Wewe ulijuaje kuwa ilisifiwa sana social media?
Sababu Movie iliinianza Kuwa streamed Netflix tarehe 26/04.
Na kuna sehemu umesema imetolewa kwasababu aina kiwango.
Inamaana iliingizwa huko kabla wenyewe hawajaicheki kama inafaa ama lah?
Hivi mtu unaanzaje kudiss hustle ya mtu alie onyesha juhudi kubwa kufanya jambo??..
Hivi unajua tabia kama yako ndo ilifanya kuwe na wachawi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Papaa taratibu,hii muvi imesifiwa na Kikwete,Surely hata kama haina viwango vya hollywood,lakini ipo juu ya bongo muvi,
Usiponde sana,jamaa amejitahidi,mwanzo ni mgumu tutafika lakini
Ki ukweli bora walivyoitoa, movie mbaya sana, story haieleweki, sauti mbovu , uigizaji ndo kabisa, what a waste of time, nadhan hii ilitengenezwa tu na wahuni wenye pesa zao wakajipenyeza na wao waonekane Netflix ila Naona ndoto zimegonga mwamba wakaishiwa kutolewa kutokana na ubovu wa film yenyewe
Halafu Idris sio muigizaji wa kwanza kutoka Tanzania kuonekana Netflix, Mimi Mars was kwenye movie inaitwa YOU AGAIN aliyoshirikishwa na wakenya, na hatukusikia hizi kelele za kwenye mitandao za hovyo, Idris mshamba sana na ana ile Tabia ya kujifanya he is exceptional kuliko wenzie. Kama akiendelea hivi ataishia tu kuwa comedian wa Instagram
Sababu ya kuitoa sio kwamba mbaya... as we all know, Netflix sio Instagram kwamba anyone anaweza ku-post filamu kule! Kama wana-post, ina maana wenyewe walisharidhika nayo! Btw, hata kama ni mbaya, na inapata views, why should they car!!Hii ilikuwa inasifiwa hadi na Kikwete mara imeingia dosari!? 😳😳😳
Ila binamu pamoja na povu lote hilo hivi una habari kabla haijaondolewa ilikuwa inafanya vizuri sana?Yule nae si mzandiki tu
Hapo ninachotaka kusema ni kwamba, unaweza kuwa na mashaka na analytics za FlixPatrol lakini kaa ukifahamu hata Hollywood Industrial Insiders, huwa wanaitumia Flixpatrol kama reference!Streaming analytics firm FlixPatrol has again provided VIP with exclusive data highlighting the most popular TV shows and movies on Netflix in August.
Sababu ya kuitoa sio kwamba mbaya... as we all know, Netflix sio Instagram kwamba anyone anaweza ku-post filamu kule! Kama wana-post, ina maana wenyewe walisharidhika nayo! Btw, hata kama ni mbaya, na inapata views, why should they car!!
Inasemekana walitumia wimbo wa mtu kama soundtrack bila kukubaliana na wenyewe! Na kosa kama hilo sio la waigizaji bali Director na Producers ambao ni Nigerians!
Ila binamu pamoja na povu lote hilo hivi una habari kabla haijaondolewa ilikuwa inafanya vizuri sana?
According Flixpatrol, kabla haijaondolewa Slay ilikuwa ina-top Nigeria na South Africa, huku ikishika namba 5 Jamaica!!
View attachment 1770575
Sina hakika kama unaifahamu Flixpatrol na hivyo unaweza kuwa na uhalali wa ku-question data zake!
Kama huifahamu, na kama ni mfuatiliaji wa burudani duniani, hususani filamu kutoka Hollywood, basi bila shaka utakuwa unawafahamu Variety... moja ya majarida makubwa kabisa (industrial magazines) in Hollywood!
The Variety wanaandika:-
Hapo ninachotaka kusema ni kwamba, unaweza kuwa na mashaka na analytics za FlixPatrol lakini kaa ukifahamu hata Hollywood Industrial Insiders, huwa wanaitumia Flixpatrol kama reference!
But hey, I know kwamba ku-top NetFlix haina maana ni movie kali... we've these arguments for years now huku case study ikiwa YouTube lakini industrial insiders wenyewe huwa hawapuuzi hizi takwimu!!
Ila ngoja nikuambie binamu... miaka kadhaa iliyopita nakumbuka ulizungumzia suala la uandishi wa script; tena nilitaka kukuunga mkono!!
Kama nipo sahihi, sio kwamba upo kwenye tasnia in one way or another? Kama jibu ni ndiyo, basi ulitakiwa ufurahie sana Slay kufanya vizuri hususani TANZANIA bila kujali hayo mengine!
Unajua kwanini?! Kama Slay ingeangaliwa sana Tanzania, kesho na kesho kutwa hata wewe ukitengeneza filamu, NetFlix wangeweza kuinunua kwa pesa ndefu bila tatizo coz' wangefahamu Tanzania kuna audience kubwa kwa filamu "zao (za TZ)"!
Hawa Wanaija sio kwamba wanaweza saaana ndo maana filamu zao zipo Netflix bali NetFlix wanafahamu ukiweka Nigerian Movie, Nigerians kutoka sehemu mbalimbali duniani wanachangamkia kuiangalia!
Kweli huu ni wivu wa uchawi kabisa.Ila wabongo wengine mko na Jealous sana.
Mbona hukusema haya mwanzoni?
Wakijibu nitagHonestly huwa nasikia sana Netflix, mpaka majuzi nasikia JK amempongeza Idris kuingia huko Netflix.
Hivi hii Netflix ni nini?
Tena hana hata punje! Na kama usemavyo, kwa ninavyoona hustle zake, atatusua tu.Idris hana kosa lolote lile na atapasua tu hii Covid imemchelewesha kidogo.
TANMO Netflix ni kampuni ya usambazaji na utengenezaji wa filamu na show za TV (Series) ya marekani, mwanzoni miaka ya 97 ilianza kama kampuni ya kukodisha filamu kwa mfumo wa kutuma DVD posta ila walibadilika na kufuata upepo unavyoenda kuelekea mtandaoni, kwasasa huduma za movie na series zinapatikana kwa kujiunga vifurushi kwa mwezi na ukishajiunga ni kama king'amuzi unatazama content zote ambazo zinapatikana tofauti na king'amuzi ni kuwa netflix inapatikana kupitia internet streaming kama YouTube na sio satellite hizi za madishi au Antenna. Vifurushi vinainzia dola $8.99 kwa Basic plan, $13.99 kwa Standard, na $17.99 kwa Premium. Utofauti wa vifurushi unatofautiana kutokana na ultra HD content na mnaweza kuangalia watu wangapi kwa wakati mmoja kwenye account moja huku ukitumia vifaa tofauti tofauti kama mmoja atumie tablet kuangalia movie mwingine atumie laptop kuangalia series na mwingine atumie smart tv kuangalia movie nyingine kupitia kifurushi hicho hicho kimoja, mbadala wa netflix ni kama Amazon prime ya Amazon na Showmax ya Multi choice yenye DSTV na GoTv pia.Wakijibu nitag
Ila YOU AGAIN ilikuwa nzuri sana
Hiyo ya Idris inaitwaje?
HaswaaaaahIla YOU AGAIN ilikuwa nzuri sana
Hiyo ya Idris inaitwaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatukusema mwanzoni wapi ? Movie imetoka hata wiki haina sasa tungesema wakat hatujaona kazi yenyew?
Sababu ya kuitoa sio kwamba mbaya... as we all know, Netflix sio Instagram kwamba anyone anaweza ku-post filamu kule! Kama wana-post, ina maana wenyewe walisharidhika nayo! Btw, hata kama ni mbaya, na inapata views, why should they car!!
Inasemekana walitumia wimbo wa mtu kama soundtrack bila kukubaliana na wenyewe! Na kosa kama hilo sio la waigizaji bali Director na Producers ambao ni Nigerians!