Mourinho vs Guardiola: Kocha Bora vs Kocha Mwenye Bahati

Mourinho vs Guardiola: Kocha Bora vs Kocha Mwenye Bahati

pep nuksi

aliingiaje barca
deal alipewa mou ila akasema hataki mfumo wa johan crufy anataka wake
rais wa fcb kipindi hicho akampoint pep

pep ni nani
pep ni kocha aliyekua akiifundisha barca b ambayo ilikua daraja la tatu na mchezaji wake bora bousquet akiwa uwanjani walichukua ubingwa wa ligi daraja la pili kisha wakaanza kuchukua kombe la segunda kama wameliandaa wao mpaka alipoteuliwa kuwa kocha wa barca ambapo frank alikua anazingua kimatokeo

akiwa kocha wa barca akaanza kumkataa ronaldinho nitafutie kocha wa kumkataa ronaldinho
akamkataa deco desouza
akamkataa yaya toure
anauza e'too
ligi inaanza anafungwa mechi ya kwanza anadroo mechi tatu mfululizo wenye timu wakataka kujuta
baada ya hapo akaanza dozi mourinho anapotoka anakula tano kisha anaanza kuchukua ubingwa back to back mpaka msimu anaompoint dan alves aondoke
dan alves ni rafiki mkubwa wa King leo Messi Pia kumbuka Messi ni mungu mtu pale barca hivyo linashindikana
mgogoro unaanza mourinho ndio anabeba kombe kisha pep anatimka

maisha bayern munich
yalikua mazuri kutokana na uwezo ila anafanya maamuzi magumu anamuondoa bastian kikosini kisha lahm namba 6
anachukua ubingwa back to back
bayern wana mifumo yao ndio maana walipofungwa 1 bila na madrid wachezaji wakasema tukicheza tunavyochezaga hawatufungi wale madrid ila marudiano wakala nne

Mourinho alienda porto ikiwa timu bingwa ureno akaunda kikosi akachukua ubingwa sawa
ila alivyokuja chelsea alitumia pesa nyingi lazima ulete kitu huwezi kutumia pesa za watu hovyo hovyo kisha ukaja mikono mitupu halafu akatimuliwa
akaenda inter akakuta juve hawapo milan wameanza kuchoka
akamleta lucio akaungana na walter samuel ubavu chivu ubavu zanetti kipa julio unataka nini zaidi ya kuzuia
akawa ana cambiasso na thiago motta akawa ana sneider kisha dejan stankovic mbele diego milito na e'too huku ballo akiwasubiri

mechi na fcb anawaambia waandishi kwamba wale hatuwawezi ila tutajaribu kuwafunga guessepe meaza 2 bila camp nou 1 bila wanatoka fcb

akiwa madrid anageuza el classico kuwa vita huyo mou

naomba niishie hapa
Lakini hujazungumzia kuwa mou alitwaa ubingwa na timu kama Fc porto
Wakat guardiola kashindwa kuchukua na Bayern
 
Kwa team alopitia Pep nataka ni-confirm Kama ni coach bora Kama ataweza kuchukua EPl na kufika final/au kubeba ndoo ya UCL kwa team hii alonayo.
Nasema hivi kwakuwa team alonayo sasaiv asilimia Kubwa ni wachezaji alo wanunua tofauti na team Kama Buryern asilimia Kubwa wachezaji wazuri aliwakuta pale pale
 
ukitaka kujua bayern kwa nini hakuchukua uefa kasome walicho wachezaji baada ya pep kuondoka

unajua kama ronaldo de lima hakuwahi kubeba uefa miaka yake yote ya soka???

je unataka kusema ronaldo de lima ni mshambuliaji mbovu au alichezea timu mbovu???
 
Wakati Mapema mwaka 2008, maafisa wa Barcelona, walimfanyia Interview Mourinho ili aifundishe Barcelona, aliwapa mpango wa ku mpandisha Guardiola kutoka kuwa kocha wa Barca B mpaka kuwa kocha msaidizi, wiki kadhaa baadaye Guardiola alitangazwa kuwa kocha mkuu wa Barcelona, ndio, Mourinho ndiye ali wafumbua macho maofisa hao kutoka Catalona. walihisi ni bora wampe kazi hiyo Pep hasa ukizingatia Mourinho hakuwa ana sifa za kutulia. Ukumbuke mwaka 2000 wakati Mourinho ana ondoka Barcelona kama mtafsiri wa makocha alisema anaipenda Barca na ata rudi siku moja.... Ki ufupi huo ndio ulikuwa mwanzo wa uadui wa makocha hawa mpaka sasa.

Nani zaidi!!?
Wakati data zinaonesha Mourinho kashinda mechi 3 tuu kati ya 16 na kafungwa magoli 28 kwa 18, hata umuamshe leo hawezi kukwambia Pep ni bora zaidi yake, lakini haya mimi pia kuna sehemu nachelea kusema Guardiola ndiye bora pamoja na rekodi nzuri.

Wakati Guardiola aliirthi barca iliyo kuwa imekwisha sukwa na mkongwe Johan Cruyff, japo na yeye alisajili na kuweka mafanikio yake hapo, alikanyagia mule mule alimo anzisha njia mkongwe Cruyff, ki ufupi ali ipata timu nzuri kwa kipindi hicho kuliko timu yoyote duniani, Morinho yeye alienda Inter Milan hata angefanyaje inter haikuwa na uzuri wa kuizidi Barcelona hata upange mchezaji mmoja mmoja hawa fanani, lakini alichukua karibu kila makombe aliyo shiriki, Pep mwaka 2013 akaenda Bayern Munich, ali ikuta imechukua kila kombe ililo shiriki zaid zaid yeye aliwapungizoa makombe kwani hakichukua klabu bingwa ulaya, kuhusu bundesliga hata si point kwani kwa Bayern hii, hata nikimpa Jamuhuri Kihwelu Julio, asingeshindwa kutwaa Bundesliga, ukizingatia kila mchezaji mzuri ujerumani wali nunua wao, hata hivi Pep kaondoka bado hakupendwa na wana Munich kwa ujumla. Mourinho pia ana haribiwa na rekodi yake ya Chelsea mwaka jana na ile ya Real madrid mwaka wa mwisho ambao hakutwaa kombe lolote.

Wakati ni kweli Pep kashinda mechi nyingi, ana makombe mengi ana data nzuri kumzidi Mourinho, Pep ana bahati ya kupata timu mbili nzuri zaidi katika maeneo aliyo kuwepo, Mourinho ni kocha mzuri ambaye mambo yakharibika ndio huitwa aka fufue timu, angalia Chelsea, angalia,inter angalia Madrid na hata sasa United, bado Mourinho ameweza ku survive, lakini wahenga walisema
*ni heri ukose sura nzuri kuliko kukosa bahati nzuri" tuonane kesho old trafford

*haya ni mawazo yangu tuu, nadhani kila mtu akichangia yake tutajua mengi zaidi
Guadiola alichukua nafasi ya Frank Rijkaad siyo Johan Cruyff.
 
Wakati Mapema mwaka 2008, maafisa wa Barcelona, walimfanyia Interview Mourinho ili aifundishe Barcelona, aliwapa mpango wa ku mpandisha Guardiola kutoka kuwa kocha wa Barca B mpaka kuwa kocha msaidizi, wiki kadhaa baadaye Guardiola alitangazwa kuwa kocha mkuu wa Barcelona, ndio, Mourinho ndiye ali wafumbua macho maofisa hao kutoka Catalona. walihisi ni bora wampe kazi hiyo Pep hasa ukizingatia Mourinho hakuwa ana sifa za kutulia. Ukumbuke mwaka 2000 wakati Mourinho ana ondoka Barcelona kama mtafsiri wa makocha alisema anaipenda Barca na ata rudi siku moja.... Ki ufupi huo ndio ulikuwa mwanzo wa uadui wa makocha hawa mpaka sasa.

Nani zaidi!!?
Wakati data zinaonesha Mourinho kashinda mechi 3 tuu kati ya 16 na kafungwa magoli 28 kwa 18, hata umuamshe leo hawezi kukwambia Pep ni bora zaidi yake, lakini haya mimi pia kuna sehemu nachelea kusema Guardiola ndiye bora pamoja na rekodi nzuri.

Wakati Guardiola aliirthi barca iliyo kuwa imekwisha sukwa na mkongwe Johan Cruyff, japo na yeye alisajili na kuweka mafanikio yake hapo, alikanyagia mule mule alimo anzisha njia mkongwe Cruyff, ki ufupi ali ipata timu nzuri kwa kipindi hicho kuliko timu yoyote duniani, Morinho yeye alienda Inter Milan hata angefanyaje inter haikuwa na uzuri wa kuizidi Barcelona hata upange mchezaji mmoja mmoja hawa fanani, lakini alichukua karibu kila makombe aliyo shiriki, Pep mwaka 2013 akaenda Bayern Munich, ali ikuta imechukua kila kombe ililo shiriki zaid zaid yeye aliwapungizoa makombe kwani hakichukua klabu bingwa ulaya, kuhusu bundesliga hata si point kwani kwa Bayern hii, hata nikimpa Jamuhuri Kihwelu Julio, asingeshindwa kutwaa Bundesliga, ukizingatia kila mchezaji mzuri ujerumani wali nunua wao, hata hivi Pep kaondoka bado hakupendwa na wana Munich kwa ujumla. Mourinho pia ana haribiwa na rekodi yake ya Chelsea mwaka jana na ile ya Real madrid mwaka wa mwisho ambao hakutwaa kombe lolote.

Wakati ni kweli Pep kashinda mechi nyingi, ana makombe mengi ana data nzuri kumzidi Mourinho, Pep ana bahati ya kupata timu mbili nzuri zaidi katika maeneo aliyo kuwepo, Mourinho ni kocha mzuri ambaye mambo yakharibika ndio huitwa aka fufue timu, angalia Chelsea, angalia,inter angalia Madrid na hata sasa United, bado Mourinho ameweza ku survive, lakini wahenga walisema
*ni heri ukose sura nzuri kuliko kukosa bahati nzuri" tuonane kesho old trafford

*haya ni mawazo yangu tuu, nadhani kila mtu akichangia yake tutajua mengi zaidi
Guadiola alichukua nafasi ya Frank Rijkaad siyo Johan Cruyff.
 
pep nuksi

aliingiaje barca
deal alipewa mou ila akasema hataki mfumo wa johan crufy anataka wake
rais wa fcb kipindi hicho akampoint pep

pep ni nani
pep ni kocha aliyekua akiifundisha barca b ambayo ilikua daraja la tatu na mchezaji wake bora bousquet akiwa uwanjani walichukua ubingwa wa ligi daraja la pili kisha wakaanza kuchukua kombe la segunda kama wameliandaa wao mpaka alipoteuliwa kuwa kocha wa barca ambapo frank alikua anazingua kimatokeo

akiwa kocha wa barca akaanza kumkataa ronaldinho nitafutie kocha wa kumkataa ronaldinho
akamkataa deco desouza
akamkataa yaya toure
anauza e'too
ligi inaanza anafungwa mechi ya kwanza anadroo mechi tatu mfululizo wenye timu wakataka kujuta
baada ya hapo akaanza dozi mourinho anapotoka anakula tano kisha anaanza kuchukua ubingwa back to back mpaka msimu anaompoint dan alves aondoke
dan alves ni rafiki mkubwa wa King leo Messi Pia kumbuka Messi ni mungu mtu pale barca hivyo linashindikana
mgogoro unaanza mourinho ndio anabeba kombe kisha pep anatimka

maisha bayern munich
yalikua mazuri kutokana na uwezo ila anafanya maamuzi magumu anamuondoa bastian kikosini kisha lahm namba 6
anachukua ubingwa back to back
bayern wana mifumo yao ndio maana walipofungwa 1 bila na madrid wachezaji wakasema tukicheza tunavyochezaga hawatufungi wale madrid ila marudiano wakala nne

Mourinho alienda porto ikiwa timu bingwa ureno akaunda kikosi akachukua ubingwa sawa
ila alivyokuja chelsea alitumia pesa nyingi lazima ulete kitu huwezi kutumia pesa za watu hovyo hovyo kisha ukaja mikono mitupu halafu akatimuliwa
akaenda inter akakuta juve hawapo milan wameanza kuchoka
akamleta lucio akaungana na walter samuel ubavu chivu ubavu zanetti kipa julio unataka nini zaidi ya kuzuia
akawa ana cambiasso na thiago motta akawa ana sneider kisha dejan stankovic mbele diego milito na e'too huku ballo akiwasubiri

mechi na fcb anawaambia waandishi kwamba wale hatuwawezi ila tutajaribu kuwafunga guessepe meaza 2 bila camp nou 1 bila wanatoka fcb

akiwa madrid anageuza el classico kuwa vita huyo mou

naomba niishie hapa
Aliyemuuza de souza na ronaldinho si pep, ni rijkard
 
Back
Top Bottom