Mourinho kurudi chelsea


Kwani Suala la Jose kurudi Chelsea kwani lilianza kuzungumziwa leo!!?? Mkuu Mourinho, tatizo wengi hawafatilii vyombo vya Habari, hivyo we vumilia, embu tuendelee na Uchambuzi wa Soka Mkuu, mi nakukubali sana.
 

Chukua 98%
 

Asante Sana kaka Agosti 8, hapa kweli kabisa ni JF. Uyasemayo ni kweli na umekuja na Facts zenye nguvu, Heshima Kwako. Tuendelee na Kujuzana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…