Mourinho bingwa kwa kuuwa vipaji vya wachezaji.

We hujui Mpira kwa Kaka mfumo wa Madrid ulikuwa na playmaker wengi hafu akakumbwa na majeruhi, hafu Mournho anataka wachezaji wote wakabe ndo maana hata Cr7 alikuwa anamchukia, Iangalie InterMilan ya msimu wa 2009/2010 jinsi Etoo alivyokuwa anakaba ingawa ni straika, Iangalie Chelsea ya 2004/2007 namna alivyokuwa anawatu wakiwatuma kazi inafanyika.
Mournho kwa staili yake mpo Juventus ya sasa uone inawatu wanaojituma wakipata kocha mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…