Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
wameamua kabisa kumshika sharubu Putin!😀Americans saving the Russian President..
Bwahahahahahahhaa, what kind of crap is this ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameamua kabisa kumshika sharubu Putin!😀Americans saving the Russian President..
Bwahahahahahahhaa, what kind of crap is this ???
Dah hiyo series ilikatishwa patamu sana mkuu!!...
kuna moja ya Beowolf nayo waliipatia!!..Madirctor wenyewe wanatisha.
Hivi ile ni animation from scratch au wamegeuza watu kuwa cartoons?.. Naona unaweza kumuona mtu kabisa kwenye ile movie.Sijawasoma mzee, ni wakina nani ???
Ila Spielberg kwenye Ready Player One amatisha sanaa sanaa!
Hivi Avatar 2 imetangazwa!??.. Nimeielewa vizuri kwenye kitabu chake.James Cameroon, Jon Landau na Robert Rodriguez.
Watu wanageuka kuwa katuni...Bonge la movie mzee!Hivi ile ni animation from scratch au wamegeuza watu kuwa cartoons?.. Naona unaweza kumuona mtu kabisa kwenye ile movie.
Zoe Saldana atakuwemo humoHivi Avatar 2 imetangazwa!??.. Nimeielewa vizuri kwenye kitabu chake.
Kikorea hiyo au Kifilipino?🙂..Mm naangalia PORUS nampenda Olympia tu hizi za kwenu sizielewi
Polaris ni mtoto wa Magneto, hivi unajua ??Dah hiyo series ilikatishwa patamu sana mkuu!!...
Wanatumia ile Conspiracy ya kusema kwamba Putin ndiyo alimpindua Yeltsinwameamua kabisa kumshika sharubu Putin!😀
Ile anapaa kama kiruka njia? !! ila movie za mamonster huwa sizikubali sana. mpaka iwe na rate kubwa ndiyo nacheku.Yeah mkuu nimeshaicheki hiyo, nilikua nasubiri hii Sky crapper tu!.. Ile rampage pale kwa yule fox uongo ulizidi
Sherlock ni kichwa sana...Ila sherlock yupo vizuri sana hata series yake nayo cumberbatch kaipatia!...
Iron man kashapigwa na Thanos ana jipya gani kutuletea tena🙂..Wick Naona mm walete Iron Man hafu Thanos ni mbaya sana kwakweli.
Mchanganyiko. family, monster, SciFi, action. ila imeuza sana na imefanya poa kwenye reviews.Ni Action!?..
Yani kuona Shazam wamempa deal comedian nishaona DC wameshindwa hapo tuisubiri Aquaman na Cyborg tu!..Mimi ile ngumi ya shingo ndiyo iliniacha hoi, alipigwa moja akasinyaa akawa haamini amini hivi.
Aisee alipigwa kifuti kile cha uso, daaah hahahaahahaha. DC wameshashindwa hii vita kabisaaa!
Kuna animations Zingine huwa wanatumia watu. Unakuta hata movement zao ni za watu kabisa. Kama Christmass Carol. ila hii naona kama wamechanganya. Waltz yuko so real.Hivi ile ni animation from scratch au wamegeuza watu kuwa cartoons?.. Naona unaweza kumuona mtu kabisa kwenye ile movie.
The Gifted Niliishia wale mapacha wamewatenganisha yule dogo wa kiume na familia yake.. Vipi iliendelea!?..Mzeee mimi nilikuwa naichukulia poa, nilivyoanza ya kwanza nikajikuta namaliza yote.
Yaani wametisha sana, wala hakuna utoto, Marvel nawapa saluti sana.
Woyoooo!!... Kwahiyo mambo ya "Talk to the hand!" yatakuwepo!?.. au ni ile series wanaiendeleza!?Whaaat ???
Aiseee, a movie worth watching.
Hivi unajua Terminator inafanyiwa Reboot na Cameroon ??
Wanaandeleza kwenye Terminator 2 na Linda Hamilton yupo.
Yani The Sarah Connor Chronicles, Rise of the machine, Terminator Genisys, Terminator Salvation kwishneyWoyoooo!!... Kwahiyo mambo ya "Talk to the hand!" yatakuwepo!?.. au ni ile series wanaiendeleza!?
Ila Thanos hata boxing atakuwa amecheza. Siyo kwa kipigo kile alichokula Hulk🙂🙂Iron man kashapigwa na Thanos ana jipya gani kutuletea tena🙂..
Darkseid kwangu naona ndio mtata zaidi maana macho yake tu yanatoa Laser beam inayoweza kata kona kukufata popote na ana control gravity ina maana ana paa bado hapigani saana huwa anatuma watoto wake eg Stepphenwolf yule villain kwenye justice league na akiwa anapigana akiinua mikono jua una kazi!.
Thanos yeye bila infinity gauntlet hata Iron man anaweza mpiga akijipanga (sahau kipigo cha hulk kidogo 🙂 )