kuondoka kwa uhamisho kina vidic; evra, and chacharito ukiangalia ule mfumo wote wa man u uliondoka pale old traford na ndio ukaona wanaklula vichapo tuu hii yote inatokana na wachezaji kutokua pamoja hiyo inachangia usishangae msimu unao kuja man u akawa na moto na hata kuchukua kombe mimi si mpenzi wa man u jua hilo
 
Wachezaji wanaocheza EPL wanaofit kucheza laliga hawazidi wa5. Wanaocheza laliga wote wanafit kucheza elp.
 
Wachezaji wanaocheza EPL wanaofit kucheza laliga hawazidi wa5. Wanaocheza laliga wote wanafit kucheza elp.

huo ni uongo kwani wachezaji waliotoka spain wamekuja epl na wakafanikiwa..!? ili ufanikiwe unatakiwa uwendane na mfumo utakaoukuta kwenye timu,lakini kama hautaendana na mfumo basi popote uwendapo utafeli tuu.
 

unaongelea hii hii ligi ambayo wachezaji kama wa stoke city wameruhusiwa kuua uwanjani?? mabeki wa ligi ya england sio wachezaji,,, wale ni vibaka wazoefu
 
unaongelea hii hii ligi ambayo wachezaji kama wa stoke city wameruhusiwa kuua uwanjani?? mabeki wa ligi ya england sio wachezaji,,, wale ni vibaka wazoefu

Ahahahahahahahahahaha ndo maana hata ule uchezaji wa vurugu vurugu wa Jose Mourinho ulipendwa sana kule Engaland.
Mpira wa hovyo sana, wanakamiana harafu hakuna kinachochezeka cha maana.
 

wala usifananishe hivyo mkuu,, na vipi watu kama kina thierry henry, michael owen, chicharito, alexis sanchez, david silva, sergio aguero, mkali miguel perez cuesta, florent stephane sinama pongolle ama dogo profesa mtaalam wa kupiga krosi za hatari kaka jermaine lloyd pennant?? hawa wote ama walitoka ligi mbovu wakiwa wanaonekana wa kawaida tu wakaja ligi bora wakatusua ama walitoka ligi bora wakiwa wakali wakaenda hiyo ligi mbovu na wakashindwa kuimudu vile vile kwahiyo sehemu nzuri sana ya kulinganisha ubora wa ligi ni uefa ambako wababe wa ligi zote hukutana
 
Kuna mambo mawili unatakiwa uyajue unapotazama hizi ligi mbili...
1.Kuna tofauti ya ligi bora(la liga) na ligi maarufu(epl)...mourinho ni mtu anayependa umaarufu,kwa hiyo usitegemee akazungumza tofauti na alichosema..
2.ligi ya spain(la liga) ni all about kuchezea mpira nakutumia akili wakat epl ni kutumia nguvu,unaweza kufananisha kwa ukaribu sana epl na rugby au WWE...
Mtu unaposema ligi ya spain niya timu mbili...unaangalia je hizo timu mbovu za spain zikikutana na bora za epl huwa kinatokea nini??hapo utapata majibu sahihi kuliko kukariri maelezo ya waandishi wa magazeti ya hapo tanzania...
 
Mkuu huo ndo ukweli,timu iliyofungwa na r,madrid gori9, ndo iliyofungwa barc gori8,wachezaji wake hawajalipwa mishahala yao km miezi5 hivi,epl ulishasikia timu imeshindwa kulipa wachezaji?

we nae mishahaLA imekuaje tena??
 

mkuu maneno yamekutoka ka unayajengea ghorofa aisee ila naunga mkono hoja kwa zaidi ya asilimia laki kumi mkuu
 


cheki huyu jamaa nae! yani alivoandika utasema labda ana kadi ya mpiga kura ya spain,, eti "ila spain ukiona TUmemchukua mchezaji epl bas ujue TUmemchukua alie bora kuliko wote england"!!! yani yale yale ya gari ya baba ndege ya baba mpaka huku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…