Moyo wa nguruwe sasa yathibitika unaweza kuokoa maisha ya mwanadamu

Moyo wa nguruwe sasa yathibitika unaweza kuokoa maisha ya mwanadamu

Siyo moyo tu, hata nyuzi za kushonea wakati wa operesheni zinatengenezwa kutokana na utumbo wa nguruwe. Nyuzi hizo hazitolewi bali hubadilika kuwa nyama kidonda kikipona.

Sikulifahamu hili jambo kuwa zile nyuzi hutokana na nguruwe. Kuna sababu zozote why ngurue na sio kondoo wala myama mwingine yeyote yule?
 
Wataalam nchini marekani kwa mara nyingine tena wamethibitisha umuhimu wa nguruwe kwa maisha ya mwanadamu pale majaribio yao ya moyo wa nguruwe waliomuwekea nyani kuonesha pasi na wasi kuwa unaweza kumsaidia nyani kuishi tena. Mafanikio hayo yanatafsiriwa kuwa ni hatua muhimu katika kusaidia kuokoa maisha ya wanadamu ambao watakuwa wakihitaji kuwekewa moyo baada ya mioyo yao kuwa na matatizo.

Hayo yalitangazwa na jopo la madaktari katika kituo cha USA cha National Heart, Lung and Blood Institute huko Bethesda, Maryland wakiiongozwa na Dr. Muhammad Mohuiddin.

Haya sasa wale wasiompenda mnyama muhimu kwa maisha ya mwanadamu kazi kwenu....muoneni Dr wa ukweli mwenye jina lake hapo anavyofanya kazi yake bila kinyongo:roll:

View attachment 156762

Soma zaidi hapa: BBC - Future - Would you accept a pig?s heart?
Nguruwe atakwenda hivyo hivyo ni Haramu kama alivyoharamishwa kwa Dini Zote 3 Dini ya Waislam WAkristo na Dini ya wayahuıdi hata wafanye vipi hao wanasayansi Bado Nguruwe atakuwa ni haramu maneno ya Mwenyeezi Mungu hayawezi kubadilika kamwe mpaka mbingu na nchi itakapo toka Maneno yake Mwenyeezi Mungu yatabaki hivyo hivyo tu Nguruwe ni Haramu.

sijui ni mimi nakosea?? ila nguruwe kama mammal ana mfumo kama wa binadamu na nyani na tofauti iko lkn ni ndogo sana na hii hasa ipo kwenye mfumo wa akili na sauti. na hapa tunaanza kutofautiana kutoka kwenye genus
Hujakosea Nyani na nguruwe wote ni wanyama tofauti na Binadamu Kabisa.
 
Ngoja waje wahusika upande wa pili naona comment zote ni za upande wa kwanza.
 
Sikulifahamu hili jambo kuwa zile nyuzi hutokana na nguruwe. Kuna sababu zozote why ngurue na sio kondoo wala myama mwingine yeyote yule?

inasemekana utumbo wa nguruwe na wabinadam unafanana sana
 
Sisi tutakufa tu pesa ya kwenda kutibiwa Marekani ipo wapiiii yaan huyu mnyama mnajitahid kumsafishaaaa

Ma dr wenye akili wanaangalia namna gani mnyama wetu adhimu atasaidia kuokoa maisha yetu. Nguruwe ni msafi sana haitaji kusafishwa
 
Qur'an: 2

10. Nyoyoni mwao mna maradhi, na Mwenyezi Mungu amewazidishia maradhi. Basi watakuwa na adhabu chungu kwa sababu ya kusema kwao uwongo. ***

2_11.gif
11. Na wanapo ambiwa: Msifanye uharibifu ulimwenguni. Husema: Bali sisi ni watengenezaji. ***

2_12.gif
12. Hakika wao ndio waharibifu, lakini hawatambui.


Hii nn sasa umeweka hapa? Hizi ni hadithi za mtume ama nn? Halafu hauogopi kuweka hayo maandishi yanayotoka kulia kwenda kushoto kwenye thread ya mnyama muhimu kwa maisha ya mwanadamu?
 
dah! huo moyo ungerostiwa kwanza ndio aekewe binadamu!" ........... unashushia na castle baridiiii!"
 
hapo sasaa utakubali kufaa ama kupona kwa kuwekewa moyo wa kitimoto?

Kwa sisi w/me hakuna tatizo! But kwa itakuwa mtihani kidogo, coz ukiekewa moyo wa kitimoto utapenda kama kitimoto! Na kitimoto akiwashwa tu anakunwa na yoyote! Teh teh teh!
 
Back
Top Bottom