Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Hakika Rais Mstaafu JAKAYA KIKWETE pamoja na kuwa NDOTO yake ya KUWAPATIA WATANZANIA KATIBA MPYA Haikutimia Bado Ataendelea kuwa BABA wa KATIBA Aliyethubutu Kutupatia KATIBA MPYA.
Mwaka 2015 Wakati wa UCHAGUZI MKUU Chama cha CCM Katika ILANI yake Ilisema Itakamilisha Upatikanaji wa KATIBA MPYA.
Baada ya MAGUFULI kushinda Kiti cha URAIS alianza KUGEUKA na Kudai Sio Kipau Mbele cha Serikali na KUDAI ANAJENGA UCHUMI.
Baada ya KIFO cha MAGUFULI Mh Rais SAMIA Amechukua UONGOZI wa NCHI.Jana Wakati Anaongea na Waandishi wa Habari Rais SAMIA Anadai Eti kwanza AJENGE UCHUMI sababu zile zile za MAGUFULI.Watanzania tunajiuliza Kwanini AWAMU ya 5 Imekuwa na Sababu Dhaifu juu ya KATIBA MPYA?
Mbona JAKAYA KIKWETE Alianzisha Mchakato Bila SABABU za UCHUMI?
Mbona KATIBA iliyopo ya 1977 UCHUMI wetu Ulikuwa Chini sana lakini KATIBA ilipatikana?
Suala la UCHUMI Kuujenga ni Suala la KILA SIKU hivyo Kusingizia TUNAJENGA UCHUMI ni Sababu DHAIFU SANA.
WATANZANIA Tumekwishaambiwa ni NCHI ya UCHUMI wa KATI.
WANANCHI TUNATAKA KATIBA MPYA HATUTAKI SABABU DHAIFU
Mwaka 2015 Wakati wa UCHAGUZI MKUU Chama cha CCM Katika ILANI yake Ilisema Itakamilisha Upatikanaji wa KATIBA MPYA.
Baada ya MAGUFULI kushinda Kiti cha URAIS alianza KUGEUKA na Kudai Sio Kipau Mbele cha Serikali na KUDAI ANAJENGA UCHUMI.
Baada ya KIFO cha MAGUFULI Mh Rais SAMIA Amechukua UONGOZI wa NCHI.Jana Wakati Anaongea na Waandishi wa Habari Rais SAMIA Anadai Eti kwanza AJENGE UCHUMI sababu zile zile za MAGUFULI.Watanzania tunajiuliza Kwanini AWAMU ya 5 Imekuwa na Sababu Dhaifu juu ya KATIBA MPYA?
Mbona JAKAYA KIKWETE Alianzisha Mchakato Bila SABABU za UCHUMI?
Mbona KATIBA iliyopo ya 1977 UCHUMI wetu Ulikuwa Chini sana lakini KATIBA ilipatikana?
Suala la UCHUMI Kuujenga ni Suala la KILA SIKU hivyo Kusingizia TUNAJENGA UCHUMI ni Sababu DHAIFU SANA.
WATANZANIA Tumekwishaambiwa ni NCHI ya UCHUMI wa KATI.
WANANCHI TUNATAKA KATIBA MPYA HATUTAKI SABABU DHAIFU