Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Anafundisha wajinga wenzieMi huwa natamani kuoa mwalimu nakushauri usiogope Kama anaweza kufundisha wajinga 70 na wakaelewa we mjinga mmoja huwezi kumshinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafundisha wajinga wenzieMi huwa natamani kuoa mwalimu nakushauri usiogope Kama anaweza kufundisha wajinga 70 na wakaelewa we mjinga mmoja huwezi kumshinda
Kwani makabila ya wengine wanapoongelewa umeshawai kusema mbona wewe unasema makabila ya watu na mikoa yao.Kuwa na akili, hafu huo ni ukabila sijui kwann watu wa humu hamna busara, sasa wagogo wanaingiaje hapo
Wakuu salama na hongera kwa kazi mnazozifanya kwa kulijenga taifa letu.
Niende kwenye mada Huyu Madam baada ya kufunguka kuwa anahitaji ndoa na mimi na kupelekea hadi kunitunuku tam yake, na mimi nimemuelewa make anashep, ni mkarim na mwenye upendo kwa watoto wangu ila kwenye suala la ndoa Moyo wangu umegoma
Mwalimu anafundisha wajinga 50 mpaka 100 wakati mmoja. Sasa huyu mmoja atamshindwa?Anafundisha wajinga wenzie