Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,937
- 3,959
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeingalia movie ya EONII lakini haijanifurahisha kabisaaa. Advertisement waliyofanya AZAM ni kubwa sana lakini movie sifuri. Teknolojia iliyotumika ni kubwa kuliko movie yenyewe.
Characters waliocheza movie wamemezeshwa maneno ya kuongea hata mzuka haupo. Angalau Azam wangetafuta proffesional acters si hao waliowatumia.
Theme ya movie haieleweki, yani ni vurugu tu. Azam wajipange upya
Mkuu weka link tukaicheki bure Tuwakosoe vizuri.Yani ni moshi moshi mwanzo mwisho. Halafu kuna muda unatokea mwanga mkaliiiii unaweza kukupofusha macho. Nimeangalia movie nyingi ila hii kiboko.
Mi nilihisi tu. Yaani M'bongo atoe Sci-fi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Category ya Sci-fi? Kwa 2023 itashindana na Guardian of the Galaxy 3? 😁😁😁Wenyew wanatak wakaipeleke ikashindane na movie za hollywood
Nakushauri usiangalie mkuu. Utakereka tu, nguvu iliyotumika kutuaminisha kuwa movie ni nzuri ni kama ishu ya bandari. Ni mapichapicha tuMkuu weka link tukaicheki bure Tuwakosoe vizuri.
Acheni wivuMi nilihisi tu. Yaani M'bongo atoe Sci-fi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Hio tunaiita funika funika. Ni jambo la kawaida kama effects zikiwa ngumu kufanyika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani ni moshi moshi mwanzo mwisho. Halafu kuna muda unatokea mwanga mkaliiiii unaweza kukupofusha macho. Nimeangalia movie nyingi ila hii kiboko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Movie ina makosa mengi sana, yani kiufupi haieleweki. Kwenye trailer wanakuambia mtoto wa kigogo wa serikali katekwa kumbe uongo tu hahaaaa. Kimsingi Azam wakekurupuka
[emoji38]IST namba D.
Akiyanani [emoji38]Nakushauri usiangalie mkuu. Utakereka tu, nguvu iliyotumika kutuaminisha kuwa movie ni nzuri ni kama ishu ya bandari. Ni mapichapicha tu
Nimeingalia movie ya EONII lakini haijanifurahisha kabisaaa. Advertisement waliyofanya AZAM ni kubwa sana lakini movie sifuri. Teknolojia iliyotumika ni kubwa kuliko movie yenyewe.
Characters waliocheza movie wamemezeshwa maneno ya kuongea hata mzuka haupo. Angalau Azam wangetafuta proffesional acters si hao waliowatumia.
Theme ya movie haieleweki, yani ni vurugu tu. Azam wajipange upya
Wenyew wanatak wakaipeleke ikashindane na movie za hollywood