Your Majesty
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 3,242
- 5,345
Marehemu Adam KuambianaMasaa 24(Kaisi, Dr. Chen & Allii ) & Fake pastor ( Ray kigosi & Adam Juma)
hatari sana ntafuatilia nijue Nani aliiandaa
Director: Rita Wacherahatari sana ntafuatilia nijue Nani aliiandaa
DuuPrison Break ile walioigizia gereza la Keko
Director john riberhatari sana ntafuatilia nijue Nani aliiandaa
Oprah ya KanumbaKuna wakati bongo movie wanatengeneza movie nzuri saana mpaka unataman uiangalie mara kwa mara
Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki kuwaangalia.
Je movie gani ya kibongo kwako ilikuwa ni best hata ukiirudia huwezi ikinai.
Baada ya kugundua kigezo namba moja cha kuwa actor au actress ni muonekano sijawai kupoteza mda tena kuangalia hizo movie bora niangalie Tom and Jerry.Kuna wakati bongo movie wanatengeneza movie nzuri saana mpaka unataman uiangalie mara kwa mara
Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki kuwaangalia.
Je movie gani ya kibongo kwako ilikuwa ni best hata ukiirudia huwezi ikinai.
MsunguKuna wakati bongo movie wanatengeneza movie nzuri saana mpaka unataman uiangalie mara kwa mara
Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki kuwaangalia.
Je movie gani ya kibongo kwako ilikuwa ni best hata ukiirudia huwezi ikinai.