Umenifikirisha sana hilo neno OVYO nlikua sijapata maana yake. Sasa niliposoma main body ndio nimegundua ulimaanisha HOVYO..!
Labda kuna kitu hatukijui kwa hawa CDM. Hawa jamaa wana mission sana, hili walilokuja nalo ni propaganda, wanatest validity. Sasa serikali ikijichanganya tu jamaa wanapewa point 3 mchana kweupe. But ninachokiamini Mama yupo smart sana, plus ile timu ya ushauri wa pale kasrini hili ni dogo sana, huu mchezo ulishachezwa zamani hivyo washaujua, kwa hiyo tulieni tu mambo hayaharibiki. Kazi Iendelee.....