Movie gani hii ya bongo? ๐Ÿ˜‚

Salon ya Mama Kimbo
au kama nimekosea basi itakuwa ile mpya inaitwa Beki tatu
 
Hilo ni bomu au mtambo wa redio!![emoji3][emoji3][emoji3] ila Bongo duh!

KichWa bOX
 
Huyo Dada kafungwa bomu alafu kama anataka kucheka Bongo muvi hampo serious kabisa๐Ÿ˜ katika hali kama hyo unawezaje kucheka
Labda bomu linamtekenya tumboni, huwezikujua. Pia yazekana ni ingizo jipya la mabomu baada ya jamaa kurejesha Kabul mikononi!!!
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ iyo movie itakua komedi labda maana si unajua komed kila kitu sio siliazi
 
Hivi kweli nitulie kwenye tv naangalia takataka kama hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ