Mourinho asema Barcelona na Real Madrid zingekua England maisha yao yangekua magumu

Mourinho asema Barcelona na Real Madrid zingekua England maisha yao yangekua magumu

Hivi EPL kuna timu za kuwafunga Barcelona, Real Madrid na Atletico Madrid?

Barca, Real zitoe weka ambazo wao wanasema hazichukui ubingwa zipambanishe na EPL top four utanipa majibu
Valencia, Sevila, Atletico vilareal na Espanol zinatosha
 
Mimi sio shabiki wa Ronaldo ila ngoja niseme kama ifuatavyo. Usilinganishe Man U na Real. Kule kaenda kukutana na Mafundi wenzie na yeye ndo anapewa jukumu la kufunga zaidi kuliko hata Benzema. Kule Man U hakupewa jukumu la kufunga zaidi sababu ya Muingereza wao Rooney, wangempa basi hata Rooney mngemuona garasa katika kufunga, we si unamuona Benzema? Benzema sio Garasa ila yeye anakuwa mtu wa assist mda mwingine kwa Ronaldo, wakati ilibidi Ronaldo ndo amsaidie Benzema.

Cjakuelewa ulikuwa unajadili mada hii Au
 
EPL ni makelele tu kama kawaida yenu hamna lolote. Hata kwenye Europa League hamna timu ya EPL iliyovuka raundi ya 16. Spain ilikuwa na timu 2 kwenye raundi ya 16 (Sevilla na Villarreal) na wakacheza wenyewe kwa wenyewe, na Sevilla wanacheza fainali Jumatano ijayo na Dnipro Dnipropetrovsk ya Ukraine. Halafu mnakuja hapa oh EPL, EPL.

Halafu wanakwambia EPL league ngumu eti!

Yani timu zote za ligi ngumu (EPL) zinachemsha kwenye UEFA na Europa League? Halafu zile za ligi nyepesi (La Liga) zinatesa kwenye UEFA na Europa League! SMFH.

Watu wanachoshindwa kuelewa ni kwamba timu zote za EPL ni mbovu kwahiyo wabovu wakikutana obviously ni lazima wasumbuane na ndo huo "ugumu" unapokuja.
 
Fact: Mourinho alifundisha kwa miaka mi-3 La Liga, aliambulia Copa del Rey 1 na La Liga 1 tu. Alichemka vibaya akakimbia kufukuzwa.

Fact: Mourinho alipokuwa La Liga alishindwa soka akaanza visingizio kila siku, mara refs, Uefa and Unicef conspiracies, potato fields, tight schedule, hunting with a Cat, snitches, et cetera.

Fact: Mourinho alishindwa soka akaishia ku-attack makocha wengine physically. Recall what he did to Tito.

Fact: Mchezaji wa daraja la pili Spain, anaingia moja kwa moja Premier League na kupata number. Ayoze Perez, Newcastle.

Fact: Ex players wa La Liga na walioonekana wa kawaida ndio wanai-run Premier. Yaya Toure, Fabregas, Sanchez, Alex Song, Juan Mata, Ander Herrera, et cetera.

Fact: Fifpro iko dominated na La Liga players miaka kibao. Best league......where are your best players??

Fact: Premfaces hamna facts ku-support arguments zenu.
 
Sasa hao mnaosema league yao ni ngumu (EPL) mbona wakikutana na timu za ligi nyingine (rahisi) kwenye UEFA wanachemsha?

Ukweli ni kwamba vilabu vya Uingereza vina uwezo mdogo vyote ndiyo maana wakikutana lazima wasumbuane (wajinga kwa wajinga).

Huwezi ukawa na timu nzuri halafu ukafungwa na timu zinazoshika mkia.

Lionel Messi na Christiano Ronaldo wanayoyafaya kwenye La Liga ndo yaleyale wanayoyafanya kwenye UEFA wanapokutana na timu bora za ligi zote za Ulaya. Sasa kama wanawachapa hao top four wakicheza na kina Stoke City itakuwaje? Si yatatokea maafa?

Kama jambo rahisi hivi ni gumu kueleweka basi siyo ajabu kwa Tanzania kuwa hapa tulipo leo kiuchumi.

sina cha kuzungumza nitawapestia wale wabishi
 
Fact: Mourinho alifundisha kwa miaka mi-3 La Liga, aliambulia Copa del Rey 1 na La Liga 1 tu. Alichemka vibaya akakimbia kufukuzwa.

Fact: Mourinho alipokuwa La Liga alishindwa soka akaanza visingizio kila siku, mara refs, Uefa and Unicef conspiracies, potato fields, tight schedule, hunting with a Cat, snitches, et cetera.

Fact: Mourinho alishindwa soka akaishia ku-attack makocha wengine physically. Recall what he did to Tito.

Fact: Mchezaji wa daraja la pili Spain, anaingia moja kwa moja Premier League na kupata number. Ayoze Perez, Newcastle.

Fact: Ex players wa La Liga na walioonekana wa kawaida ndio wanai-run Premier. Yaya Toure, Fabregas, Sanchez, Alex Song, Juan Mata, Ander Herrera, et cetera.

Fact: Fifpro iko dominated na La Liga players miaka kibao. Best league......where are your best players??

Fact: Premfaces hamna facts ku-support arguments zenu.

asiyekuelewa na hapo atakuwa c.mzima
 
Angalieni na huyu kilaza mwingine alichosema,

"We have the most thrilling league in the world, but not the best teams. We must take the Europa League seriously. England's performances in the last 15 years have been aweful." - Jamie Carragher.

Anakiri kwamba EPL haina best teams halafu anadai "they have the most thrilling league".
 
Halafu wanakwambia EPL league ngumu eti!

Yani timu zote za ligi ngumu (EPL) zinachemsha kwenye UEFA na Europa League? Halafu zile za ligi nyepesi (La Liga) zinatesa kwenye UEFA na Europa League! SMFH.

Watu wanachoshindwa kuelewa ni kwamba timu zote za EPL ni mbovu kwahiyo wabovu wakikutana obviously ni lazima wasumbuane na ndo huo "ugumu" unapokuja.

Ligi yenye upinzani, qpr inamtoa jasho la meno chelsea!
 
mechi ipi ndogo unaangaliaga ya la liga ?
epl naangalia kila mechi na utamu upo hiyo ligi yenu mchezaji akiwa mzuri anachagua aende madrid au barcelona
diego costa ndio huyu aliyekua atletico
aguero kaja kwa mbwembwe akaishia kukaa misimu mitatu kama sio minne bila ufungaji bora
Soldado huyu alikua ashikiki huko la liga huku kama mr penati
Negredo alikua anafunga kama mwendawazimu alipokua huko huku kaja kisha kakimbia
Diego forlan ndio alikua msuguaji benchi pale man u kaenda atletico akawa moto
Roy keane alimwambia pique beki hawezi akawa amelegea hivi ila karudi baca ndio beki bora
Hivi bado uahitaji kujua ligi ngumu ?

Sasa hao mnaosema league yao ni ngumu (EPL)
mbona wakikutana na timu za ligi nyingine (rahisi)
kwenye UEFA wanachemsha?
Ukweli ni kwamba vilabu vya Uingereza vina uwezo
mdogo vyote ndiyo maana wakikutana lazima
wasumbuane (wajinga kwa wajinga).
Huwezi ukawa na timu nzuri halafu ukafungwa na
timu zinazoshika mkia.
Lionel Messi na Christiano Ronaldo wanayoyafaya
kwenye La Liga ndo yaleyale wanayoyafanya
kwenye UEFA wanapokutana na timu bora za ligi
zote za Ulaya. Sasa kama wanawachapa hao top
four wakicheza na kina Stoke City itakuwaje? Si
yatatokea maafa?
Kama jambo rahisi hivi ni gumu kueleweka basi
siyo ajabu kwa Tanzania kuwa hapa tulipo leo
kiuchumi.
 
mechi ipi ndogo unaangaliaga ya la liga ?
epl naangalia kila mechi na utamu upo hiyo ligi yenu mchezaji akiwa mzuri anachagua aende madrid au barcelona
diego costa ndio huyu aliyekua atletico
aguero kaja kwa mbwembwe akaishia kukaa misimu mitatu kama sio minne bila ufungaji bora
Soldado huyu alikua ashikiki huko la liga huku kama mr penati
Negredo alikua anafunga kama mwendawazimu alipokua huko huku kaja kisha kakimbia
Diego forlan ndio alikua msuguaji benchi pale man u kaenda atletico akawa moto
Roy keane alimwambia pique beki hawezi akawa amelegea hivi ila karudi baca ndio beki bora
Hivi bado uahitaji kujua ligi ngumu ?

Fact: Mourinho alifundisha kwa miaka mi-3 La
Liga, aliambulia Copa del Rey 1 na La Liga 1 tu.
Alichemka vibaya akakimbia kufukuzwa.
Fact: Mourinho alipokuwa La Liga alishindwa soka
akaanza visingizio kila siku, mara refs, Uefa and
Unicef conspiracies, potato fields, tight schedule,
hunting with a Cat, snitches, et cetera.
Fact: Mourinho alishindwa soka akaishia ku-attack
makocha wengine physically. Recall what he did to
Tito.
Fact: Mchezaji wa daraja la pili Spain, anaingia
moja kwa moja Premier League na kupata number.
Ayoze Perez, Newcastle.
Fact: Ex players wa La Liga na walioonekana wa
kawaida ndio wanai-run Premier. Yaya Toure,
Fabregas, Sanchez, Alex Song, Juan Mata, Ander
Herrera, et cetera.
Fact: Fifpro iko dominated na La Liga players
miaka kibao. Best league......where are your best
players??
Fact: Premfaces hamna facts ku-support
arguments zenu. by DE SOUZ
 
Fact: Mourinho alifundisha kwa miaka mi-3 La Liga, aliambulia Copa del Rey 1 na La Liga 1 tu. Alichemka vibaya akakimbia kufukuzwa.

Fact: Mourinho alipokuwa La Liga alishindwa soka akaanza visingizio kila siku, mara refs, Uefa and Unicef conspiracies, potato fields, tight schedule, hunting with a Cat, snitches, et cetera.

Fact: Mourinho alishindwa soka akaishia ku-attack makocha wengine physically. Recall what he did to Tito.

Fact: Mchezaji wa daraja la pili Spain, anaingia moja kwa moja Premier League na kupata number. Ayoze Perez, Newcastle.

Fact: Ex players wa La Liga na walioonekana wa kawaida ndio wanai-run Premier. Yaya Toure, Fabregas, Sanchez, Alex Song, Juan Mata, Ander Herrera, et cetera.

Fact: Fifpro iko dominated na La Liga players miaka kibao. Best league......where are your best players??

Fact: Premfaces hamna facts ku-support arguments zenu.

Umemaliza kila kitu mkuu.

Fan boys wa EPL hawana facts, wanachodai wao ni kwamba EPL hata anayeongoza ligi akikutana na timu inayoshika mkia chochote kinaweza kutokea. LOL!
 
Tofauti kubwa ya epl na la liga ni udhamini,kwa epl timu zote zinafaidika na haki za matangazo,kwa la liga ni barca na r,madrid ndo wanaofaidika zaidi,kwa sheria ya sasa ya spein itawabana sana hawa jamaa kimapato na kupunguza kabisa ufalme wao wa soka.
 
Tofauti kubwa ya epl na la liga ni udhamini,kwa epl timu zote zinafaidika na haki za matangazo,kwa la liga ni barca na r,madrid ndo wanaofaidika zaidi,kwa sheria ya sasa ya spein itawabana sana hawa jamaa kimapato na kupunguza kabisa ufalme wao wa soka.
wewe unaonekana ni mchambuz mwenye upeo fulani katika soka ila cjajua kwa badae kama utabadilika au lah
 
Ligi yenye upinzani, qpr inamtoa jasho la meno chelsea!

"Uzito" wao wote hao ni sawa ndiyo maana wanatoana jasho la meno.

Wakutane na "Heavy Weights" kina FC Barcelona na Real Madrid uone itakavyokuwa.
 
Fact: Mourinho alifundisha kwa miaka mi-3 La
Liga, aliambulia Copa del Rey 1 na La Liga 1 tu.
Alichemka vibaya akakimbia kufukuzwa.
Fact: Mourinho alipokuwa La Liga alishindwa soka
akaanza visingizio kila siku, mara refs, Uefa and
Unicef conspiracies, potato fields, tight schedule,
hunting with a Cat, snitches, et cetera.
Fact: Mourinho alishindwa soka akaishia ku-attack
makocha wengine physically. Recall what he did to
Tito.
Fact: Mchezaji wa daraja la pili Spain, anaingia
moja kwa moja Premier League na kupata number.
Ayoze Perez, Newcastle.
Fact: Ex players wa La Liga na walioonekana wa
kawaida ndio wanai-run Premier. Yaya Toure,
Fabregas, Sanchez, Alex Song, Juan Mata, Ander
Herrera, et cetera.
Fact: Fifpro iko dominated na La Liga players
miaka kibao. Best league......where are your best
players??
Fact: Premfaces hamna facts ku-support
arguments zenu. by DE SOUZ
wee kweli mahaba na la liga yamezidi, kwa hiyo ndani ya miaka 3 kombe la la liga na copa del rey kwako si mafanikio?? kwani ligi yote inacheza timu yake tuu???
Nb: unaposema FACTS uwe unaweka na source.
 
Ndo maana kuna mashindano ya kukutanisha teams za league zote, yaani wababe wa league zote Ulaya wanakutana katika league inayoitwa UEFA CHAMPIONS LEAGUE, hapo mnasemaje wadau?

umeongea point sana hapa
 
zipo zote ambazo ziko kwenye top 5 zinawafunga Barcelona na Madrid

EPL ipo kwenye media kwenye ground hakuna kitu mipira yao yote inafanana ya butua butua ukiitoa Arsenal na ndo maana Joze anaipenda cox ni lig ambayo haihitaji ufundi zaid ya kujua uelekeo wa goal basi
Ukitaka kujua mbona simple tu Spain ndo kuna wachezaji bora wa dunia EPL wako wap kama ni lig bora UEFA wako wapi Uefa ndogo out kitambo ambayo Sevila ya Spain inawexa chukua tena
EPL kisoka wapo xhini sema Media zinafanya kaz kubwa
 
wee kweli mahaba na la liga yamezidi, kwa hiyo ndani ya miaka 3 kombe la la liga na copa del rey kwako si mafanikio?? kwani ligi yote inacheza timu yake tuu???

Inamaana umeshindwa kuelewa maudhui ya hizo facts?

1. Sasa huyo Mourinho si anadai La Liga ni ligi nyepesi? Alibeba makombe mangapi?

2. Wachezaji walioonekana wa kawaida kwenye La Liga wameenda kung'ara kwenye EPL.

3. Mchezaji wa daraja la pili Spain anaingia moja kwa moja kwenye ligi "ngumu" ya EPL na kupata namba.
 
Hivi unajua kila weekend epl kuna big match ??
kitu ambacho Ozil alikiri kwamba uingereza kila mechi ni kama fainali
kwa wenzetu huko kila weekend tunasubiri magoli ya kikapu kama sio barcelona ni Madrid
huku juzi Southampton kampiga villa kifusi halafu huyu villa alimfunga man u ambae aliifunga southampton
timu kama swansea inazifunga home and away club za arsenal na man u huoni kitu cha ajabu ?
ni bora kukutana na swansea kuliko na stoke city sio mpira ila ni vita
hiyo ligi yenu ubingwa unaamuliwa kwa mechi mbili ??
niache kidogo

Mkuu, wabovu wakikutana kinachotokea ni vita tu, na hiyo ndo EPL.
 
Asiyekuelewa basi tena!!
Tatizo hapa watu wanaangalia timu kubwa tuu kwa kuwa zimefungwa na barca basi wanaoshia kusema epl mbovu, epl suala la ushindani ni kitu kingine, barca na madrid wangekoma, hii haina ubishi! Majembe yaliyokuwa la liga yanastruggle Epl au yamechukua miaka mitatu kuonyesha cheche, ebu wacheki hao waliotajwa na huyu ndugu niliyemquote kisha wacheki kina ronaldo na pia yule kinda wa arsenal mmexico nimemsahau jina, wanaburuza la liga balaa tena msimu wa kwanza tu! hata ryo miyoichi anatesa la liga sasa hivi, epl kachemsha kabisa!

huyo mmexico carlos vella
wanawafunga huko kama wendawazimu eti ligi inaamuliwa na mechi mbili
elclassico ya kwanza na elclassico ya pili atakayemfunga mwenzie ndio bingwa hii ligi haina ushindani
 
Back
Top Bottom