hii Series iko poa sana. nilianza kucheki season za kwanza kwanza. nilipoona nachoka kusubiri nikadownload vitabu vyake. toka hapo sijaifuatilia tena. nasubiria kitabu cha sita tu. Ila jamaa wanajuaGame of Thrones iko poa sana kwasababu haitabiriki na huwezi kujua nani kesho atakufa.
Mimi nakumbuka inapoanza kabisa niliangalia Episode ya kwanza lakini sikuipenda lakini mwaka majuzi nililazimishwa niiangalia nikasema ngoja njaribu nikakuta imekaa poa sana sanaaa. Jaribu kuingalia utaipenda sana.!
Wako fresh sana sanaa.hii Series iko poa sana. nilianza kucheki season za kwanza kwanza. nilipoona nachoka kusubiri nikadownload vitabu vyake. toka hapo sijaifuatilia tena. nasubiria kitabu cha sita tu. Ila jamaa wanajua
Nimeicheki. si ndiyo joker kacheza ledger RIP. kaupatia sana ujoker?Ngoja niitafute mkuu....
Hivi umeiona Batman Dark Knight Rises ???
Hii ni movie ya kisaikolojia. kwamba mtoto amecreate giants kwenye mind yake ili kukabiliana na ugonjwa wa mama yake mpenzi. ila hata mimi sikuipenda.hapo nimeona I kill the giant.....cjaipenda kama ni Star ningeipa 1 star.....Ilo Giant halionekani ila mwisho....Labda kwasabab stelingi ni katoto kakike...Inafaa labda kwaajili eya WATOTO.....
Movie inakaidea kazuri ila presentation ilikuwa mbovu sana. Ananifurahishaga sana Christopher Waltz.Damon hakuwai kunuharibia movie lakini ile sikumuelewa kwakweli.
Hii limecheza li-Tom Hardy kama Bane..!Nimeicheki. si ndiyo joker kacheza ledger RIP. kaupatia sana ujoker?
Nimechanganya na The dark knight. hivi the dark knight rises si ndiyo Bale alikuwa muoga wa popo baada ya kutumbukia kwenye pango la popo utotoni? Eti li-Tom Hardy!! hahahahaaHii limecheza li-Tom Hardy kama Bane..!
John Carter...umenikumbusha kitu fulani....Hivi alifake kifo Chake kuna mtu alikuwa anamfatilia au ilikuwaje nikumbushe kidogo.The Martian, pia kuna John carter of Mars. huyu john carter alitoka duniani na kwenda sayari ya Mars. sasa sayari ya Mars ni ndogo kuliko dunia hivyo ina gravitational force ndogo. Badi john alivyofika Mars alikuwa kama superhero sababu alikuwa anaweza kuiovercome ile gravitational force ya Mars kirahisi sana.
Nimepitia hii list ikabidi niitafute Pitch Black. Nimeitazama lakini imekuwa chini ya matarajio yangu. Haikuwa nzuri saana.Movie za Sci-Fi nazozikubali ni nyingi sana sanaa sampuli chache ni hizi:
1.Batman:The Dark Knight (Joker tu ndiye ananiua)
2.Terminator 2: Judgement Day
3.Total Recall (Colin Farrel)
4. Pitch Black: Chronicles of Riddick
5. Star Wars- Revenge of the Sith
6. Equillibrium
Dinyo Pale mwishoni ni meli za wazungu zinaanza kuingia America. mke wake anasema wazifuate ila yeye aligoma. John nahisi alifeki kifo ili arudi zake Mars kwa mpezi wake, nimesahau kidogo.John Carter...umenikumbusha kitu fulani....Hivi alifake kifo Chake kuna mtu alikuwa anamfatilia au ilikuwaje nikumbushe kidogo.
Na pia ile ya Jaguar Paw ( Ronadinyo) pale mwishoni tafsiri yake hasa nini !
Hii ni katuni?..Maana the Martian nayoifahamu ni ile ya Matt Damon walienda kusurvey akabaki mwenyewe Mars ikabd aanze hadi kilimo ili aweze kuishi.The Martian, pia kuna John carter of Mars. huyu john carter alitoka duniani na kwenda sayari ya Mars. sasa sayari ya Mars ni ndogo kuliko dunia hivyo ina gravitational force ndogo. Badi john alivyofika Mars alikuwa kama superhero sababu alikuwa anaweza kuiovercome ile gravitational force ya Mars kirahisi sana.
hizi movie za Diesel huwa haziko poa sana.Nimepitia hii list ikabidi niitafute Pitch Black. Nimeitazama lakini imekuwa chini ya matarajio yangu. Haikuwa nzuri saana.
Naona Pacific Rim 2 imetoka naisubiri clean niinyonye!!..The dark tower ya Idris Alba.
The Martian ndiyo hiyohiyo ya Damon. Maelezo ni ya John carter of Mars.Hii ni katuni?..Maana the Martian nayoifahamu ni ile ya Matt Damon walienda kusurvey akabaki mwenyewe Mars ikabd aanze hadi kilimo ili aweze kuishi.