- Thread starter
- #21
M
Mwambie Mama aniangalie kwa jicho la tanoChali angu una nyota ya punda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie Mama aniangalie kwa jicho la tanoChali angu una nyota ya punda
Haha watu wasiri sana
Kama ni kweli basi kuna kasoro ulizo nazo zifanyie kazi. Kasoro namba moja ni kutanguliza huo ufala wa kuonyesha una maokoto.M
Mwambie Mama aniangalie kwa jicho la tano
🤣🤣 Cottonmore
Sasa hao uliowataja ndiyo waliokutolea nje au ndiyo wanafahamu kwa undani habari za kukataliwa kwako?Herini ya Easter kwa wale mnaosheherekea
Mimi ni mwanaume ambaye nimekuwa sina bahati tuite hivyo
Nna miaka 40, miaka kama 13 nyuma nliwahi kuwa na mahusiano yaliyozaa watoto wawili wa kike mapacha brianca na bianca,
Bahati mbaya tulitofautiana na mama watoto tukaachana katika process za kupeleka mahari, kumbe alikuwa na jamaa ambaye allikuja kuleta mahari kabla yangu na sikujua na wakati huo ana ujauzito wa watoto wangu,
Basi katika yote kufupishwa hatukuweza kuendelea alifungua aknletea Watt wa miezi sita na yeye kwenda kuolewa ,na hapo nkaapa katukatu staki mke tena,
Lakini wadau nmekaa miaka yote hiyo sikutaka kabisa hadithi za kuoa, ila kwa sasa naona umuhimu wa kuoa nmepona majereha kabisa,
Wanangu nipo nao wanaelewa na mama mzazi,
basi katika hivyo, hapa if nmewafuata wanawake kama watatu inbox na wote wakanitolea nje To yeye Winnone hopeUrassa wanafahamu hili
kosa langu ni lipi? Nna kipato cha kati, ni muajiriwa naweza kutunza familia , nacho hitaji kwa sasa ni mke serious wa kujenga familia
maokoto yapo ila sio uforce , uwe na staha unapoomba ,sihitaji starehe ya Mwanamke kwa muda ,nataka nimmiliki,,,
ASANTENI
Mna hakika ako na 40 kweli?Nimejua Kwa Nini wanakukataa
..
Not real... haiwezekani 40 awe na swaga hizoMna hakika ako na 40 kweli?
Ongeza mpaka kibamia kichomokeNa
Piga mara kumi kwa siku mkuu