Mourinho asema Barcelona na Real Madrid zingekua England maisha yao yangekua magumu

Kaongea ukweli Spain timu kubwa ndo zashinda tuuuu huku EPL hata ile ya mwisho inakupiga magoli

ni kwa sababu wote wabovu ndio mana nnachemsha wewe unaujua mpira alaf unapigwa 3-0 na kibonde alaf unasema ooooh cjui England kuna mpira hiki kichekesho
 
wewe muongoooo tena muongo mkubwa
ronaldo huyu kaisha hata dribbling hana kama alivyokua akimkimbiza akina ashley cole tuishie hapa tusihamishe mjadala

anafikiri kwanini madrid walimtaka cr7 kama sio kazi aliyoionyesha akiwa man u
 

wachovu kwa wachovu wanakamiana
 
murinyo akiiongelea aseno huwa ananikera sana, alakini akiongeleaga timu nyingine ananifurahishaga mno maana kila neno analotoa ni point
 
FACT!timu zinashinda mwanzo mwisho no changamoto mpaka wakutane hao hao messi n ronaldo hakuna wakuwashinda na wakikutana na timu ngumu kama atletico hao akina barca ndo kujiangusha tu mpaka basi

pasipo kushinda mwanzo mwisho club za hispania zingeongozaje kwa kuchukua ndoo za uefa mara nyingi?
 
Mkuu mimi nakwambia Atletico Madrid asingepangwa na na Real Madrid tungeshuhudia hili Nusu final ni Spain timu 3. Na kombe lingebaki Spain.

hakika mkuu ukisemacho kipo sahihi
 

kwa mujibu wa FIFA ligi bora ni ipi duniani? kama itakuwa ni La Liga nipe sababu kwa nini isiwe EPL
 
murinyo akiiongelea aseno huwa ananikera sana, alakini akiongeleaga timu nyingine ananifurahishaga mno maana kila neno analotoa ni point

lazma utakuwa umekonda tu kwani huo sio mwili wako maana ukishabikia arsenal daaaaah ni shiiiiiida
 
lazma utakuwa umekonda tu kwani huo sio mwili wako maana ukishabikia arsenal daaaaah ni shiiiiiida

sijakonda mkuu, bado nina kumbu kumbu nzuri ya kikosi cha invinsible 2003/2004
 
sijakonda mkuu, bado nina kumbu kumbu nzuri ya kikosi cha invinsible 2003/2004

ha ha ha ha ha ha ha ha sasa mkuu una miaka 10 hujainyanyua ndoo ya epl pia hujawai nyanyua uefa na fainali yenyewe umeingia mara 1 japo kila mwaka unashiriki sasa kwa nini usihamie upande wa pili wa LA LIGA
 
ha ha ha ha ha ha ha ha sasa mkuu una miaka 10 hujainyanyua ndoo ya epl pia hujawai nyanyua uefa na fainali yenyewe umeingia mara 1 japo kila mwaka unashiriki sasa kwa nini usihamie upande wa pili wa LA LIGA

la liga kaikimbia murinyo aliyekuwa anapiga mkwanja, me nifate nini. huku huku inglandi ndio kuzuri
 
wewe muongoooo tena muongo mkubwa
ronaldo huyu kaisha hata dribbling hana kama alivyokua akimkimbiza akina ashley cole tuishie hapa tusihamishe mjadala

kweli huyo Muongo tena mkubwa.
 
kwa mujibu wa FIFA ligi bora ni ipi duniani? kama itakuwa ni La Liga nipe sababu kwa nini isiwe EPL

Fifa ndio nini kwani wewe huangalii mpira
mechi ya everton na swansea ni kubwa kuliko atletico vs malaga
mimi siiangalii kabisa watu wanacheza mpaka najiuliza hawa kadi nyekundu wanapataje mpira umepoa kama ligi ya mchangani
 
Mpira wa Epl ni wa fujo ndiyo radha yake hiyo ligi.
 
wewe muongoooo tena muongo mkubwa
ronaldo huyu kaisha hata dribbling hana kama alivyokua akimkimbiza akina ashley cole tuishie hapa tusihamishe mjadala
MO11 umeongea kitu kikubwa sana leo yan ronaldo kapungua uwezo wake kisoka toka alivyoumiaga mwaka wa mwsho wa man u mbka akaenda marekani kutibiwa yan saizi kabk mchovu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…