Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
1.Alianza kwa kuuwa kipaji cha KAKA. KAKA alimsajili akitokea AC Milan akiwa ametokea kuchukua ballon di'or.
2. Akahakikisha anammaliza kiungo bora wa wakati huo NURI SAHIN. SAHIN alimsajili akitokea kubeba ubingwa wa ligi ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga.
3. Ona kinachomkuta SANCHEZ pale united kwa sasa. Sanchez wa Arsenal na huyu wa united ni tofauti ya mbingu na ardhi. Makali yote yamekwisha.
4. Fred. Hahahahah, kinachoendelea kwa huyu nyota wa zamani wa Shaktary Donesky ni aibu na fedheha kwake. Kwa sasa hata kwenye bench hapangwi.
5. Andre Hererra. Kwa sasa ni bench warmer! Mou ameshindwa kabisa kumwamini huyu jamaa. Hiki ni kipaji kingine kinachopotea kwa kutoaminiwa na huyu mou. Erick Baily, Juan Mata, Raul Albiol na hata kina Gonzalo Higuan wote walimkimbia huyu bwana sababu hawakuona future kwake.
Kama si kujiongeza kwa wachezaji kama Mo Salah, Kevin De Bruyer saa hizi wangekuwa hawajulikani...
Mou ni Muua vipaji.
2. Akahakikisha anammaliza kiungo bora wa wakati huo NURI SAHIN. SAHIN alimsajili akitokea kubeba ubingwa wa ligi ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga.
3. Ona kinachomkuta SANCHEZ pale united kwa sasa. Sanchez wa Arsenal na huyu wa united ni tofauti ya mbingu na ardhi. Makali yote yamekwisha.
4. Fred. Hahahahah, kinachoendelea kwa huyu nyota wa zamani wa Shaktary Donesky ni aibu na fedheha kwake. Kwa sasa hata kwenye bench hapangwi.
5. Andre Hererra. Kwa sasa ni bench warmer! Mou ameshindwa kabisa kumwamini huyu jamaa. Hiki ni kipaji kingine kinachopotea kwa kutoaminiwa na huyu mou. Erick Baily, Juan Mata, Raul Albiol na hata kina Gonzalo Higuan wote walimkimbia huyu bwana sababu hawakuona future kwake.
Kama si kujiongeza kwa wachezaji kama Mo Salah, Kevin De Bruyer saa hizi wangekuwa hawajulikani...
Mou ni Muua vipaji.