Moyo wangu umeangukia wanawake watatu humu na wote wamenikataa

Labda uweke kapicha mkuu,labda wataweza badili Mawazo u know!??Halafu Mfano wote watu wangeingia kingi ingekuwaje mkuu?Kama nakuonaa.
 
Sasa hao uliowataja ndiyo waliokutolea nje au ndiyo wanafahamu kwa undani habari za kukataliwa kwako?
Yote kwa yote hukufanya vyema kuwataja hao uliowataja.
 
afu iv member since Mar 30 manake nn kwa mliosoma!?
 
Miaka arobaini bado tu unaangaika na mke....kweli fainali uzeeni
 
Winnone mdogo wangu kumbe umepata mume wa kukuoa na hujaniambia dada ako nikuwekee kitchen party [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] dada huyo ni mim kweny i'd nyingne nimeamua kujipromo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…