Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda telegram chap wewe search jina la movie na mwakaMovies zote mnazotaja netnaija hazipo
Ingia fzmoviesMovies zote mnazotaja netnaija hazipo
weka mbali na watoto hili movie kila scene ni mnyanduo tu maana vitu kama 3some, gangbang,ffm na mmf ni vya kawaida tuPirates movie lina ngono mwanzo mwisho
How?Telegram ni rahisi zaidii
AseeeKama kichwa cha Uzi hapo juu na wale waliowahi kupitia Uzi wa kula Tunda Kimasihara wa rikiboy watakuwa wanaelewa ninachomaanisha.
Hizi ni movie ambazo Maudhui yake yamehusisha washiriki wake kufanya ngono au kuwa wapenzi bila kutarajia kwa sababu mbali mbali,nitazitaja hapa na maelezo kidogo;
1. Pretty Woman..
Jamaa ananunua Malaya kwa ajili ya ngono ya siku moja lakini ananogewa hadi kuamua kuoa kabisa.
2. The Reader.
Dada mwenye umri wa zaidi ya miaka 30 anapofanikiwa kumshawishi kijana wa miaka 14 na kuwa kipozeo chake.
3. Jazzman Club.
Kijana wa Kinegro miaka ya 1930 huko Marekani analiteka penzi ya Binti wa kizungu..Baada ya kutoonana kwa muda mrefu..wanakutana tena Binti wa Kizungu akiwa ameolewa na Mzungu mwenzie lakini bado alivyokutana na Niga anataka kupasha kiporo..matokeo yake ni mabaya kwani yule kijana mweusi anauawa kwa kunyongwa.
4. Acrimony.
Penzi wa vijana Black waliokutana chuoni..Kijana wa kiume hana hili wala lile ila Bi Dada amemuelewa jamaa na yuko tayari kuuza hadi nyumba ya urithi ili jamaa alipie ada za chuo. Baada ya kumaliza kazi Dada wa watu anashindwa kuvumilia kipindi kile cha kutafuta ngazi na anaachana na jamaa yake. Jamaa anapata kazi mzuri na kulipa bill zote alizokuw anadaiwa na yule mpenzi wake wa zamani na kuoa mwanamke mwingine..hapo ndipo kwenye utamu wa hiyo movie.
5. Lady Chartlyer Love.
Binti mbichi huko Uingereza ameolewa na jamaa ambae baadae alikuja kuumia kiuno akiwa vitani hivyo kushindwa kutoa huduma kitandani.
Binti wa watu akaona isiwe tabu..akawa analiwa Kimasihara na mtunza Zoo.
6. Tulip Fever.
Haitofautiani sana ni hiyo ya Chartlyer.. Binti mdogo ameolewa na kibaba..siku moja anakuja kijana hansome mchoraji ili amchore huyo Dada (wakati huo camera hazikuwepo). Kilichotokea ni kulana tunda Kimasihara.
7. My Perfect Wedding.
Bi harusi mtarajiwa matashtiti meeingi siku ya harusi anakuja kuangukia mikononi mwa bestman.
8. Anikulapo.
Hii ya kinaijeria..mfalme ana wake wengi..bi mdogo alikuja Kuliwa Kimasihara na fundi nguo Ili kupunguza kiu ya ngono.
9. Adore.
Aisee hii kali..wamama wawili marafiki tangu watoto..kila mmoja ana mtoto wa kiume umri wa balehe...hapa na pale kila mmoja anajikuta anakulana Kimasihara na mtoto wa mwenzie..Daah hatari.
10. Maya and Her Lover.
Hapa kuna bidada fulani hivi kwao mambo safi..anaishi mwenyewe kwenye apartment yake..bila kutarajia akajikuta ameangukia mikononi mwa dogo wa kitaa..kila akijaribu kumuacha anashindwa si unajua vijana wakipata mashangazi.
Haya kwa uchache leo tuishie hapo ila zipo nyingi mnaweza kuongeza.
ChaiUsiseme hukuambiwa.
Hizi ni zakuangalia na mpenzi wako tu sio na watoto!!!
1. NYMPHOMANIAC
large_3lVe9Os8FjpX1VgtdT9VFnbqs5f.png
Bwana Seligman, mwanaume wa makamo anayeishi peke yakez anakutana na mwanamke aliyejilaza njiani akiwa hoi kwa kipigo. Mwanamke huyu anaitwa Joe na story yake hamna anayeijua.
Anamwokota na kumpeleka nyumbani kwake ili akamgange majeraha. Lakini shida ni mbili kama sio moja hapa, mwanamke huyu ni 'nymphomaniac' kwa asili, yani anapenda mchi kuliko hata kula.
Sasa hii combo yao, ukijumlisha na story anazosimulia mwanamke huyu, hakikisha unakuwa na fire extinguisher pembeni kuuzima moto.
2. LOVE
38294.png
Murphy na demu wake Electra ni kama vile Mungu alikosea kuwaumba akawajaza mbegu nyingi kuliko ubongo.
Hawapoi, hawaboi.
Yani ile kauli mbiu ya "hapa kazi tu", hawa ndo' wanaifuata kwa vitendo.
Lakini binadamu anatosheka sasa? Utaumiza kikojoleo chako bure.
Wanapoona wametumiana vya kutosha, wanaona watie kionjo kipya kwa kumshawishi mwanamke jirani ili ajiunge nao kitandani.
Sasa inakuwa 'sriisamu' mzee. Ila mwanamke huyu aloalikwa hapa atawaacha salama?
3. THE VOYEUR
24863.png
Mapenzi hayajali elimu yako mwanetu, ukishikwa umeshikwa.
Humu ndani profesa wa chuo kikuu na elimu yake yote, vyeti vinajaa kirikuu mbili, anaachwa na mkewe darasa la saba B na kuishia kuzama kwenye sonona kali.
Mke kabebwa na mwanaume mwingine.
Yani usiku unakuwa mrefu na akibahatika kulala basi anamuota mkewe kitandani, akiamka asubuhi mashuka hayafai.
Sasa binti mmoja wa chuo anaona hii ni fursa. Anajiweka kwenye reli kumliwaza profesa kwa maufundi yake, anamsusia profeseri viuno vya paka chongo lakini atafanikiwa?
Mwanaume alomchukua mke wa profesa ni nani?
4. BASIC INSTINCT
88a12825128b79100f1c49ff8bd7c1bc.png
Mpelelezi kapewa kazi moja tu, kachunguze mauaji ya bwana mmoja mashuhuri anayeitwa Johnny Boz.
Katika kesi hii, mtuhumiwa mkubwa anayenyooshewa kidole na kila ushahidi ni mwanamke mrembo Catherine, aliyekuwa mpenzi wake na marehemu.
Mwanamke huyu sio tu mrembo, ila kwa mitego hata Rambo mwenyewe hachomoki.
Mpelelezi anajikuta kila akikutana na mwanamke huyu anazama kwenye pambano la vichwa viwili, kichwa cha juu na kile cha chini.
Na ubaya kichwa kilichokaribu na mguu ndo' kinaishia kuondoka na points zote tatu.
Sasa huyu Ngoswe ataishia wapi kwenyw kiuno cha mshukiwa? Na je kweli, Catherine ndo' muuaji?
5. YOUNG & BEAUTIFUL
5859.png
Kinachomsumbua Isabella si kingine bali ni muwasho tu. Hajali umri wake, ndo kwanza ana miaka 16, lakini anaitaka ile nanii maana ameambiwa ni tamu.
Anaamua kumtunuku Felix, kijana anayewiana naye umri, ili amtoe bikra yake lakini bado anaona hapana, hajaupata utamu halisi wa bagamoyo sugar.
Anapofikisha miaka 17 anaanza kujiuza kisirisiri akidanganya ana miaka 20 na jina lake ni Lea.
Anakuwa anunuliwa na watu high class, na mteja wake pendwa ni mzee wa miaka 63 anaitwa George.
Sasa 'imajini' mzee wa NSSF na binti wa form three kitandani, unategemea nini? Mzee kapewa mchakamchaka, moyo ngi-ngi-ngi kafa!
Hapa ndo' shida inapoanzia. Polisi wanaingia mzigoni kuchunguza kifo hiki cha mzee George.
Ukweli kuhusu uongo wa Isabella utabainika? Familia yake je?
Bange mbaya sanaa hizi ni movies mzeeChai