Bundakwetu
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 551
- 1,014
- Thread starter
- #41
Mkuu hapana make nitakuwa nae kwenye mahusiano ila sio ndoaNirushie pande Hilo,
0623332983
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapana make nitakuwa nae kwenye mahusiano ila sio ndoaNirushie pande Hilo,
0623332983
Mkuu Ulikuwa Na Maana Labda Kusema NiniNi mgogo ?
Umeshawai kujiuliza viongozi wote wa serikali wake zao walimu
Mbona kama una sifa za kishoga mtoto wa kiume.....ila wanaume wengine bhanaIkumbukwe yeye ndio alinitongoza na kufunguka kuwa tuoane sifa zote anazo ila sasa Moyo wangu daah
Ulifanya appealing ukazaliwa tena 90Mkuu mimi ni wa 1984
Asante mkuuMbona kama una sifa za kishoga mtoto wa kiume.....ila wanaume wengine bhana
😀😀Ila huu msemo hauna uhalisia unaweza kupata mjinga mmoja akukuendesha kuzid wajinga mia mbiliMi huwa natamani kuoa mwalimu nakushauri usiogope Kama anaweza kufundisha wajinga 70 na wakaelewa we mjinga mmoja huwezi kumshinda
hawa watu ni shida eh,nasikia hawa ndio watanganyika originalNi mgogo ?
Hmna bna waalim huwa wanambinu nyingi ndo maana wanadumu sana kwenye ndoa kuliko manesi na maaskari😀😀Ila huu msemo hauna uhalisia unaweza kupata mjinga mmoja akukuendesha kuzid wajinga mia mbili
Wew muongo😂😂Walimu bana! Akikopa mmoja bank basi woote watakopa afu hawajui kwanini wamekopa. Ila wanasema walipenda somo walilopewa na watu wa bank [emoji23]
Kwanini umtusi na kumdharaulisha mtu katika kutetea hoja. Hii kadhia ipo sana kwa wenzetu nyie na hilo mnalitumia sana mkijua litamuudhi au kumdhihaki mwanaume. Sijui labda limekuwa neno la fashion na mnaliiibua kila uchwao huku mkipinga hamyataki hayo mambo. Kumdhihaki mtu kutamfanya anyamaze bali hataelewa wala kubeba hata moja utakalomshauriMbona kama una sifa za kishoga mtoto wa kiume.....ila wanaume wengine bhana
naona unajitafutia matatizo mwenyeweWakuu salama na hongera kwa kazi mnazozifanya kwa kulijenga taifa letu.
Niende kwenye mada Huyu Madam baada ya kufunguka kuwa anahitaji ndoa na mimi na kupelekea hadi kunitunuku tam yake, na mimi nimemuelewa make anashep, ni mkarim na mwenye upendo kwa watoto wangu ila kwenye suala la ndoa Moyo wangu umegoma
Angejichanganya aone chamtemakuni
Ni mwalimuTatizo Nini, elezea vizuri
Kuwa na akili, hafu huo ni ukabila sijui kwann watu wa humu hamna busara, sasa wagogo wanaingiaje hapoNi mgogo ?
Mwana FA mke wake ni mwalimu?Umeshawai kujiuliza viongozi wote wa serikali wake zao walimu