Moyo Umegoma kumuoa Mwalimu

Moyo Umegoma kumuoa Mwalimu

Kuwa na akili, hafu huo ni ukabila sijui kwann watu wa humu hamna busara, sasa wagogo wanaingiaje hapo
Kwani makabila ya wengine wanapoongelewa umeshawai kusema mbona wewe unasema makabila ya watu na mikoa yao.
Au nyani aoni ?
images%20(36).jpg
 
Wakuu salama na hongera kwa kazi mnazozifanya kwa kulijenga taifa letu.
Niende kwenye mada Huyu Madam baada ya kufunguka kuwa anahitaji ndoa na mimi na kupelekea hadi kunitunuku tam yake, na mimi nimemuelewa make anashep, ni mkarim na mwenye upendo kwa watoto wangu ila kwenye suala la ndoa Moyo wangu umegoma
 
Hivi ni moyo au akili?
Moyo ni damu tu, hisia ni akili zako.
 
Back
Top Bottom