olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,572
ni kichina mwanzo mwisho kuanzia maandishi hadi maongezi, ila kuna msichana anaitwa jina (it sound like mulan)Na hiyo uliyoipakua mzee baba ndani inaitwa hivyohivyo Mulan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kichina mwanzo mwisho kuanzia maandishi hadi maongezi, ila kuna msichana anaitwa jina (it sound like mulan)Na hiyo uliyoipakua mzee baba ndani inaitwa hivyohivyo Mulan?
Asee! ... ngoja ntazameni kichina mwanzo mwisho kuanzia maandishi hadi maongezi, ila kuna msichana anaitwa jina (it sound like mulan)
Ndio mkuu ninatamani kumakinika nazo lakn ningepata walau tumaelezo tudogo ingekuwa vzuri zaidHapana, sijawahi mkuu. Vipi unahitaji?
Ntalifanyia namnaNdio mkuu ninatamani kumakinika nazo lakn ningepata walau tumaelezo tudogo ingekuwa vzuri zaid
Sawa mkuu.Ntalifanyia namna
Niliikubali Sana.Ulishaichekigi na ile VIVARIUM?
Innocent, najua tulipoteana kidogo kwenye hizi kazi. Mzigo huo hapo, kapambane mwenyewe.SteveMollel Kwanza tunashukuru kwa kutuletea baada ya muda mrefu tulimiss Sana huwezi kuamini tokea Mara ya mwisho ulileta story na movie hapa jamvini sikuwahi kuangalia movie yoyote.kwenye hizo movie ulizozieleza hapo mzee nimezielewa hizi.
1.UNTRACEABLE
2.YOU SHOULD HAVE A LEFT
3.GHOSTS OF WAR
4.HIDE AND SEEK
5.FUNHOUSE
Asante mkuu unajua bila wewe wengine tunakuwa hatuna appetite ya kucheki movie,uzuri wa kucheki movie ni lazima uwe na uhakika wa movie unayoenda kuangalia Ni nzuri la sivyo unaweza kwenda kupoteza bando lako bure.Innocent, najua tulipoteana kidogo kwenye hizi kazi. Mzigo huo hapo, kapambane mwenyewe.
Naleta mwingine weekend.
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo ya war of arrows haimo mbona kwenye telegram?
Nshaiweka, pakua mkuu.Mkuu hiyo ya war of arrows haimo mbona kwenye telegram?
Ni kweli mzee, unaweza tazama movie ukakuta si taste yako pia, ukaishia laumu kwa kupoteza muda na bundle lako.Asante mkuu unajua bila wewe wengine tunakuwa hatuna appetite ya kucheki movie,uzuri wa kucheki movie ni lazima uwe na uhakika wa movie unayoenda kuangalia Ni nzuri la sivyo unaweza kwenda kupoteza bando lako bure.
kuna mambo nakamilisha mkuu ili tuwe sambamba na kila kitu kikae on point!Mkuu uhondo si umeamia Telegram alafu kule ni kusoma tu hakuna comments alafu mkuu vip mbona u tube kimya aisee
mkuu naomba link ya channel yako ya telegramkuna mambo nakamilisha mkuu ili tuwe sambamba na kila kitu kikae on point!
Mkuu hujatupia kitambo telegramkuna mambo nakamilisha mkuu ili tuwe sambamba na kila kitu kikae on point!
Sikuwa online. Nimerejea sasa.Mkuu hujatupia kitambo telegram