Siasa sio vita na nchi hii ni yetu sote tunaitaji kujadiliana tuone tunaendaje mbele mnasema tu katiba mpya je tuanzie wapi tupitishe ile rasimu ya bunge au tuanzie kwenye rasimu ya warioba mnaanza kumtisha mama eti tutamnyoa acheni ujinga mama msataarabu anatak maridhiano mbona kwa mwenda zake mlitulia acheni ujingaKaa kimya kama huna akili. Siasa siyo hisani ya samia ni haki ya kila raia. Ccm haiwezi kujichinja yenyewe lazima ichinjwe. Unakumbuka uchafuzi wa wa mwaka jan! Ccm walitangazana tu kushinda hata bila kushinda.
Kila chama kina haki ya kufanya mikutano ikiwemo ccmmsaada katiba kwa ujumla inasemaje kuhusu mikutano ya kisiasa nje ya kampeni!!!!
maana mama anasema ya ndani rukhsa.
Mama awapuuze, yeye alinde kiapo chakeWashaishiwa chadema..
Wanalazimisha kiki
Huna hoja ya msingi mdogo wangu pia usikurupuke.!!!
Ccm inavunja katiba waziwazi kwa kuziia mikutano ya kisiasa(mikutano ya hadhara ya vyama) ambayo ni halali na imeruhusiwa na katiba.
Mbowe alisema wako tayari kwa maridhiano lakini kama hawataki chadema itafuata katiba ya nnchi.
mbona ameruhusu mikutano!!!Kila chama kina haki ya kufanya mikutano ikiwemo ccm
Wananchi hawahitaji mikutano ya kisiasa wanahitaji huduma Bora za afya, elimu, barabara, nishati ya umeme, maji, uchumi imara, ajira kwa vijana.Huna hoja ya msingi mdogo wangu pia usikurupuke.!!!
Ccm inavunja katiba waziwazi kwa kuziia mikutano ya kisiasa(mikutano ya hadhara ya vyama) ambayo ni halali na imeruhusiwa na katiba.
Mbowe alisema wako tayari kwa maridhiano lakini kama hawataki chadema itafuata katiba ya nnchi.
Huna hoja ya msingi mdogo wangu pia usikurupuke.!!!
Ccm inavunja katiba waziwazi kwa kuziia mikutano ya kisiasa(mikutano ya hadhara ya vyama) ambayo ni halali na imeruhusiwa na katiba.
Mbowe alisema wako tayari kwa maridhiano lakini kama hawataki chadema itafuata katiba ya nnchi.
Ni kweli mkuu, lakini tatizo ni kwamba hizo point 3 hawakuwahi kuzipata. Ya nini kushikilia mbinu ambayo haikupi matokeo.Umenifikirisha sana hilo neno OVYO nlikua sijapata maana yake. Sasa niliposoma main body ndio nimegundua ulimaanisha HOVYO..!
Labda kuna kitu hatukijui kwa hawa CDM. Hawa jamaa wana mission sana, hili walilokuja nalo ni propaganda, wanatest validity. Sasa serikali ikijichanganya tu jamaa wanapewa point 3 mchana kweupe. But ninachokiamini Mama yupo smart sana, plus ile timu ya ushauri wa pale kasrini hili ni dogo sana, huu mchezo ulishachezwa zamani hivyo washaujua, kwa hiyo tulieni tu mambo hayaharibiki. Kazi Iendelee.....
Hapo ndipo wanapofeliNi kweli mkuu, lakini tatizo ni kwamba hizo point 3 hawakuwahi kuzipata. Ya nini kushikilia mbinu ambayo haikupi matokeo.
Mama awapuuze, yeye alinde kiapo chake
Sio tu kwamba ccm wamevunja katiba hata hii katiba ni zao lao yaani kiufupi katiba hii ya mwaka 1977 ni ya ccm lakini kama tunataka katiba mpya kazima wote twende sawa ccm chadema na wasio na vyama katiba ni mali ya wananchi it's will of people lakini ili tusije tukafanya vitu kwa mihemko tupeana muda mama kasema atakutana na viongozi wa vyama vya siasa akikutana nao ndo watasema wataongea tunaendaje sio kama nyie saiv mtu hata kukaa nae bado mnaanza kutishana acheni izoHuna hoja ya msingi mdogo wangu pia usikurupuke.!!!
Ccm inavunja katiba waziwazi kwa kuziia mikutano ya kisiasa(mikutano ya hadhara ya vyama) ambayo ni halali na imeruhusiwa na katiba.
Mbowe alisema wako tayari kwa maridhiano lakini kama hawataki chadema itafuata katiba ya nnchi.
Kama Ccm hawafuati katiba walioianzisha tunaenda sawa nao vipi?Sio tu kwamba ccm wamevunja katiba hata hii katiba ni zao lao yaani kiufupi katiba hii ya mwaka 1977 ni ya ccm lakini kama tunataka katiba mpya kazima wote twende sawa ccm chadema na wasio na vyama katiba ni mali ya wananchi it's will of people lakini ili tusije tukafanya vitu kwa mihemko tupeana muda mama kasema atakutana na viongozi wa vyama vya siasa akikutana nao ndo watasema wataongea tunaendaje sio kama nyie saiv mtu hata kukaa nae bado mnaanza kutishana acheni izo
Samia Ni rais wa nchi hawezi kuitwa na mbowe kama akina mdude ana siku 100+ ikulu angalau amalize miez 6 ivi ni reasonable timeKama Ccm hawafuati katiba walioianzisha tunaenda sawa nao vipi?
Yaani Chadema ifuate Ccm inacho-demand !!!! Samia ameitwa na mbowe mara ngapi? Lissu pia? Ameitika ? Mihemko unayowewe mchakato wa katiba mpya ulishaibuka kipindi cha kikwete kumbuka hilo sasa nashangaa kwa sasa unapinga....!!
....
Kama Ccm hawafuati katiba walioianzisha tunaenda sawa nao vipi?
Yaani Chadema ifuate Ccm inacho-demand !!!! Samia ameitwa na mbowe mara ngapi? Lissu pia? Ameitika ? Mihemko unayowewe mchakato wa katiba mpya ulishaibuka kipindi cha kikwete kumbuka hilo sasa nashangaa kwa sasa unapinga....!!
....
Kwa wenye akili tu. Nyie vialza hamuweze kujua umuhimu wa katiba mpya na hamjua rais kuwa mmemuajiri nyinyi hivyo mnaweza kumpelekesha mjuavyo!!Siasa sio vita na nchi hii ni yetu sote tunaitaji kujadiliana tuone tunaendaje mbele mnasema tu katiba mpya je tuanzie wapi tupitishe ile rasimu ya bunge au tuanzie kwenye rasimu ya warioba mnaanza kumtisha mama eti tutamnyoa acheni ujinga mama msataarabu anatak maridhiano mbona kwa mwenda zake mlitulia acheni ujinga
Non senseAsante Mungu kwa kutupa Magufuli na kutuonesha maneno ya Mwl Nyerere kwamba Kwa Katiba hii Rais anaweza kuwa Dikteta Mh Jaji Werema amesema kwa utawala wa MAGUFULI tumejua ubovu wa Katiba yetu zaidi ccm walifinywa na wanajua MAGUFULI alivyokuwa akiwananga mpaka wabunge wanaambiwa kazi yao kupiga makofi tuu mwanamume anawatafutia pesa hawana nguvu ya KUZIHOJI MATUMIZI YAKE
Asante Mungu kwa kutupa Magufuli na kutuonesha maneno ya Mwl Nyerere kwamba Kwa Katiba hii Rais anaweza kuwa Dikteta Mh Jaji Werema amesema kwa utawala wa MAGUFULI tumejua ubovu wa Katiba yetu zaidi ccm walifinywa na wanajua MAGUFULI alivyokuwa akiwananga mpaka wabunge wanaambiwa kazi yao kupiga makofi tuu mwanamume anawatafutia pesa hawana nguvu ya KUZIHOJI MATUMIZI YAKE